Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

...aaha ha ha haa! huyu dogo inafaa akapimwe akili sasa, Bunduki ya nini kwenye mazoezi ya mpira?
nadhani the best move ni kupima woote akili aisee... hivi una captain mzee wa poda, super midfield na issue za wizi, ass-ley the shooter, achilia mbali wengine
 



...habari zilizotufikia punde;

Pamoja na ile Bunduki ya ASHLEY COLE,
wameonekana Snipers wengine wamezunguka maeneo yote ya Darajani
kumuwinda Bundi! ha ha ha..
 


..."Jey T" mzee wa visketi akiwa mazoezini leo maeneo ya Cobham Surrey.
 
Binafsi kama fan no.1 wa The Blues sikuafiki coach kumtoa kwa Mkopo D sturadge kwenda Bolton nakweli khali inajidhiirisha yale maamuzi hayakuwa sahihi,kapiga game 4 na ka score mara4 tena magoli muhimu kwa timu.

The guy is just 21, he needs more minutes on the pitch - how can you play him while you have Torress, Drogba, Anelka and Kalue? i'm support chelsea that young stars need more time to get experience, so joining club like Bolton was wise decision for his future and club as a whole.

We have loaned other young stars who are doing good job out there as well. As chelsea fun no 1 - ulitakiwa kujua haya mkubwa.

Let us see at the end of season, we might offload Drogba and Anelka who knows then we can call the young star back.

Anyway tupo pamoja ni kueleweshana tu.
 

...,mafunzo yanaendelea Kambini CHELSKI!


...habari zilizotufikia punde;

Pamoja na ile Bunduki ya ASHLEY COLE,
wameonekana Snipers wengine wamezunguka maeneo yote ya Darajani

kumuwinda Bundi! ha ha ha..




..."Jey T" mzee wa visketi akiwa mazoezini leo maeneo ya Cobham Surrey.



Cash Cole alinong'onezwa kwamba Bundi ameweka maskani kwenye makuti, Rev. Fr. Masanilo akisaidiwa na Peasant akaamua kumshukia full Nondo maana amewacost ile mbaya khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Hivi chacha wapo kwenye sala kuombea Wine Romney afungiwe mechi nne kwa violent conduct ili wapumue kiduchu ... .... khe khe kheeeeeeeeeeeeeee

 
Cash Cole alinong'onezwa kwamba Bundi ameweka maskani kwenye makuti, Rev. Fr. Masanilo akisaidiwa na Peasant akaamua kumshukia full Nondo maana amewacost ile mbaya khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Hivi chacha wapo kwenye sala kuombea Wine Romney afungiwe mechi nne kwa violent conduct ili wapumue kiduchu ... .... khe khe kheeeeeeeeeeeeeee

[/CENTER]

Wacha one wacha waone wenywe,wacha one wacha kubwa bwaja.Obafemi Martins anakutafuta toka jumapili hunekani kwa muda sasa,anakuomba mkutane pale emirati akupe embe dodo.Jaribuni tena after six yrs.Mlifikiri sindimba.Imekula kwenu mwe.Maneno mingi mingi,mpira dakika 90.Obafemi Martins slotted into an open net kama anaokota embe dodo kiulaini lilo dondoka lenyewe mtini.
 
Binafsi kama fan no.1 wa The Blues sikuafiki coach kumtoa kwa Mkopo D sturadge kwenda Bolton nakweli khali inajidhiirisha yale maamuzi hayakuwa sahihi,kapiga game 4 na ka score mara4 tena magoli muhimu kwa timu.


Hiyo hasa ndio maana ya loan deal, kwamba upate more playing time na uongeze confidence na ujuzi kwenye game yako kwa kucheza mara kwa mara. Nafurahi sana kuona Studge akifanya vizuri, ni nzuri kwake binafsi, kwa Bolton na kwa Chelsea.
 
Najua VIDIC hamwezi Torres ikiwa atapangwa mwanzo anaweza kuwasaidia kushinda kwenye game ya leo.............
 
Small minded fan with small target....of course if you can't even win a Carling cup against a relegation candidate, winning against Chelsea should be the most important achievement of your season. When you think of beating Chelsea, we think of winning trophies....we don't even talk of the beating we gave u at the Bridge.

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke mie hata aibu halioni ni Wivu tu.


For the record msimu huu EPL:

16th October Arsenal 2 - 2 Birmingham

20th November Birmingham 1 - 0 Chelsick

1st Jan Birmingham 0 - 3 Arsenal


Chacha ni aje?




