Giro
JF-Expert Member
- Feb 9, 2009
- 359
- 24
Wazima wa afya kaka ila hali mbaya kidogo.Vipi na huko utokako wazima kweli? Coz Wend haikuwa muzuli,kuna ile maneno ya daraja kuvunjwa,mashetani kuliwa na mbwa mwitu,na ile jamaa yangu inayoshika shika gobole ikashindwa kulenga ile kopo ya castle.Nimepitia kuwasalimia tu "The Blues". Wazima lakini?
Wasalimie utakapo rudi kwenu,coz sina uhakika kama nitapita kule kuwajulia hali,niko bize kidogo natafakuli ile mambo ya jumamosi ijayo (12:45 GMT: Manchester United v Manchester City :Old Trafford). Huenda watu wakala bata tena.