Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Khe khe kheeeeeeeeeeeeee mpira mmeshindwa sasa maneno mengi kama pilipili manga. Free transfer does not mean free kama ni hivyo Michael Ballack mlilipa kiasi gani? Mkuu wachezaji wenu wengi walikuwa mizoga kwenye timu nyingine ndio maana wapo kwenu.


BTW sio wewe ulikuwa unapinga kwamba hamuuzi madawa ya kulevya? Kama kawa, kama huoni uozo wa Stamford bridge utajuaje uzuri wa Emirates. Endeleeni kula makombo ya Abraham O Vich hata siku moja hamuwezi kuwa mali kitu.


Bora muuzaji kuliko mtumiaji kama wewe, posts zako zinaonyesha ni kwa kiwango gani umeathirika na madawa ya kulevya, you urgently need rehab before it's too late.
 
Usipate sana homa ya macho jamaa yangu.Hawa vijana watapoteana soon tu, tuwape muda kidogo hivi,Jumatano iko mambo pale kwao.Inabidi wafanye Checkup ya kufa mtu ya gobole lao lasivyo watapoteana porini ile kichizi jtano. Gobole limeanza kukorofisha since last jmosi,ninahisi limeanza kupata kutu au limeishiwa ile kitu inaitwa masase. Babu anahaha ataepuka vipi ile kitu mbaya iliyofanyiwa Madrid. Thus,kuna possibility vijana wakaliwa na mbwa mwitu jmosi.
Giro,
don't worry, be happy, that is the game. May be match zilizobaki watashinda.... Natamani Asernal wapotee ili huyu Wacha1 na ndugu zake akina Mbu, Madaso, Wenger and the co wahamishe kijiwe Imarati. Dah wanasumbua saaaana hapa.

Hivi Sanda Matuta upo?

01722c0b-b84a-4418-9a55-99ce49211bba.jpg


khe khe khe, "dua la kuku...!"

 
Khe khe kheeeeeeeeeeeeee mpira mmeshindwa sasa maneno mengi kama pilipili manga. Free transfer does not mean free kama ni hivyo Michael Ballack mlilipa kiasi gani? Mkuu wachezaji wenu wengi walikuwa mizoga kwenye timu nyingine ndio maana wapo kwenu.


BTW sio wewe ulikuwa unapinga kwamba hamuuzi madawa ya kulevya? Kama kawa, kama huoni uozo wa Stamford bridge utajuaje uzuri wa Emirates. Endeleeni kula makombo ya Abraham O Vich hata siku moja hamuwezi kuwa mali kitu.
Ila mkuu to be fair hao wachezaji mizoga wa chelsea have achieved more ukilinganisha na wachezaji wa timu nyingi za epl including arsenal.
 
Ila mkuu to be fair hao wachezaji mizoga wa chelsea have achieved more ukilinganisha na wachezaji wa timu nyingi za epl including arsenal.

Well said mate! Huyo mzee wa kulia hana argument yoyote yenye substance.
 
Ila mkuu to be fair hao wachezaji mizoga wa chelsea have achieved more ukilinganisha na wachezaji wa timu nyingi za epl including arsenal.


On your dreams mate! I can see you've got a mate khe khe kheeeeeeeeeeeee mkumbatie tu. You will make a nice couple khe khe kheeeeeeeeeeeeeee.
 
CarloAncelotti_1239444a.jpg

Four-gone conclusion ... .... Acheni Lotte

admits Chelsick are out of title race

Huyu jamaa ndiye analia khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

CHELSICK boss Carlo Ancheni Lotte has admitted defeat in the Premier League title race. The Italian insists the 10-point gap between the current champions and leaders Manure is too great to claw back.
And the Stamford Bridge chief has instead turned his focus on making sure the fourth-placed Blues finish in a Champions League spot

Khe khe kheeeeeeeeeeeeenicheke mie khe khe kheeeeeee
 
On your dreams mate! I can see you've got a mate khe khe kheeeeeeeeeeeee mkumbatie tu. You will make a nice couple khe khe kheeeeeeeeeeeeeee.

Funny-Signs-Owls-55.jpg

Wacha1,...bango hili nimelikuta karibia na Bromton Cemetery, 'nasikia' mitaa hii kuna kiwanja cha mpira
chenye jina la daraja la Stamford sijui...aarrghhh. Anyway, nasikia kwa misiba hapo ...weeee!!!
 
On your dreams mate! I can see you've got a mate khe khe kheeeeeeeeeeeee mkumbatie tu. You will make a nice couple khe khe kheeeeeeeeeeeeeee.
'In my dreams?' tunazungumzia facts hapa...weka idadi ya vikombe ambavyo chelsea na arsenal wameshinda tangu 2001 mpaka leo?
 
