hahaha wajuba mlikuwa mmeikamia chelsea kudadeki... Naona ile resurgency yao ya kushinda mechi mbili tatu imezimwa...Mkuu Mbu tuletee picha ya jeneza yenye jezi ya torres juu yake loool tukamilishe msiba.
hahaha wajuba mlikuwa mmeikamia chelsea kudadeki... Naona ile resurgency yao ya kushinda mechi mbili tatu imezimwa...
Talk to the Hand
![]()
hahaha wajuba mlikuwa mmeikamia chelsea kudadeki... Naona ile resurgency yao ya kushinda mechi mbili tatu imezimwa...
hahah invisible na mwenzake ab tichaz sijawaona kipande hii tangu october....chelsea waombe refund au kwenye soka hakuna mambo ya 30 day return/exchange policy?Jamaa wamesumbua sana kuanzia jumatatu mpaka jana .kelel zilikua nyingi sana za Torres .Mpa invisible akaibuka na thread "its good to be a blue" lool.
Khe khe khe Peasant afadhali jamaa wamekusaka hadi unaonekana Check hapa chini .... ...
![]()
Hivi mtafika kweli msimu ujao huo ndio wasi wasi khe khe kheeeeeeeeeeeeee niliwaambia timu haiwezi kupangwa na Abraham O Vich akishirikiana na Emanolo muuza unga kutoka Nigeria. Chacha gombana menyewe
Khe khe kheeeeeeeeeeee
Jamaa wamesumbua sana kuanzia jumatatu mpaka jana .kelel zilikua nyingi sana za Torres .Mpa invisible akaibuka na thread "its good to be a blue" lool.
Yeah, ilikuwa tactical mistake kwa Carlo kujaribu mfumo mpya kwenye mechi ngumu na ambayo tayari Torres alikuwa under pressure hata kabla ya mechi kuanza, nafikiri ingekuwa poa akacheza kwa mfumo tuliozea na wachezaji wanaofahamiana zaidi walitakiwa waanzae. Tulikosa penetration from the wings, na katikati Liverpool walikuiwa wamejaa mno.
Ddnt watch the game, lakini i concur with ya, kumpanga mechi ngumu na mhimu kama hii Torres kullimwongezea presha tu ambazo ni so unnecessary. Pengine asingeanza things would have cooled down.
All in all it's not over till its over. As far as am concerned nakuwaga worried sana kufwata kwa ukaribu na Chelski kuliko Fat Arse. Honest. Kataa kubali, thts fact.
Ukiona mwenzio ananyolewa na wewe.....Wacha utukutu na wewe mpira kukuona then unaleta ngebe, Wolves jana wamekukamua chacha unafikiri tumesahau nenda kamuuguze Rio .. .... .... kilichobaki ni kujikombakomba tu khe khe kheeeeeeeeeeeeeee
Ukiona mwenzio ananyolewa na wewe.....
Safari bado ndefu chief.