eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,401
Anatokea tena benchMechi ya leo ataanza XI
Sarri ana kikosi chake tayari sasa hivi
Hakosi willian, morata, na Pedro
Hazard kipindi cha pili kama kawaida
E&K
Anatokea tena benchMechi ya leo ataanza XI
Mbona jana sijaona bao NNE nini kilikusibu wakati ulikuwa nyumbaniLeo Nitakuwa Mgeni Wenu Hapa
da mbona siamini mawazo yanatoka humu team gani dunia hii hazard atakaa benchi tuheshimu wachezaji wazuri discipline ya hazard ni ya hali ya juu, ila uvumilivu una kikomo kuna siku chelsea itakuwa nyuma ya goli 2 atakataa kuingia hapo ndipo mtajua washabiki wa Chelsea walivyo, mchezaji wa kiwango cha dunia, captain wa beligium anakaa benchi ,William&pedro wanacheza tuache kutukana football, ni bora wamuuze hata united nisije poteza fursa ya kuona moja ya viwango bora kabisa, kocha anachosubiri hazard kuanza migomo kama ya cotihno ,uwepo wa hazard unatetemesha defense ya team yoyote duniani ,tuachekuunga mkono visivyo na maana,team ina defence mbovu sijawai kuona toka nimechagua kuishabikia,mchezaji anaeweza kukaa na mpira kufanya wapinzani wasijisahau na kushambulia Sana anakaa benchiMimi naunga mkono hazard aendelee kutokea bench tu
E&K
Mbona jana sijaona bao NNE nini kilikusibu wakati ulikuwa nyumbani
E&K
Inatakiwa leo tushinde goli nyingi sana. Liverpool haipaswi kufikisha masaa 24 akiwa pale kileleni..
Au mnaonaje mazee..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungejua mawazo ya hazard hayapo chelsea kwa sasa ungenielewa japo kidogo tuda mbona siamini mawazo yanatoka humu team gani dunia hii hazard atakaa benchi tuheshimu wachezaji wazuri discipline ya hazard ni ya hali ya juu, ila uvumilivu una kikomo kuna siku chelsea itakuwa nyuma ya goli 2 atakataa kuingia hapo ndipo mtajua washabiki wa Chelsea walivyo, mchezaji wa kiwango cha dunia, captain wa beligium anakaa benchi ,William&pedro wanacheza tuache kutukana football, ni bora wamuuze hata united nisije poteza fursa ya kuona moja ya viwango bora kabisa, kocha anachosubiri hazard kuanza migomo kama ya cotihno ,uwepo wa hazard unatetemesha defense ya team yoyote duniani ,tuachekuunga mkono visivyo na maana,team ina defence mbovu sijawai kuona toka nimechagua kuishabikia,mchezaji anaeweza kukaa na mpira kufanya wapinzani wasijisahau na kushambulia Sana anakaa benchi
Ilikuwa bahati tuKwanza Jikosoe Mawazo Yako Wewe Kwa Ulichotutabiria Kabla Ya Mechi Kuanza
Ilikuwa bahati tu
Match Ilikuwa sare kabisa
E&K
Bahati tu nakwambiaWewe Kweli umeangalia Mpira LiveScore ndiyomana unaweweseka Hivyo!
View attachment 847393
Kulingana Na Hizo Stats Hapo Juu Hebu Nipe Point Moja tu yakuwa Tumebahatika.
Mtu Kafanya Clearances 34 kwa Zangu 11 Halafu unasema Nimebahatika?
Nimepiga On Target 8 kwa Zake 2 Halafu unasema Nimebahatika?
Jifunzeni Kuangalia Mpira Bhana!!!
Yaani we ndio unaiona leo hii habariAbramovich puts £2bn Chelsea up for sale
2 hours ago 12:16
Roman Abramovich has put Chelsea up for sale, and values the club at over £2 billion (€2.2bn/$2.5bn).
The Russian oligarch has hired an American investment bank to broker the sale, and is hopeful of receiving a record fee for a football club.
Abramovich rejected a £2bn bid from Sir Jim Ratcliffe earlier this year, as he was holding out for a higher bidder.
Yaani we ndio unaiona leo hii habari
Hii ni habari iliyokanushwa na boss abromovich miezi miwili iliyopita na hii story ilikuja baada ya uingereza kumnyima kibali cha kuendelea kuishi uingereza kwa sababu ya urafiki wake na rais Putin kwa sababu za kisiasa
E&K
Bahati tu nakwambia
We angalia umekosa goli ngapi na umecheza mpira mwingi mno lakini hola
Ilikuwa bahati we kuwahi kupata goli moja kabla ya half time
E&K
Sasa kama anataka kuuza pauni billion 2 alizokataa ni nyingi mnoYakukanusha Ni habari Mbali na hii Niliyoileta Mimi!
Hiyo unayosema wewe Ni hile ya tokea January.
Anaweza kuondoka msimu ujao. Msimu huu yupoHuyu anatuacha muda sio mrefu lazima mwalimu sarri aangalie nani anaweza kucheza na wilian
E&K
Hawezi kubahatika kwa kuwa yeye na wewe wewe ni mkubwa kuliko brightonBado hujaprove Kuwa Kwanini tumebahatika!!!
Na Mimi Nikisema Yeye BHA kabahatika Kuwa Hatujamfunga mengi, Nitakosea?