Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

heheheh, kadri wanavyomchezesha nando na anafail kufunga ndivyo confidence inashuka. Ila leo nadhani anatoa bicra yake ndani ya jezi ya chelsea.

Kwani ni lazima afunge yeye?? wakati mabeki wamemtolea macho yeye, wachezaji wengine wanatumia mwanya huo huo kuziona nyavu
 
dakika 54 Drogba anatoka baada ya kuumia anaingia Kalou....game on
 
Dakika ya 65 Lampard anachapa bao la 3, good move and pass from Kalou
 
Ooops! Blackpool wamepata bao la kufutia machozi dakika ya 85.
 
Kalou anakosa bao hapa na mpira umekwisha. Three more points and +2 goals for the Champions, we're still in the race.
 
...nice one buddies,
Mna bahati Game zenu mnapangiwa wiki kwa wiki,
mngekuwa mnacheza match kila baada ya siku mbili kama Arsenal,
hawa madingi wangekuwa ulimi nje leo.

Dakika za lala salama Blackpool waliwakalia kidedea, bahati yenu BJ Campbell hakuwemo.
Anyway, karibuni tena kwenye top four!
 
...nice one buddies,
Mna bahati Game zenu mnapangiwa wiki kwa wiki,
mngekuwa mnacheza match kila baada ya siku mbili kama Arsenal,
hawa madingi wangekuwa ulimi nje leo.

Dakika za lala salama Blackpool waliwakalia kidedea, bahati yenu BJ Campbell hakuwemo.
Anyway, karibuni tena kwenye top four!


Kikosi kiko makini, japo kuna wachezaji wengi hawako kwenye form tunapata good results....we're not going to easily surrender our championship, you better be prepared for the long battle.
 
Blackpool-v-Chelsea-Carlo-Ancelotti-Ian-Hollo_2571101.jpg




Blackpool-v-Chelsea-Frank-Lampard-penalty-cel_2571119.jpg




Blackpool-v-Chelsea-John-Terry-goal_2571115.jpg




Blackpool-v-Chelsea-Ramires-Andy-Reid_2571102.jpg

 
Kutokana na fair play na kwa sababu kuna mpambano wa kukata na shoka leo jioni muda wa dirisha dogo umeongezwa ili kuwarudisha wale wapenzi ambao tuliwapoteza katika jukwaa hili. Ingawaje Elnino pamoja na Mungiki Brother wamerudi the latter kutoka kibera bado tuna matumaini makubwa Invisible atatumia muda huu uliobaki hadi saa 7:00 am kwa saa za Afrika ya mashariki wakati mpambano wa Arsenal utakapomalizika. Hii ni kwa maombi rasmi ambayo yalitolewa ili kuona kama anaweza kuibuka. Baada ya hapo ni lala salama maana tutakuwa tunakwenda kumalizia ngwe tu na mashabiki ambao hawatakuwepo hata ile furaha yao itakuwa ni kichekesho tu .


khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


BTW nasikia Mike Dean jana alifanya kazi kama tulivyokubaliana katika maridhiano ya muafaka khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
01_nando_1264702a.jpg



TOR THE RES .. ... ...

Nasikia ameanza kuumwa chacha ile £50 million chijui ataanza kuilipa lini?


khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Bado tinachubiri goli bana khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
He is just 26.

He has played less than 10 games for Chelsea.

We all know that he will score goals.

Our worry is to win the remaining games and not that Torres doesn't score!!

 
He is just 26.

He has played less than 10 games for Chelsea.

We all know that he will score goals.

Our worry is to win the remaining games and not that Torres doesn't score!!



Only five games to be precise!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom