Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hahahahahaha! Mbn hatukuonana Sikonge stesheni?, au haukuja na 'jongoo' nn toka JNIA?.....
Karibu sana tena mtani, kijiwe kilikuwa chini na usimamizi thabiti wa Padre Masa na Mkulima. Tumemiss mipicha yako kaka!, hope utakuja na mi-upload ya kulin asali frm Africa. :wink2:

Mkuu, nilikua natumia mabasi kusafiri.
Asante kwa kunikaribisha na mipicha itakuwepo bila wasi. naona Wacha1 amezidi kupandisha mzuka tu na hajaacha zake...LOL!

Nenda jukwaa la picha nimeeka mavitu huko.
 
Well well well si tulisema karibu sana ndiyo dirisha dogo hili ... .... .... longtime mpira ndio utakuwa mzuri sio mnajificha nasikia Manure kijasho chembamba kinawatoka wamekiona cha moto. Tunakwenda kuwasalimia tarehe 12 lunchtime kuwaonyesha tu what to come kwenye FA Cup, tukiwa tunatoka kuwakomoa Barca Nou Camp. Karibu sana.

Mkuu,

nilikua nakuona nuksi kumbe hataa...maana nilipofika nyumbani Afirka nilikuta kakangu na weye hamna tofauti maana yeye ni Arsenal damu.

Kisha kali yake ni kua nyumbani kwake kabla hujaingia sebuleni ana bonge la bango la Arsenal na unapoinama kuvua viatu
hachelewi kukuambia "unatoa heshima kwa taifa kubwa"..LOL...aliniudhi kweli na kutoka siku hio nikawa navulia viatu sehemu
nyengine.

Kisha ile siku mlituchapa bao tatu nilikua nimemualika hotelini tucheki ngoma akaja na-miflana yake ya Arsenal na kelele kibao.
Yaani bia ilikuachungu hata sikuzimaliza.Nikapata revenge yangu siku ile mka-draw bao 4 kwa 4 na wale mahayawani.

Anywayz, sasa title race iko wide open.Mkishindwa ni nyie wenyewe na msilaumu mtu.
 
<p>
Mkuu, nilikua natumia mabasi kusafiri.</p>
<p>Asante kwa kunikaribisha na mipicha itakuwepo bila wasi. naona Wacha1 amezidi kupandisha mzuka tu na hajaacha zake...LOL!</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Nenda jukwaa la picha nimeeka mavitu huko.
</p>
<p>&nbsp;</p>
Lols! u mean zile pics za Kibera kule kwenye jukwaa la wenye mvi?, nimeziona kaka. Kudos!
 
Hahaha, nimeipenda hiyo BJ lakini bado nimeficha jino la Xmas maana ndio kwanza tumepunguza point 3 tu ngoja tuone zitatufikisha wapi.

Usilitoe hilo la Xmas mana mnaweza punguza point 3 ghafla!!..siwaombei lakini,ha ha..
Siamini hadi huu ushindi wetu Ab-Tichaz alionekana, kweli mlikuwa na uhaba wa ushindi!!..
 
01_nando_1264702a.jpg



TOR THE RES .. ... ...

Nasikia ameanza kuumwa chacha ile £50 million chijui ataanza kuilipa lini?


khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
article-1363095-0D6E0BF7000005DC-107_634x384.jpg


£50 million and counting ... ..... ..... ...... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kwa kuwa Man U anapoteza mechi ya leo (surely they can't respond...) na sisi tukishinda mechi zetu mbili, tutakuwa na points 54 (just 6 points behind Man U).

Are we back in the title race?
 
Yes, League is still OPEN.......

Man U has lost focus.... chance to Chelsea to come back...... natabiri bao la kwanza kwa Torres Leo.

Ndiyo raha ya ligi ya Uingeleza na ndiyo maana inapedwa duniani.
 
Kwa kuwa Man U anapoteza mechi ya leo (surely they can't respond...) na sisi tukishinda mechi zetu mbili, tutakuwa na points 54 (just 6 points behind Man U).

