Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

hii game Chelsea wanahitaji kubadilika ili angalau waambulie hata draw....Elnino hakuna kitu kabisa pale mbele...bora atoke aingie Drogba....then tangu lini A. coleameanza kupiga free kicks kama zile??? ni upotezaji wa nafasi ambazo zinaweza kuleta magoli......Anyway dk. 45 zitaamua....
 
We have got 45 minutes only to stop our PL title hopes going from highly unlikely to non- existence!
 
Half time, game bado iko open kwa timu zote.

ila kuna timu moja inahitaji kusawazisha kabla ya kusaka ushindi na moja inahitaji kunogesha ushindi......Hizi ni kazi mbili tofauti ila nakubaliana nawe kuwa bado game ipo wazi.....Hahahahaaaaa.....Pole sana kaka...............
 
ila kuna timu moja inahitaji kusawazisha kabla ya kusaka ushindi na moja inahitaji kunogesha ushindi......Hizi ni kazi mbili tofauti ila nakubaliana nawe kuwa bado game ipo wazi.....Hahahahaaaaa.....Pole sana kaka...............

Tumesharudi tayari mkuu, game on!
 
Naona GN yupo jukwaani full midadi.....Hana amani wala uhakika wa ushindi ......................Raaaha sana,,,,.....
 
Drogba anakamua na kuhamasisha.....full kujituma.....
 
Penalti goooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom