Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,211
Hongereni wakuu.
Ashante mkuu. Kazi kwako ushindwe mwenyewe usijesema hatujakupa shavu....vipi kesho utatoka?
Nina Mtungi hapa wa Heineken
To be Frank nilikuwa naombea Draw katika hii game....Ila kuliko Wangeshinda Man Utd then its much better million times mmeshinda nyie the BLUES.....Siwezi kuwa mchoyo wa Pongezi katika hili....HONGERENI SANA......Hope u will do the same at OT.......
Naona shughuli zimeanza rasmi...enjoy your special evening
Nina Mtungi hapa wa Heineken
hahaha arsenal bila rvp kufunga magoli hawawezi. . Leyton orient wameambiwa wakishinda wanapelekwa las vegas. Ebanae hongera naona kama kawaa atkinson to the rescue lol guess fa wanted to prove whelan wrong.
Mhhh! na haya majeruhi Mkuu nina wasiwasi kama tutaweza kufanya kweli na kutake advantage ya ushindi wenu wa leo.
King Kenny nae akienda kuwafunga man united itakuwaa powaa sana.
<br />Man united watakuwa bila Vidic, hivyo Liverpool watakuwa na chance....sijui kama Rio atakuwa amerudi,
King Kenny nae akienda kuwafunga man united itakuwaa powaa sana.
King Kenny nae akienda kuwafunga man united itakuwaa powaa sana.
<br />
<br />
Rio anarudi yule mgonjwa wa mgongo hasumbui kivile.
Arsenal mkipata ubingwa itabidi mgawane na Chelsea, maana mnabebwa kwa mbeleko na Chelsea, la sivyo mtaishia kama juzi.
Ooops! That was cheap penalty to be honest.
Mate ungekuwa karibu yangu leo ungetambaa!