Na huku nako ni come back pia??????? Peasant Unasemaje ndg yangu????
On a serious note what does stoke bring to the league mbali ya long free throws na the so called aerial bombardment ?Hawa jamaa wa Stoke wagumu kama mawe.
On a serious note what does stoke bring to the league mbali ya long free throws na the so called aerial bombardment ?
Hawa jamaa wa Stoke wagumu kama mawe.
Hapa naombea draw tuu...na nyie mtoe draw vile vile...!esp wakiwa kwao....Ila sidhani kama watakomaa mpk mwisho.....mtawafunga tu at last................
eee bana tumekoswa hapa na hawa jamaa hawachezi mpira lakini nuksi.
eee bana tumekoswa hapa na hawa jamaa hawachezi mpira lakini nuksi.
Hapa naombea draw tuu...na nyie mtoe draw vile vile...!
Ha ha ha mkuu naona unatuchora tu saa hizi. Hongera kwa ushindi.
Watu wakimaliza hapa wanaamia jukwaa letu lol.
Heheh wenger upo? Najua dressing room yako leo morale ni ndogo.
Hawa jamaa wana zali sana na mipira yao mirefu...
Si unajua mambo ya time difference mechi yetu imebidi niangalie kipindi cha pili, nilivyoona scoreline nikaishiwa nguvu nikasema siingi forum mpaka mechi iishe lol.Ha ha ha mkuu naona unatuchora tu saa hizi. Hongera kwa ushindi.
Watu wakimaliza hapa wanaamia jukwaa letu lol.