Hapana Mkuu mtakuwa level kwa point .... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Manure hawawezi kushinda tena si umesikia wamezila hawataki kucheza tena EPL ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeee wanasema wanaonewa.

Are we back in the title race?

Yes, League is still OPEN.......

Man U has lost focus.... chance to Chelsea to come back...... natabiri bao la kwanza kwa Torres Leo.

Ndiyo raha ya ligi ya Uingeleza na ndiyo maana inapedwa duniani.

Bali mkuu wa Mafioso aongeze ule mpunga anaolipa kwa ajili ya ushindi .... .... .... BTW hebu mkumbusheni kama amekwisha lipia mechi ya leo maana wale jamaa wa Blackpool wapo nje kidogo, isiwe ikawa amepeleka warusi wenzake wasiojua mitaa ya England hizi Tom Tom zinaweza kujam wakati wowote si mnakumbuka kule Eastlands yaliyotusibu, wakichelewa kwa masaa na watakapozinduka mpira umekwisha fanyeni hima jamaaa mkumbusheni. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Timu karibu itakamilika leo ni rasmi kwa Invisible kuingia kutoka mafichoni maana dirisha litafungwa rasmi baada ya mechi ya Blackpool. Kama mlivyoona Mungiki Brother ndani ya Nyumba , Elnino, Consultant Ooops bila kumsahau Coward Peasant na Mchungaji bandia Masanilo .... .... ..Oooops Rev Kishoka upo mkuu? Njoo tumalize EPL chacha maana mbivu ni lazima zipatikane.

 
Wakuu poleni sana kuna mnoko moja alileta taarifa za reserve team ambayo ndio ingekuwa angalau salama yenu lakini nasikia Bundi ameanza kurandiarandia makuti amekwisha yaona kutokana na mkung'uto mlioupata kutoka kwa vijana machachari wa Emirates 4 -1 khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee poleni sana. Dirisha karibu linafungwa hivyo ... ..... .... ....
 
...Wacha1, unaona huyu mgonjwa kaanza jeuri kisa anaweza kunywa uji mwenyewe eeh?
 
...Wacha1, unaona huyu mgonjwa kaanza jeuri kisa anaweza kunywa uji mwenyewe eeh?

Nangoja niwaone kama watatoka kwa Blackpool leo. Mkuu Invisible amesusia kijiwe hata kwenye dirisha dogo, kazira amekuwa kama Furngie. Mwaka huu patachimbika tu ... ... ... ..
 
Ligi inaelekea ukingoni ndio kwanza ANCELLOTI anatafuta combination gani ya striker inafaa kwa timu yake loool. Leo anajaribu torres na drogba, anelka katupwa nje. Wanataka ku-force kuonesha Pound mil 50 hijaliwa ha ha ha.
 
Ligi inaelekea ukingoni ndio kwanza ANCELLOTI anatafuta combination gani ya striker inafaa kwa timu yake loool. Leo anajaribu torres na drogba, anelka katupwa nje. Wanataka ku-force kuonesha Pound mil 50 hijaliwa ha ha ha.
heheheh, kadri wanavyomchezesha nando na anafail kufunga ndivyo confidence inashuka. Ila leo nadhani anatoa bicra yake ndani ya jezi ya chelsea.
 
Terry anaweka bao la kwanza hapa dakika ya 19. Chelsea 1 Balckpool 0
 
Ligi inaelekea ukingoni ndio kwanza ANCELLOTI anatafuta combination gani ya striker inafaa kwa timu yake loool. Leo anajaribu torres na drogba, anelka katupwa nje. Wanataka ku-force kuonesha Pound mil 50 hijaliwa ha ha ha.

heheheh, kadri wanavyomchezesha nando na anafail kufunga ndivyo confidence inashuka. Ila leo nadhani anatoa bicra yake ndani ya jezi ya chelsea.


Kwa hiyo ushauri wenu ni nini hapa, tusajili mchezaji alafu tusimchezeshe au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom