Elnino karibu sana mkuu vipi matanga yanaendeleaje? Vipi Bundi amegoma kabisa au ndio safari ya Denmark ameghairi?
Acheni Lotte ana kazi kubwa pengine niwakumbushe baadhi ya wanazi ambao hawajui kazi ya assistant Coach i.e. kwa Chelsick ni yule muuza unga kutoka Nigeria wanamwita Amanolo kama sikosei Peasant anaweza kusahihisha hili .... ..... khe khe kheeeeeeeeeee I doubt!. Kazi yake ni kukifundisha kikosi cxha kwanza jinsi mpira unavyochezwa na kuwapa maarifa ya hapa na pale na ndiye yupo na wachezaji kwa muda mrefu wanapokuwa mazoezini. Manager yaani Acheni Lotte yeye ni kuangalia timu inapokuja kwenye mpambano na kuamua ni formation gani itumike na kusoma maendeleo ya mchezo na kubadili formation as necesary kutokana na kuwaangalia upinzani uwezo na wachezaji wake.
Sasa kilichowaua mafioso ni kumfukuza Wilks ambaye ndiye engine ya club maana yeye ndiye anakaa na wachezaji muda mrefu na anatakiwa kujua kila matatizo yao in and out. Amanolo knows nothing about that zaidi ya kuuza unga, yeye anategemea nguvu za Abraham O Vich ili apete. Sioni Chelsick kufufuka hadi pale mafioso mkuu atakapoamua timu yenu kurudishwa kwa wataalm yaani assistant Coach anayeweza kazi yake bila kumtumia sana manager wake. Bundi haondoki hapo hadi mkubali ukweli huo .... .... ... yes mtashinda hapa na pale lakini kazi mnayo.
Nawatakia kila la kheri kwa mechi zilizobaki lakini wajemeni niliwaambia EPL sio cha ndimu ona chacha Invisible, Mungiki brother, AljuniorTZ, bacha, Mzozo wa Mizozo, sanda matuta mwanzilishi wa hiki kijiwe, Rev kishoka, Yoyo, sajenti, St RR etc etc wote wameunyuti ..... .... .... its just a game guys come back mkubali kushindwa na mbadilike msiwe kama mafioso.
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
From ...... ...... ....
![]()
To ..... ..... ....
![]()
Na bado mwaka huu mtakoma ubishi
khe he kheeeeeeeeeeeeeeee
Nilisikia jana mlianza kuruka ruka kama chura ati Gunners wamefungwa thubutu! Tulipumnzisha tu mastaa.
From ...... ...... ....
![]()
To ..... ..... ....
![]()
Na bado mwaka huu mtakoma ubishi
khe he kheeeeeeeeeeeeeeee
Nilisikia jana mlianza kuruka ruka kama chura ati Gunners wamefungwa thubutu! Tulipumnzisha tu mastaa.
Ndoto za mchana za Carlo Ancelotti sometimes ni kama za Arsène Charles Ernest Wenger:...ha ha haaa....this is el classico! ...Chel-Sick-Rest-In-Peace!!!
Ndoto za mchana za Carlo Ancelotti sometimes ni kama za Arsène Charles Ernest Wenger:
CARLO ANCELOTTI came out swinging last night and declared: "Chelsea are not dead."
"Chelsea has not died, it is still alive. This could be the best season that the club has ever had in its memory or maybe it could be the worst.
"I have managed in these situations many times. I should remind you that it was the same for me at Milan in 2007. And ask the Italians what happened in that year."
It was in 2007, of course, that AC Milan beat Liverpool in the Champions League final in Athens.
"Our aim now is to try to win the Champions League and to finish in the top four in the Premier League.
Invisible, Mungiki brother, AljuniorTZ, bacha, Mzozo wa Mizozo, sanda matuta mwanzilishi wa hiki kijiwe, Rev kishoka, Yoyo, sajenti, St RR etc etc wote wameunyuti ..... .... .... its just a game guys come back mkubali kushindwa na mbadilike msiwe kama mafioso.
Duh.....hahahaaaaa.....hebu fanya kuniomba radhi.......umenidhalilisha sana.....
Terry is struggling to comprehend the prospect of Chelsea not being in next season's Champions League and ESPNsoccernet revealed on Monday that former Blues caretaker Guus Hiddink is in the frame to take over next season should Ancelotti not rescue something from this campaign.Ehh! sikujua EPL title amesha surrender, watu wazungumzia treble, yy CL tu?
Duh.....hahahaaaaa.....hebu fanya kuniomba radhi.......umenidhalilisha sana.....
It pains a lot to loose direction from good start we had at the beginning of the season but still I have good dreams..