Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Who said so .... .... ..... .... ..... amother loser. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee



Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Chelsick walisubiri miaka 50 kushinda EPL, Loserfools wanahesabu miaka 17 chacha na ushee bado natafuta records zenu Manure au wewe utwambie mlichubiri miaka mingapi in modern era kama sijakosea more than 25 years. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Wacha ngebe.
Modern Era inaanzia lini?
 
Huyu babu anatupa ugonjwa wa moyo kwelikweli...aaah,no PLAN B if A failks...
 
Who said so .... .... ..... .... ..... amother loser. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee


Mbu said so....ina maana Mbu ni another loser?!

...better send the players likizo sasa, ni wakati wa 2nd string nao waonje EPL.
ni hasara hata kwa seasonal ticket holders, wanapoteza train/bus fares bure tu kwenda
kuangalia madudu haya.

Our season is over. Dhana eti Man United wata drop 7points ni ndoto za alinacha.
Tutange msimu ujao sasa, Wenger akitaka kusajili haya, akiamua kuendelea na paukwa pakawa zake,
pouwa vile vile, ...We are Arsenal Together We Stand!

Credits to the team esp Individual players who stood up to be counted, i.e Szczceny, Djourou, Wilshere,
na Theo Walcott...
Hakuna aliyetarajia msimu huu tungekuwa mbele ya Chelsea na Man City wanao fadhiliwa na ma "sugar daddy."
 
wazee mi roho yangu nyepesi sana maana nimeacha kungalia mech za aseno, nimechoka kila gemu natoka nimeinamisha kichwa chini kama mtuhumiwa. sasa hivi naanagalia mechi za timu zinazotarajia kushuka daraja maana nakuwa sina stress. za man u siangalii maana nitamaind jinsi wanavobebwa.
 
Napita kuwapa Hi all Gunners na watani wote, nimetingwa sana-sana na matatizo ya kifamilia ila nipo na tutaendelea kuwepo pamoja, niko vijijini huku mambo ya mtandao mpaka nijapo mjini:noidea::bored:.
 
Jamani Arsenal Msisahau kuwa hako kanafasi kapili mmewashikia chelsea tu, nyi msubiri kugombania nafasi ya 4 na 3 with Man City and TOT HOT
 
Modern Era inaanzia lini?

Unaweza ku-search kwenye google mkuu .... .... .... ... .... ... .... ..... lakini hasa kwa kipindi tangu world war II ilipokwisha, inaonekane ukame wa miaka 25+ huwezi kuukubali.

Mbu said so....ina maana Mbu ni another loser?!

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mkuu angalia mpo nafasi ya ngapi kabla hujaja kusema hadithi za Abunuwasi na Bulicheka Chelsick is the only loser so far tena peasants huwa wanakimbia mambo yakibadilika. Mlililia ubingwa sana mwezi November chacha mnakimbia hata CL mnaanza kuikimbia khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Mbu alikuwa hajaangalia mechi ngapi zilizobaki na hakuona kwamba tuna one match advantage week hii ..... ..... ... at the moment Manure wana advantage ya point moja as far as we are concerned chacha angalia Chelsick 4th position ready to battle for Europa khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee next time mtasubiri miaka 100. Vipi Rev. Kishoka na masanilo walikubali uingie kwenye maombi kwenye cowshed?

Arsenal hamna kitu cku hizi....bora nihame

Khe khe khe kheeeeeeeeeeee tutakuwaje hamna kitu wakati timu zote zinaweweseka kwa sababu tupo kwenye position ya ku-compete kwenye championship? Hama tu mkuu ulipojiunga Arsenal hawakukupa kadi, ndio uzuri wa kuwa armchair supporter.

Mkuu tuna advantage ya kupeteza mechi moja

Sawa mkuu tupo pamoja lakini usisahau mwaka huu mkwaruzo huko chini haujulikani hivyo all to play for until its over ... ..... .
 
Unaweza ku-search kwenye google mkuu .... .... .... ... .... ... .... ..... lakini hasa kwa kipindi tangu world war II ilipokwisha, inaonekane ukame wa miaka 25+ huwezi kuukubali.



Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mkuu angalia mpo nafasi ya ngapi kabla hujaja kusema hadithi za Abunuwasi na Bulicheka Chelsick is the only loser so far tena peasants huwa wanakimbia mambo yakibadilika. Mlililia ubingwa sana mwezi November chacha mnakimbia hata CL mnaanza kuikimbia khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Mbu alikuwa hajaangalia mechi ngapi zilizobaki na hakuona kwamba tuna one match advantage week hii ..... ..... ... at the moment Manure wana advantage ya point moja as far as we are concerned chacha angalia Chelsick 4th position ready to battle for Europa khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee next time mtasubiri miaka 100. Vipi Rev. Kishoka na masanilo walikubali uingie kwenye maombi kwenye cowshed?



