Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

IMG_2797.jpg
 
45FC079200000578-0-image-m-22_1509731333141.jpg


Hofu yangu ni, akianza Cahill huenda Azpilicueta akapangwa wing tena!
 
Ni mchezaji wa kawaida ila asipokuwepo tunapata shida...anajituma sana kurudi nyuma kumsaidia Azpi...they have a chemistry ambayo Alonso na Cahill wameshindwa kuitengeneza pamoja...

45D781E000000578-5033561-Moses_has_been_sidelined_since_the_2_1_defeat_by_Crystal_Palace_-a-1_1509408981954.jpg


Pona haraka bruv...

45D76BD500000578-0-image-a-17_1509404634665.jpg
 
45FC079200000578-0-image-m-22_1509731333141.jpg


Hofu yangu ni, akianza Cahill huenda Azpilicueta akapangwa wing tena!
Cahill amekua akishutumiwa sn lkn ktk game ya Roma mbona jamaa hakufanya makosa yoyote? Tena alipokua uwanjani aliweza kuwaongoza vzr wenzake alipotoka tu team ikawa poor
 
Date: 31st Octo



kiongozi, mechi ya jana kwa sisi wana blues tunaoijua team vizuri tulivoona tu LINEUP tulijua tunafungwa goli nyingi ila idadi ndo haikujulikana. kwasababu zifuatazo
1. kiungo-kumuweka fabregas+bakayoko ambao wote wanacheza kama wanalazimishwa VS viungo strong wa roma. drinkwater alitakiwa aanze na bakayoko na fabregas akae benchi.
2. beki-cahili hastahili kuwepo kwenye 1st11 nadhani mliona hadi akaamua kumtoa dakika ya 51 ku avoid further damage. weka[LUIZ+RUDIGER+AZPICULETA].
3.Marcos Alonso kashuka kiwango hastahili kuwepo kwenye 1st11 insteady muweke KENNEDY dogo anajituma.
4.Azpculeta kucheza wingback insteady of zappacosta ni tatizo kwa conte. weka zappa mtu ambaye kazoea namba yake.
Uchambuzi mzuri, ila jana kuna fununu zimetoka kuwa uzembe wa wachezaji wetu kutocheza kwa moral kwasabab ya kutizama vibaya kitendo alichofsnyiwa costa hvo kuna kama kamgomo fulan ka wachezaji..
Pili inasemekana sahv abromovich haoengei direct na conte kisa performance mbaya.. conte bado analaumu uongoz wa chelsea kutomkubalia kusajil wachezaj wa kutosha msimu huu..

Mi bnafs nikiwa mshabik wa bluz nakubaliana na hoja zote hapo maana si kwa chelsea nnayoijua kucheza chn ya kiwango hvo..
Tumejaza mastaa kbao ila ni kama tuna wazee mule ndan
 
Mimi ningefanya mabadiliko mawili kwenye kikosi chako.

Azpilicueta, Christensen, Luiz
Alonso, Drinkwater, Fabregas, Zappacosta
Pedro, Morata, Hazard
Je mkuu unazan shda kwnye timu kwasasa ni mfumo au mchezaji mmoja mmoja..??
 
Uchambuzi mzuri, ila jana kuna fununu zimetoka kuwa uzembe wa wachezaji wetu kutocheza kwa moral kwasabab ya kutizama vibaya kitendo alichofsnyiwa costa hvo kuna kama kamgomo fulan ka wachezaji..
Pili inasemekana sahv abromovich haoengei direct na conte kisa performance mbaya.. conte bado analaumu uongoz wa chelsea kutomkubalia kusajil wachezaj wa kutosha msimu huu..

Mi bnafs nikiwa mshabik wa bluz nakubaliana na hoja zote hapo maana si kwa chelsea nnayoijua kucheza chn ya kiwango hvo..
Tumejaza mastaa kbao ila ni kama tuna wazee mule ndan
Kumekua na habari za uongo na uvumi wa uongo unaovumishwa kwa makusudi ili kuivuruga Chelsea isiwe ktk track imara. Na wakati mwingine vombo VA hbr vinatangaza uvumi kwa makusudi kwa malengo ya wao kuuza hbr zao mana Chelsea ndio hbr ya dunia sio Madrid au nani na pia wanatoa taarifa kwa makusudi ili kulete migogoro ndani ya team.


Jumapili iliyopita Abramovich alikua Cobiham akiangalia mazoezi na kuongea na Conte. Sasa wanapovumisha kua Conte haongei na Abramovich huo ni uongo.