BTW ni lini Chelsick wameanza kuchukua hata kikombe cha chai? Hii inaonyesha wazi unazi wako kwa Chelsick ni wa mashaka kwa sababu katika ujana wako wote ilikuwa ni machungu tu based on the fact that hamna hata 6 years kwenye ushindi na hapo nimekupendelea


khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Lee-Bowyer-Birmingham-City-Premier-League_2531931.jpg


Chacha najua kwa nini unawahara Birmingham

Walikufanya Vibaya Mwaya walikuumiza weye ..... babake




Ben-Foster-Birmingham-City-Premier-League-PA_2531993.jpg


Birmingham 1 - 0 Chelsick20.11.2010




Michael-Emenalo-Chelsea-Premier-League_2531939.jpg


Debut ya muuza unga uliwaua Chelsick kule Birmingham
 
I hit a nerve! Coward ni wewe unayekimbia kila Arsenal ikicheza na kurudi usiku ku-paste picha wakati watu hawapo, sore loser!


Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee kwa hiyo nibadili routine yangu kukufurahisha Coward Peasant kwa sababu msimu huu bundi ametawala darajani khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Naona bado unaota ndoto za mchana.... ... is this a school where there is a routine, or an army camp? Invisible weka rules mpya khe khe kheeeeeee au basi mwambie Mungiki Brother anayekusaidia ku-edit post za members hapa abadili sheria .... what a loser!

Coward Peasant naomba ruhusa kwenda kulala .... ...khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee


Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


BTW nipo Alaska hivi sasa, tuwekee muda chichi wa Alaska basi.

Nani anapanga timu leo. Muuza unga mkuu au Acheni lotte?
 
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke mie hata aibu halioni ni Wivu tu.


For the record msimu huu EPL:

16th October Arsenal 2 - 2 Birmingham

20th November Birmingham 1 - 0 Chelsick

1st Jan Birmingham 0 - 3 Arsenal


Chacha ni aje?




BTW ni lini Chelsick wameanza kuchukua hata kikombe cha chai? Hii inaonyesha wazi unazi wako kwa Chelsick ni wa mashaka kwa sababu katika ujana wako wote ilikuwa ni machungu tu based on the fact that hamna hata 6 years kwenye ushindi na hapo nimekupendelea


khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Lee-Bowyer-Birmingham-City-Premier-League_2531931.jpg


Chacha najua kwa nini unawahara Birmingham

Walikufanya Vibaya Mwaya walikuumiza weye ..... babake




Ben-Foster-Birmingham-City-Premier-League-PA_2531993.jpg


Birmingham 1 - 0 Chelsick20.11.2010




Michael-Emenalo-Chelsea-Premier-League_2531939.jpg


Debut ya muuza unga uliwaua Chelsick kule Birmingham

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee kwa hiyo nibadili routine yangu kukufurahisha Coward Peasant kwa sababu msimu huu bundi ametawala darajani khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Naona bado unaota ndoto za mchana.... ... is this a school where there is a routine, or an army camp? Invisible weka rules mpya khe khe kheeeeeee au basi mwambie Mungiki Brother anayekusaidia ku-edit post za members hapa abadili sheria .... what a loser!

Coward Peasant naomba ruhusa kwenda kulala .... ...khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee


Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


BTW nipo Alaska hivi sasa, tuwekee muda chichi wa Alaska basi.

Nani anapanga timu leo. Muuza unga mkuu au Acheni lotte?



This's the best a small mind can come up with. I don't see any substance in your argument, tatizo shule au nini?!! Yaani the only thing you can do better is copy and paste some stuff on here, apart from that it's all same old crap.
 
This's the best a small mind can come up with. I don't see any substance in your argument, tatizo shule au nini?!! Yaani the only thing you can do better is copy and paste some stuff on here, apart from that is all crap.




Talk about school? Which school Coward Peasant? How can you get it? Ofcourse when the facts are clear imbeciles call them crap.

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 



Talk about school? Which school Coward Wacha1? How can you get it? Ofcourse when the facts imbeciles call crap.

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 





Talk about school? Which school Coward Peasant? How can you get it? Ofcourse when the facts are clear imbeciles call them crap.

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Sorry sir, it's not my problem that you can't argue objectively, which is a clear sign of halfwit....enjoy your time:hand::hand:
 
unalima mchicha unavuna mibange....

Arsenal policies of mananging this club needs to be reviewed immediately..... Wenger is doing business of selling players nothing else......... more than 10 years without any trophy and yet you call it eti A BIG CLUB --- :hand: signing off.

You should tell that to your fellow supporters and fans at Chelsick ... .... .... . .no wonder you've disappeared.





Sorry sir, it's not my problem that you can't argue objectively, which is a clear sign of halfwit....enjoy your time:hand::hand:

Objectively on whose perspective? A maggot?

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom