Questt
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 3,010
- 422
Hujui unachoongea! Hongera kubebwa zidi ya David Moyes
Mbona wewe ndo hujui Unachoongea??????????????????
Hujui unachoongea! Hongera kubebwa zidi ya David Moyes
hongereni watani...kwa kupunguza gap.
Ningependa Jpili aanze Anelka na Torres kule mbele! Point tatu kibindoni tunajivuta pole pole
Karibu tena Mchungaji,tunawaomba waambie wenzio kina Invisible,AB Tchaaz na Mchungaji mwenzio warudi jukwaaniArsenal wangetumia pesa hiyo kununua wachezaji 11 yaani timu nzima!
Sidhani kama Carlo anaweza kumwanzisha Torres, most likely ataingia kipindi cha pili. Kama Anelka atamaintain kiwango cha leo, sioni wa kutuzuia kufunga.
Torres mashine nyingine ile msifananishe na wachezaji wenu wa kufunga magoli mpaka wapitie kwa kalumanzira au wanakaa miezi kibao bila magoli,waspain mpira wanajua hata wengine timu ya taifa hawaitwi na wapo bench(majina siwataji naheshimu timu za watu)tena hao ni muhimu ktk klabu zao hadi wengine wamepewa unahodha ila timu ya taifa ya spain ni bench.
Hi kwanini Arsenal wamechukia sana kuliko hata Liverpool, Chelsea kusign Torres na Luiz?
By the way it has been confirmed that Luiz get number 4 jersey vacated earlier by Jean Claude Makelele na Torres gets number 9 which was used by Di Santos.
Muziki mkubwa huo.
![]()
![]()
The Sun will send your ‘traitor’ football shirts to Africa | The Sun |News
Jezi moja ya Torress ni £50, Kama target ni kuuza copy Millioni Moja dunia nzima mpaka June 11 - sasa piga hesabu mwenyewe then compare na pesa ya manunuzi £50million.
Wazo tu wa wale wanaosema Chelsea imepoteza fedha nyingi kumnunua staa huyu.
The Sun will send your ‘traitor’ football shirts to Africa | The Sun |News
Jezi moja ya Torress ni £50, Kama target ni kuuza copy Millioni Moja dunia nzima mpaka June 11 - sasa piga hesabu mwenyewe then compare na pesa ya manunuzi £50million.
Wazo tu wa wale wanaosema Chelsea imepoteza fedha nyingi kumnunua staa huyu.
Hapo wakae makipa 3 Manone, Fabinsk, Almunia lazima kucheka na kulia yote makelele
Alivyocheza jana Anelka siwezi kuamini ataanzia bench! Wapenzi wengi wangependa kuona £ 50 Mil striker anaanza. Kuweza accommodate Torres mmoja wapo kati ya Drogba na Nic lazima aanzie bench. More likely Didier sababu ya kiwango duni cha sasa alichonacho.
Hebu ona anavyopendeza na uzi wa blue
http://www.chelseafc.com/page/LatestNews/0,,10268~2282230,00.html
Blue for life