Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

article-1372485-0B430ABA00000578-18_306x423.jpg


When are you going to score, Tor the Res?
Tor the Res has still not hit the net for his new club




stokesplash_1284947a.jpg



Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Masikia mmerudi kwenye nafasi ya nne chacha ... .... .... .... .... vipi mnataka kukimbilia Europa cup? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Tutamaliza juu yenu, you will finish fourth.

Hata Acheni Lotte anasema mtachukua kombe ... .... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kwani hujasikia mpunga ulivyomwagwa na Abraham O Vich ... .... .... ..tayari Almunia keshapewa donge ..... ..... na waamuzi lukuki unafikiri hiyo jeuri wangeitoa wapi .... ..... ...





Stoke-v-Chelsea-Carlo-Ancelotti-ref-row_2580922.jpg


Acheni Lotte akilalamika .... ... jamani mpunga tumewapa chacha vipi? Mbona hamtubebi?

Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
 
Jonathan-Walters-goal-Stoke-v-Chelsea_2580803.jpg



Jonathan Walters blasts Stoke ahead against title-chasing Chelsea at the Britannia. Baada ya kumpita Luize alichanjanja mbuga kutoka katikati khe khe khe kheeeeeeeeeeee mizoga ya Chelsick ilikuwa inafuata mkono wa binadamu uanguke .... .....


Jonathan-Walters-celeb-Stoke-v-Chelsea_2580805.jpg



Hiyo ndio inaitwa sucker punch khe khe khe kheeeeeeeeee

Kwa masikitiko makubwa Mungiki Brother imebidi arudi Kibera bila kuaga hata Invisible hana habari yuko wapi?
 
Hata Acheni Lotte anasema mtachukua kombe ... .... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kwani hujasikia mpunga ulivyomwagwa na Abraham O Vich ... .... .... ..tayari Almunia keshapewa donge ..... ..... na waamuzi lukuki unafikiri hiyo jeuri wangeitoa wapi .... ..... ...





Stoke-v-Chelsea-Carlo-Ancelotti-ref-row_2580922.jpg


Acheni Lotte akilalamika .... ... jamani mpunga tumewapa chacha vipi? Mbona hamtubebi?

Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee


Ni kawaida yako kujipa matumaini hewa, but the writing is on the wall, you gonna finish fourth or fifth....
 
Kila tukicheza na Chelsea, uwa nakumbuka mechi yetu dhidi ya Chelsea (ya kina Gullit aka United Nations) Gullit alitupiga goli la kichwa mpaka leo nakumbuka vividly.
 
Kila lakheri kesho mashabiki wote wa Chelsick the Mafioso team, kwa dhati na kuvunjana miguu na ngeo ziongezeke wale wote wanaochungulia Rev. Kishoka na Masanilo, wakongwe wa hiki kijiwe Invisible, Elnino, mvamizi kutoka Kibera Mungiki brother, Sanda Matuta na yule mliyemkaribisha hivi karibuni amesahau kwamba mlikuwa mnamvalisha nepi Coward Peasant et al. asitoke mtu kwenye cowshed bila kuwa na miguu miwili pamoja na ngeo khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Torres was bought to be a winner NOT at Chelsea fc ONLY but anywhere he belongs, (The gus is a real champion) , I believe that he is going to show us what he is made of tomorrow, kama ametengezwa kwa mawe au kwa matofali ya mchanga basi tutajua hiyo kesho ndani ya dakika 180 against Man U, the minutes will prove his WORTH. If we lose against Man U (Home and AwaY) then we won’t have any excuse in this season. I BELIEVE we WILL.

Let us Cross our fingers - CHELSEA EVER.............
 
torres595getty.jpg


Khe khe kheeeeeeTor the Res ...... ..

Chacha njomba fanya mambo basi chijui nani anapanga timu kesho OOOps hii ni leo ..



drogba595getty.jpg



Eyes on the balll Drog the bar ... ..... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee
 
article-1373613-0B7D4AE900000578-13_634x426.jpg

Jamani lazima Tor the Res kesho afanye mambo ingawa
Luize hayupo .... ... ...


article-1373613-0B7D640600000578-361_634x359.jpg


Usisahau Wacha1 amezidi kukuandama kwa hiyo nachubiri magoli matatu
kesho ... .... .... khe khe kheeeeeeeeeee


article-1373613-0B7D5ECF00000578-286_634x476.jpg


JT kesho usilete unga bwana Manure wanaweza kutuadhiri ....
khe khe kheeeeeeeeeeeeee



article-1373613-0B7D4EED00000578-668_634x443.jpg


Msijali tayari mpunga umetembezwa vya kutosha kwa hiyo
kazi rahisi khe khe khe kheeeeeeeeeeee
 
Dua la Kuku Arse en All halimpati mwewe, si mmeona leo Totte wamesilibwa na Adebayor?
 
What the other guys comment on this game>

Torres is a phenomenal player, no doubt. He needs time and he will get that time. He has a five year contract and he will come good. However Drogba is proven to fit into the system with Anelka, and he is at this current moment, also Torres' equal. Given the choice between two players of a similiar standard, you have to pick the guy who knows how to fit into Chelsea's system. Drogba should play. Having said that, Torres and Drogba against Vidic and Smalling... without the guile of Rio that could be a mauling.

Read also this one:

Am a liverpool fan and i know hw Torres cn b deadly some times especially when is playin Man-u defence Vidic is always in trouble..so ancelotti shud start Drogba and Torres the will destroy Man-U defence.

Let us wait the 90 min.
 



Peasant wa hiki kijiwe naona leo wanakazi ya kuchungulia tu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Tinachubiri Coward Peasant aje maana kila Chelsick wakicheza huwa anakuwa commentator peke yake, leo tipo titamchaidia tu mpaka kieleweke. Chacha tunataka kurusha coin nani atapewa red card leo? Je, atakuwa Drog the Bar, Tor the res, Lamps au yule muuza unga aliyekubuhu JT? Kwa upande wa Manure atakuwa yupi kati ya hawa ... .. Vidic au Romney? khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Elnino mbona umekuwa bubu kuna nashabiki wenzio hawana luninga au wako mbali wape habari basi ... .... .. Maji shingoni? Romney anaweka chuma hapa. Chelsick 0 - 1 Manure khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wachunguliaji wa Chelsick mnatuangusha jitokezeni chacha mpira unoge khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mnashindwa hata kushabikia timu yenu .... ...... .
 
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Lamps anataka kufunga perfect goal khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Tor the res nearly ... ... halftime.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom