Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 699
Ddnt watch the game, lakini i concur with ya, kumpanga mechi ngumu na mhimu kama hii Torres kullimwongezea presha tu ambazo ni so unnecessary. Pengine asingeanza things would have cooled down.
All in all it's not over till its over. As far as am concerned nakuwaga worried sana kufwata kwa ukaribu na Chelski kuliko Fat Arse. Honest. Kataa kubali, thts fact.
Kwa mwendo huu kombe mtachukua kirahisi mwaka huu, hao Fat Arse wala hawatawapa shida sana ni pretenders tu hao ambao wameoverachieve so far.