Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 699
ha aha ha ha ha ha msibaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wenyewe wako wapi humu.
Tupo mkuu, naona mambo yetu mabaya leo. Nafikiri ilikuwa mapema sana kumwanzisha Torres, anaonekana alikuwa under pressure kuanzia mwanzo. Anyway, ligi bao inaendelea, ndio kwanza twist and turns zimeanza.