Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Simchezo hawa stoke, mwisho ligi kunakuwa noma sana.

Naona kuanzia nafasi ya 11 kwenda chini wote hakuna aliyekuwa safe kwenye kushuka daraja.
 
Si unajua mambo ya time difference mechi yetu imebidi niangalie kipindi cha pili, nilivyoona scoreline nikaishiwa nguvu nikasema siingi forum mpaka mechi iishe lol.


Shukuru goli 2 ziliingia kipindi cha kwanza, nina huakika mdomo wa Ferguson umefanya kazi dressing room.
 
Huyu Delap mpaka anakera sasa.....Urushaji gani huu???? Ova kapiga???? Chelsea mmekalia pabaya sana this 3rd Quarter!!!!!
 
delap wakati wa mazoezi wakati wenzake wana practice set pieces yeye atakuwa ana practice throw ins. Mambo kama ya Godwin Aswille.
 
hiyo ndiyo kazi ya kocha, walaaaah vikombe vitatu mwaka huu.

Ndio kitu ambacho Wenger anakosa, Wenger hajui kukosoa wachezaji wake, kutwa anawasifia hata wakiboronga au anaenda kulalamika mambo ambayo hayana maana kabisa.
 
that was a free header!!! basi tena that was the last best chance 4 them i guess......
 
naona liverpool nao kama kawaida yao wanakamia mechi kubwa hizi ndogo wanafungwa lol...
Ebanae nao arsenal wakitoa draw weekend itakuwa safi sana.
 
Ooops! Nguvu zote sasa kwenye CL, sidhani kama tuna chance kwenye EPL tena.
 
:noidea:

Poleni sana wapwaz wa kwenye daraja................kileleni tunakabana na watoto wa Wenger

Never give up, bado mko kwenye title race.....hahaha

See you Jumatano ndani ya Daraja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom