Mkuu hapo umenivunja mbavu,inaonekana hawana mpunga wa kuwahonga marefarii msimu huu ndo maana wanakula mkong'oto kila wanakoibukia,wawaachie Manure wazee wakuandika cheque kwa marefarii,lakini na wao msimu huu inakula kwao.![]()
Chelsick have failed to sign a player for £3 million khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee Recession bab-kubwa .... .... ..Bundi haondoki kwenye makuti.
Kweli chelsea siku hizi kimeo...yani hadi wachezaji wa kawaida wanapick timu nyingine over chelsea. Ref to Steve Pienaar.
Kweli chelsea siku hizi kimeo...yani hadi wachezaji wa kawaida wanapick timu nyingine over chelsea. Ref to Steve Pienaar.
Pienaar ameona mbali, angalia Yossi Benayoum anavyouchezea ubao these days compared na alivyokuwa anaichezea Liverpool!
![]()
Duuh! Kwanini usifanye uchunguzi kabla ya kuandika bro?! Taratibu rep yako inadrop mkuu. Yossi Benayoun ni majeruhi kwa muda mrefu sasa, na hatarajiwi kupona karibuni. Unatunga habari za kizushi kama wazee wa CCM....LOL
Benayoun blames Blues
![]()
Yossi Benayoun last night accused Chelsea doctors of missing his Achilles tendon injury after being ruled out of the game until Easter.
The Israeli midfielder faces six months on the sidelines after it took the Israeli FA's doctor to spot the injury missed by Blues medics.
While Benayoun has not played since picking up a calf injury in last month's Carling Cup defeat by Newcastle, it emerged that he has been troubled all season by the Achilles problem.
But the £5million summer signing from Liverpool has publicly pointed the finger at Chelsea's medical staff for the misdiagnosis that seems set to wreck his first term at Stamford Bridge.
Sasa ulipokuwa unasema anachezea ubao ulikuwa na maana gani! Punguza kutunga habari mkuu, ndio udaku wenyewe huo.
![]()
ha haha!...dah, mbona umeishikia bango sana hii? calm down man, it's only a game!
I know very well that it's only a game, lakini hiyo haimaanishi tuwe wazushi na waongo. Naona ulitaka nikae kimya ili story yako ionekane ina ukweli ndani yake ndio maana unahisi kwamba nimeikomalia, wewe ndio umeikomalia na hata bila aibu kuleta ushaihidi amabao umeonyesha jinsi gani ulivyo mzushi....I was just trying to put the records straight....na ninajua how hard it is to put the records straight when dealing with the Arsenal fans sababu ndio mnaongoza hapa jamvini kwa kutunga story za kizushi. Try harder next time....lol
![]()
...peace man,
I was wrong. You are right Peasant.
Am deeply :disapointed: sorry kwa wapenzi wote wa CHELSEA
wote mlikwazika na posting yangu ya YOSSI BENYAOUM.
Tuendeleze libeneke...
Nawaombea matokeo 'nanihii (ya ki-bundi bundi!)...' kwenye game ya leo Vs Bolton.
:ranger: Pamoja!