FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,556
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ollachuga Oc eden kimario kalou Southern Highland
Hata mkijificha matokeo yapo hadharani hayajajificha.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ollachuga Oc eden kimario kalou Southern Highland
Hata mkijificha matokeo yapo hadharani hayajajificha.
Striker si amekuja higuain ?mmpeni muda kwanzaHii ni zaidi ya dharau. Hata kama kufungwa walau tungefungwa goli moja tungesema wamekamia lakini 4 tena bila hata majibu unaanzaje kunitetea.? Timu haifungi magoli inaruhusu tu.
Naanza kupata mashaka na Sarri. Amrudishe Kante nafasi yake, tuletewe kiubgo mwingine katikati pale, tunataka na striker wa maana. Hii haiwezekani.
Daah nimeumia sana. Sielewi!! Why
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Higuain hawezi kuperform kwa midfield ile. Tutampa lawama bure.Striker si amekuja higuain ?mmpeni muda kwanza
Pole sana, game rule WLD....Mafegi ataniua na mfadhaiko katugeuza pombe ya Ngomani kila mtu anajinywea.
I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]
Pole mkuu
Hii ni zaidi ya dharau. Hata kama kufungwa walau tungefungwa goli moja tungesema wamekamia lakini 4 tena bila hata majibu unaanzaje kujitetea.? Timu haifungi magoli inaruhusu tu.
Naanza kupata mashaka na Sarri. Amrudishe Kante nafasi yake, tuletewe kiubgo mwingine katikati pale, tunataka na striker wa maana. Hii haiwezekani.
Daah nimeumia sana. Sielewi!! Why
Sent using Jamii Forums mobile app
timu inatawala gemu bila gol hata moja u nahisi ni fa na bonamouth not
Timu hai create chansi za kupata goli unalahumu luiz we vip aiseee midle ya ki.... Jognho haina kituLuiz leo kanikumbusha ya Spurs
ANGALIA UNACHEZAJE NA UNAFUNGWAJE KADILI YA ULIVYOCHEZA SAWATatizo la mashaɓiƙi wa chelsea ni kuamini tuna uwezo wa ƙumfunga ƙila tunaekutana nae
mpira hauko hivƴo.