Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,485
- 8,667
Tukitaka uimara wa nyuma itabid jorginho na kante wabadilishane nafasi
Lakini bila shaka analifanyia kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukitaka uimara wa nyuma itabid jorginho na kante wabadilishane nafasi
Inawezekana ana amini Chelsea ni timu bora kuliko Liverpool. Pia Liverpool ukiangalia kwa makini wana kikosi finyu sana pengine kuliko chelsea.Blaza mchambuzi umetumia kigezo gani kusema Chelsea ni timu iliyokamilika na Liverpool bado haijakamiliaka ukiliangalia performance ya timu hizi msimu uliopita?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha[emoji3] [emoji3] [emoji3] watu huwa wanasahau kauli zao.Kwa hiyo msimu huu liverpool isahau kuhusu ubingwa
Mbona unajikana mwenyewe mkuu
Sio wewe uliesema mmekamilika na malafyale
E&K
Nafikiri anatakiwa Kubadilika
Jamaa alichukia sana kumkosaNdio maana sishangai Gurdiola akitoa povu baada kumkosa huyu kiungo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la sarri ni kumwamini David LuizSi ndio mkuu mpira wa Sarri umeanza kwiva kwa wachezaji lakini naona kama tunafungika kirahisi sana.
Sarri anatakiwa kujenga defense yenye nguvu kuzuia kufungwa kirahisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua hakuna team iliyowahi kuwa na possession kubwa kiasi hiki
Kama iko ruksa kunikosoa kwa pale england View attachment 847762
E&K
Man City Na SwanseaCommentary ya wakati wa mechi wamesema Manchester City walishawahi kufikia percentage kama hizi...sikusikia vyema ni ngapi waliongelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehee.. Liver fan simplifying life as if it is taking easy to eat pizza and forgetting its process.yani mpira wa hovyo mipasi mingi ambayo haina mpango-yani hawa chelsea wakikiutana na timu kama liverpool wazee wa counter watapata tabu sana
Mfumo wa sarri unahitaji jorgihno aendelee kukaa deep Huku kante na kovasic wakiwafikia middifield WA Team pinzani kwa haraka nachokiona kakosa beki kiongozi Luiz hawezi ongoza defense, pia kovasic anapaswa kumlinda Alonso Kwasababu anajisahau akienda kuongeza madhambuliziTukitaka uimara wa nyuma itabid jorginho na kante wabadilishane nafasi
Lakini bila shaka analifanyia kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
PoleeYeyote Leo Atakae Beti Kwa Chelsea Basi Kauchana Mkeka.
Beti Kwa New Castle Nakuhakikishia utakavyompiga Muhindi atakuona Mchawi.
Kwa hiyo msimu huu liverpool isahau kuhusu ubingwa
Mbona unajikana mwenyewe mkuu
Sio wewe uliesema mmekamilika na malafyale
E&K
Blaza mchambuzi umetumia kigezo gani kusema Chelsea ni timu iliyokamilika na Liverpool bado haijakamiliaka ukiliangalia performance ya timu hizi msimu uliopita?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh Ngwaba,
Kwahiyo Chelsea imekamilika ila Liverpool bado inajengwa???!!!!!!!
Kweli...???!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo maana ya timu kukamilika kwako ni ipi? Kwa kuwa inawezekana timu zingine zote zikakamilila ila Liverpool isikamilikePerformance ya timu na Kukamilika Kwa Timu Ni Vitu 2 tofauti.
Inawezekana Timu imekamilika lakimi ikawa inacheza Underperformance Kama mulivyokuwa Last Season Kwa Conte baada ya Wachezaji Kukosa Morali.