'In my dreams?' tunazungumzia facts hapa...weka idadi ya vikombe ambavyo chelsea na arsenal wameshinda tangu 2001 mpaka leo?

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeee .... ..... ..... when you know the difference between rules and guidelines come back khe khekheeeeeeeeeeeeeee



"Man U... Red Devils Hatushikiki"

feeling-invincible-funny-demotivational-poster-1280640924.jpg


...poleni sana wakuu!

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
 
Funny-Signs-Owls-55.jpg

Wacha1,...bango hili nimelikuta karibia na Bromton Cemetery, 'nasikia' mitaa hii kuna kiwanja cha mpira
chenye jina la daraja la Stamford sijui...aarrghhh. Anyway, nasikia kwa misiba hapo ...weeee!!!


Nafikiri hiyo Bromton Cemetery itakuwa ndani ya Emirates stadium, hakuna kitu kama hicho West London. Try harder! But Fat Arses are welcomed to be buried at Brompton Cemetery
 
Nafikiri hiyo Bromton Cemetery itakuwa ndani ya Emirates stadium, hakuna kitu kama hicho West London. Try harder! But Fat Arses are welcomed to be buried at Brompton Cemetery



CarloAncelotti_1239444a.jpg
 
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeee .... ..... ..... when you know the difference between rules and guidelines come back khe khekheeeeeeeeeeeeeee

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee



Jibu swali, Wacha kurukaruka kama headless chicken au ndio madawa yanakuathiri unabaki kuchekacheka kama chizi. Umeambiwa uweke idadi ya vikombe hapa tangu 2001 kati ya Champions Chelsea na Pretenders Arsenal, mbona swali rahisi sana hilo?!! Punguza unga mkuu tusije kukuokota chini ya Tube.
 
Jibu swali, Wacha kurukaruka kama headless chicken au ndio madawa yanakuathiri unabaki kuchekacheka kama chizi. Umeambiwa uweke idadi ta vikombe hapa tangu 2001 kati ya Champions Chelsea na Pretenders Arsenal, mbona swali rahisi sana hilo?!! Punguza unga mkuu tusije kukuokota chini ya Tube.


article-1345085-0CADD75B000005DC-225_634x360.jpg

 
CarloAncelotti_1239444a.jpg

Four-gone conclusion ... .... Acheni Lotte

admits Chelsick are out of title race

Huyu jamaa ndiye analia khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Khe khe kheeeeeeeeeeeeenicheke mie khe khe kheeeeeee



It's called HONESTY. Kwanini apretend kwamba atashinda wakati ukweli ni kwamba tuko position mbaya kuchukua ubingwa! Huo usanii anauweza Wenger tu peke yake kwenye EPL, utasikia akikwambia kwamba as long as it's mathematically possible then tutakuwa mabingwa, bila kujali factors nyingine. Lakini bado naamaini tutamaliza juu yenu, I can bet my breath for that.
 
Nafikiri hiyo Bromton Cemetery itakuwa ndani ya Emirates stadium, hakuna kitu kama hicho West London. Try harder! But Fat Arses are welcomed to be buried at Brompton Cemetery


...aaahhha haa haa haa!...so long as kuna ka ukweli makaburi hayo yapo, "Potato, potatoes...!" it's all the same thing :rip:
 
Jibu swali, Wacha kurukaruka kama headless chicken au ndio madawa yanakuathiri unabaki kuchekacheka kama chizi. Umeambiwa uweke idadi ya vikombe hapa tangu 2001 kati ya Champions Chelsea na Pretenders Arsenal, mbona swali rahisi sana hilo?!! Punguza unga mkuu tusije kukuokota chini ya Tube.

ha ha ha!...wakati huo huo, compare baina ya Man United, Arsenal na Chelsea,...Abramovich keshaajiri managers wangapi 2001 - Todate...
ha ha ha!

Claudio Ranieri
2000 to 2004

Jose Mourinho
2004 - 2007

Avram Grant
2007 - 2008

Luiz Felipe Scolari
2008 - 2009

Guus Hiddink
2009 - 2009


Acheni Lotte
2010 - Todate

...Long Live Arsene Wenger and Sir Alex Fergusson. :clap2:
 
Hawa Mashabiki walioandika hivi ni wa Chelsick tena core fans wenye kadi sio washabiki koko kama kina Peasant's ..... ..... ...... khe khe kheeeeeeeeeeeee


OK! Thanks for information Fat Arse "core" fan, Wacha!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom