Wewe no coward hata picha ambazo zipo kwenye magazeti unaogopa kusema ni wewe uliyeweka ni AIBU uombe msamaha tu kwa wana jamvi maana hii ni tabia yako kupindisha hoja za members hapa. Phew! What a loser its just a Game. I hope you will apologize.
Hivi ni Chamakhi ama Samaki?
Hivi ni Chamakhi ama Samaki?
Beki wao anaitwa Konzi!
Na golikipa anaitwa Shenzi.....hahahahaha
Na golikipa anaitwa Shenzi.....hahahahaha
Una hasira sana na Martins OBA!
...tokea lini Man U na Chelsea wakawa wamoja bana, wasiikusumue hao!
![]()
...these two "thugs" do not deserve to be in the pitch tomorrow,
anyway, 24 hours kuanzia sasa kilio kitahamia mtaa mmoja wapo!
![]()
Ile return leg ndio ilikuwa leo bado nawatafuta Chelsick baada ya
Daraja kuvunjwa ....... nasikia wamekimbilia kwenye mtaro lazima tuwafukue .....
Mkuu wameniondolea kidude cha Thanks hawa jamaa wana visa sana na kesho wakinywa maji naona watafunga hii forum maana itakuwa kiama khe khe hekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nicca please... why would I be heartbroken..?
Acha kujidai akijauma...kubali mmefungwa and it hurts hizi yengele nyingine ni mazungumzo baada ya habari.
...Pole sana Mkuu!....Bundi pia ameonekana mitaa ya "Old Trash Fort" bana...sasa sijui itakuwaje...
![]()
Anyway msiba kokote, kwetu ni ulaji tu!
Nakwambia kesho ipo kazi sasa sijui wamempa urefa nani? Maana wote ni wahongaji wakubwa na kama unavyofahamu ukitaka uchukue EPL lazima kwanza uwafunge hawa wanoko wawili halafu uwafunge Sky sports na media nzima then refa pamoja na FA chacha kuna watu wanafikiri mpira unapochezwa pale uwanjani ni lelemama, lakini mwaka huu tumewashika vibaya kitaeleweka tu. Matokeo ya kesho kwetu ni mazuri tu whichever way.
BTW Kudos Thanks button back.
am an arsenal fan not because we are winning trophies or because we used to win trophies but because of the kind of football we play and our footballing philosophy(Wenger`s) of developing youngsters and giving them a chance to shine. if you only care about trophies you can as well go and support Birmingham! - Kenyan Gunner
Wewe ni coward hata picha ambazo zipo kwenye magazeti unaogopa kusema ni wewe uliyeweka ni AIBU uombe msamaha tu kwa wana jamvi maana hii ni tabia yako kupindisha hoja za members hapa. Phew! What a loser its just a Game. I hope you will apologize.
Beki wao anaitwa Konzi!
...tokea lini Man U na Chelsea wakawa wamoja bana, wasiikusumue hao!
![]()
...these two "thugs" do not deserve to be in the pitch tomorrow,
anyway, 24 hours kuanzia sasa kilio kitahamia mtaa mmoja wapo!
![]()
...Nice One!