huna macho mpira niliona huwez tetea taila kwan goli zote ni luiz luiz alipanda kufanya backup maana midle yako hiyo haina mbinu kaatazame wazungu wanavyolaumu hiyo kenge jognho haijui kubuni nafasiJana sijaona tatizo la Jorginho kabsa. Luiz ndo alizngua katuchoma magoli mawili. Au hukuangalia mpira?
Acha unazi wewe ngedere kitunguu swaumu wewe Timu ya Taufa ya Ufarasa nani anacheza Namba 6 kama sio KanteKante sio namba 6 na hawezi cheza io namba
Toka leicester(namba 6 alikua Drinkwater) na hata msimu ule Chelsea anabeba ndoo (namba 6 alikua Matic) yeye ni always box to box ila anajua kukaba pia lakini ukimpanga Kante namba 6 basi utakua unajitaftia matatizo ila box to box Kante ndio best position yake
Jorginho ni playmaker na anacheza vizuri nafasi yake na mpaka sasa ni mchezaji wa pili kwa Chelsea na kwenye ligi kwa through balls (nyuma ya David Luiz)kuliko hata Erikse,Anderson na Sigurdson
Tatizo Chelsea ni forward line.Waneshindwa kuifunga timu yenye defense mbovu kama Arsenal wakati hadi timu kama Cardif zimemfunga!!!butu Hazard ana mechi ya tano kama sio 6 hajafunga ,Wilian nafikiri wadau wote wanaona utumbo anaoufanya pedro hana consistency na kwa sasa naona kaletwa Fat alvaro morata l(Higuain) aje kutoa msaada ila mpaka jana anatoka hajapiga hata shuti moja(0 shots)
Sasa jamani Sarri afanye nini?mlilamika alonso jana kacheza Emerson lakini hakukua na la maana zaidi
Mi naona Sarri hana makosa isipokua players ndio wanamuangusha
we nae ni j..... Kweli erkisen ni wa kufananisha taila mkuu jognho acha ww ujui tuachie cfc yetuKante sio namba 6 na hawezi cheza io namba
Toka leicester(namba 6 alikua Drinkwater) na hata msimu ule Chelsea anabeba ndoo (namba 6 alikua Matic) yeye ni always box to box ila anajua kukaba pia lakini ukimpanga Kante namba 6 basi utakua unajitaftia matatizo ila box to box Kante ndio best position yake
Jorginho ni playmaker na anacheza vizuri nafasi yake na mpaka sasa ni mchezaji wa pili kwa Chelsea na kwenye ligi kwa through balls (nyuma ya David Luiz)kuliko hata Erikse,Anderson na Sigurdson
Tatizo Chelsea ni forward line.Waneshindwa kuifunga timu yenye defense mbovu kama Arsenal wakati hadi timu kama Cardif zimemfunga!!!butu Hazard ana mechi ya tano kama sio 6 hajafunga ,Wilian nafikiri wadau wote wanaona utumbo anaoufanya pedro hana consistency na kwa sasa naona kaletwa Fat alvaro morata l(Higuain) aje kutoa msaada ila mpaka jana anatoka hajapiga hata shuti moja(0 shots)
Sasa jamani Sarri afanye nini?mlilamika alonso jana kacheza Emerson lakini hakukua na la maana zaidi
Mi naona Sarri hana makosa isipokua players ndio wanamuangusha
Sarri is the problem...he is very damn stubborn...naive to realize his stupid system can't work with this damn dead woods.The problem isn't Sarri, it's our players' characteristics. We are not direct but passive
Chelsea hatuna uvumilivu kama wa Liverpool na Arsenal na usitufananishe aisee. Tumezoea makombe ndio utamaduni wetu na huyu mzee lazima tu atimuliwe. Tunahitaji kocha wa kuifanya timu ishinde periodwakati mwingine mashabiki akili zetu tunazijua wenyewe sisi kule kwetu tunamlaumu klopp,juzi juzi tu arsenal nao walikuwa wanamlaumu emery sasa bado zamu ya ole gunna
Sent using Jamii Forums mobile app
Jourginho hamkuti hata kidogo Eriksen, passing za Eriksen ni dangerous na ni kiungo mfungajiwe nae ni j..... Kweli erkisen ni wa kufananisha taila mkuu jognho acha ww ujui tuachie cfc yetu
Sarri is a big problem, no plan B, very very predictable as alwaysSarri is the problem...he is very damn stubborn...naive to realize his stupid system can't work with this damn dead woods.