Khe khe khe kheeeeeeeeeeee tutakuwaje hamna kitu wakati timu zote zinaweweseka kwa sababu tupo kwenye position ya ku-compete kwenye championship? Hama tu mkuu ulipojiunga Arsenal hawakukupa kadi, ndio uzuri wa kuwa armchair supporter.



Sawa mkuu tupo pamoja lakini usisahau mwaka huu mkwaruzo huko chini haujulikani hivyo all to play for until its over ... ..... .



Tutamaliza juu yenu, you will finish fourth.
 
Mbu said so....ina maana Mbu ni another loser?!

...ha ha ha, huwezi kutugombanisha na Wacha bana,...Arsenal - Together We Stand.
Kila Jukwaa lina Motivators wake, Wacha ndio kinara hapa kama wewe Peasant ulivyo Chelski,
na Eqlypz wa Manure.

Bila nyie labda majukwaa yangeshaorora haya.
Si unaona Rev Kishoka na mapema alishatoa "sacramenti ya mwisho" kwa Chelsea,
kipindi kile Bundi anatamia mayai Darajani?
 
...ha ha ha, huwezi kutugombanisha na Wacha bana,...Arsenal - Together We Stand.
Kila Jukwaa lina Motivators wake, Wacha ndio kinara hapa kama wewe Peasant ulivyo Chelski,
na Eqlypz wa Manure.

Bila nyie labda majukwaa yangeshaorora haya.
Si unaona Rev Kishoka na mapema alishatoa "sacramenti ya mwisho" kwa Chelsea,
kipindi kile Bundi anatamia mayai Darajani?



Hahahahaha,siwezi kuwagombanisha mkuu! Nilikuwa ninarespond swali la Wacha kwamba nani kasema msimu wa Arsenal umekwisha, kitu amabachoniliona umesema, which is good to be realistic kuliko kuwa na matumaini hewa kama ya Wacha....anyway it's nice to see you guys throw in the towel, good sportsmanship....LMAO!!
 
Unaweza ku-search kwenye google mkuu .... .... .... ... .... ... .... ..... lakini hasa kwa kipindi tangu world war II ilipokwisha, inaonekane ukame wa miaka 25+ huwezi kuukubali.
Tulishinda FA Cup 1948 (Miaka mitatu baada ya WW2 kuisha), First Division 1952 (Miaka saba).
 
Tulishinda FA Cup 1948 (Miaka mitatu baada ya WW2 kuisha), First Division 1952 (Miaka saba).

Eqlypz mbona unagwaya kuendelea khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Eqlypz mbona unagwaya kuendelea khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hii ni thread ya Arsenal siwezi kuja na kuanza kuweka full history ya Manchester United, ila kama unataka niweke wewe sema tu.

By the way difference ya kutoka 1948 - 1952 ni miaka minne, sasa hiyo 25+ years yako baada ya WW2 ina maana ni mpaka 1970 lete piece of evidence ya kuonyesha kuwa we went 25+ years without a trophy baada ya WW2.
Busby Era imeanza 1945 mpaka 1969.
 
Hii ni thread ya Arsenal siwezi kuja na kuanza kuweka full history ya Manchester United, ila kama unataka niweke wewe sema tu.

By the way difference ya kutoka 1948 - 1952 ni miaka minne, sasa hiyo 25+ years yako baada ya WW2 ina maana ni mpaka 1970 lete piece of evidence ya kuonyesha kuwa we went 25+ years without a trophy baada ya WW2.
Busby Era imeanza 1945 mpaka 1969.

Achana naye huyo utapoteza nguvu nyingi kumuelewesha bila mafanikio, let Wacha to be as it is
 
Achana naye huyo utapoteza nguvu nyingi kumuelewesha bila mafanikio, let Wacha to be as it is


Wacha kuwanga wewe? Nenda kwa Babu kapate kikombe kabla ya .... ..... ...... kuathilika zaidi.
 
Second place is a success, says Arsenal boss Arsene Wenger - ESPN Soccernet


Hivi kocha akitoa kauli kama hizi hao wachezaji watapata moyo wa kujituma kweli?

Ndio maana baada ya mechi ya blackburn nikasema tumeanza rasmi pre-season.

Hao ESPN Soccernet ni makuwadi wa haters wa Arsenal wameweka kichwa cha habari kuvutia wasomaji .... ... ... ... maneno ya Arsene .. ... . huwa nacheka sana few years back walikuwa wanasema Arsenal ina wachezaji wengi wa kigeni, wanapowataka kina Wishere au Walcott ndio siku pekee wanampa heshima Wenger ... ... .... .... .... ... .

.. ... .. .. 'Rather, I have to be proud because if I took statements from all the people here at the start of the season we were not even in the top five. Now it is a scandal we are second. 'If at the end of the season Manchester United are better than us, we have to say congratulations. What is important from now until the end of the season is we give absolutely everything to beat them. That for me is success.'.. .... ..
 
Back
Top Bottom