He has to change his tatics and allow cante play in his previous role so that he can protect our shambles back line.
Sent using Jamii Forums mobile app
mm naamini hivyo higuan ni mzuriStyle ya uchezaji siyo tatizo, hata ikitokea tumebadili style ya uchezaji unadhani hawa mastriker tulionao wanaweza kuleta chochote style ikibadilika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sarri is a big problem, no plan B, cery very predictable as always
Hiyo box to box ni namba ngapi?Kante sio namba 6 na hawezi cheza io namba
Toka leicester(namba 6 alikua Drinkwater) na hata msimu ule Chelsea anabeba ndoo (namba 6 alikua Matic) yeye ni always box to box ila anajua kukaba pia lakini ukimpanga Kante namba 6 basi utakua unajitaftia matatizo ila box to box Kante ndio best position yake
Jorginho ni playmaker na anacheza vizuri nafasi yake na mpaka sasa ni mchezaji wa pili kwa Chelsea na kwenye ligi kwa through balls (nyuma ya David Luiz)kuliko hata Erikse,Anderson na Sigurdson
Tatizo Chelsea ni forward line.Waneshindwa kuifunga timu yenye defense mbovu kama Arsenal wakati hadi timu kama Cardif zimemfunga!!!butu Hazard ana mechi ya tano kama sio 6 hajafunga ,Wilian nafikiri wadau wote wanaona utumbo anaoufanya pedro hana consistency na kwa sasa naona kaletwa Fat alvaro morata l(Higuain) aje kutoa msaada ila mpaka jana anatoka hajapiga hata shuti moja(0 shots)
Sasa jamani Sarri afanye nini?mlilamika alonso jana kacheza Emerson lakini hakukua na la maana zaidi
Mi naona Sarri hana makosa isipokua players ndio wanamuangusha
Kante sio namba 6 na hawezi cheza io namba
Toka leicester(namba 6 alikua Drinkwater) na hata msimu ule Chelsea anabeba ndoo (namba 6 alikua Matic) yeye ni always box to box ila anajua kukaba pia lakini ukimpanga Kante namba 6 basi utakua unajitaftia matatizo ila box to box Kante ndio best position yake
Jorginho ni playmaker na anacheza vizuri nafasi yake na mpaka sasa ni mchezaji wa pili kwa Chelsea na kwenye ligi kwa through balls (nyuma ya David Luiz)kuliko hata Erikse,Anderson na Sigurdson
Tatizo Chelsea ni forward line.Waneshindwa kuifunga timu yenye defense mbovu kama Arsenal wakati hadi timu kama Cardif zimemfunga!!!butu Hazard ana mechi ya tano kama sio 6 hajafunga ,Wilian nafikiri wadau wote wanaona utumbo anaoufanya pedro hana consistency na kwa sasa naona kaletwa Fat alvaro morata l(Higuain) aje kutoa msaada ila mpaka jana anatoka hajapiga hata shuti moja(0 shots)
Sasa jamani Sarri afanye nini?mlilamika alonso jana kacheza Emerson lakini hakukua na la maana zaidi
Mi naona Sarri hana makosa isipokua players ndio wanamuangusha
Tumia Akili basi. Box to box ndo no.ngapi?? Ni 6,7,8,9,10 au 11??
Kante rud 6 jojinho nenda 8 ,bas tutamuona @Ollachuga humu,
Vinginevyo atakuwa anajipiga ban kila siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Nambie majukumu ya no.8Box to Box sio namba 6 bali katika mfumo wa namba ni kama 8 ila anafany kukaba(box lake) na kushambuli(box la maadui) yani anazurura baina ya box lake na la maadui timu pinzani
Ulitaka niwe mwanitesa United au chelshit.
Tumia Akili basi. Box to box ndo no.ngapi?? Ni 6,7,8,9,10 au 11??
Nimashukuru kuijua anuani yako mkuuUlitaka niwe mwanitesa United au chelshit.
We are the GUNNERS forever.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sarri is a big problem, no plan B, cery very predictable as always