Swala Costa limeshakwisha na Conte hakua ni mwamuzi peke yake ktk kumuacha Costa hasa ukizingatia ktk Chelsea manager Hana nguvu ktk usajili na mambo km hayo japo anashirikishwa sasa kwanini na yeye asiwashirikishe uongozi ktk kumuacha Costa na wao wakabariki hilo swala?

Conte yuko na wakati mzuri tu ndani ya Chelsea sema wachezaji wamekua hawajitumi na wanafanya makosa ya kizembe wakifikiri ni mambo rahisi tayari ameshawapiga mkwara sn na amewambia wale wanaojiona wako juu na hawataki kumsikiliza watapigwa benchi akiwemo na Luiz.


Shida kubwa Chelsea ina kikosi kidogo ambacho wakipata majeruhi kidogo na uwingi wa mashindano wanaoshiriki wanachoka na viwango vao vinashuka.


So tujaribu kuangalia hbr za ukweli
 
Dah jamani tuache utani, kwa tuliobahatika kucheki game ya Tottenham...dah aisee utawatamani. Nimewaonea wivu kwa mpira walioutandaza.

Game ile ingekuwa Conte lazima angezidisha defensive players waishie na kufungwa. What a game aisee...mwanzo mwisho..very few mistakes.

Kwa kazi waliyoonesha kina Trippier na Wilks nadhani Conte pia aanze kumuangalia Kenedy zaidi nafasi anayocheza Alonso.

Kwa Musonda unaweza kuelewa kuwa Musonda anacheza namba ambayo wachezaji wengi wazuri zaidi yake wanaweza kucheza mathalani Willian na Hazard. Tena hata Fabregas anaweza kucheza.

Ila kwa Kenedy sijaona sababu kwa nini hamuweki kumchallenge Alonso. He needs more games kuongeza kujiamini na kuelewana na wachezaji wengine. Hawa ndo madogo watakaocheza kwa kujituma na wanaweza kuwa nasi kwa muda mrefu.
Mkuu totenham, ni timu nzuri sana imekamilika idara zote na wachezaji wake wapo very enegetc na wenye moral nzuri...
Ni timu ninayoikubali sana ila pia ninawachukia kwa kuwa ni wapnzani wetu wa kutunyanyasa kimfumo tunapokuwa uwanjani..
 
Kitu kingine wachezaji wa Chelsea wameacha kujituma. Wao wanafikiri lile jina la Chelsea linatosha kumfanya adui aogope na ashindwe. Yani wao bila kujituma uwanjani na kupambana hawawezi kushinda

Jambo jingine wachezaji hasa washambuliaji wamekosa ule uchu wa kushinda au kufunga magoli, mids zinajitahidi kuwafikishia mipira lkn hawafanyi vitu va maana.


Lkn tukisema eti pengo la Kante au Chelsea inaundwa na keyplayers wakikosekana hao inasuasua tutakua tunakosea. Makosa ya wachezaji wengine wasitupiwe wengine.

Nimekua napita kimya kimya sasa nikaona niwaachia salamu.


Asalaaaaaam.......
Nadhani haya maneno hapa ndiyo ya msingi sana sana..
I CONCURE WT U 100/100
 
mkuu kikosi ni kizuri ona spurz hawajafanya usajili wa kutisha ila pochetino ni mbunifu anawaamini wadogo kama[winks+trippier+sanchez+etc] ona wanavofanya kazi hadi madrid na viungo wao akina modrid+casemiro+alonso walipoteana kwa watoto wadogo akina winks+dier.
kwanini conte asimpange Kennedy namba ya alonso??????? alonso anacheza kama bado yupo sunderland.
tuna vijana wazuri sana akina[KENNEDY+ANDREAS+MUSONDA+SCOTY] so why asiwape nafasi kama pochetino afanyavo?????
anakumbatia watu wasio na morali wanacheza kama wanalazimishwa.
Ndiomana nimesema huu uchambuzi wa Ntuzu ndio majibu tosha ya kwann Chelsea ni mbovu.. Soma hapa chini vizuri..
Ntuzu said:
Kitu kingine wachezaji wa Chelsea wameacha kujituma. Wao wanafikiri lile jina la Chelsea linatosha kumfanya adui aogope na ashindwe. Yani wao bila kujituma uwanjani na kupambana hawawezi kushinda

Jambo jingine wachezaji hasa washambuliaji wamekosa ule uchu wa kushinda au kufunga magoli, mids zinajitahidi kuwafikishia mipira lkn hawafanyi vitu va maana.


Lkn tukisema eti pengo la Kante au Chelsea inaundwa na keyplayers wakikosekana hao inasuasua tutakua tunakosea. Makosa ya wachezaji wengine wasitupiwe wengine.
 
POCHETTINO kani impress sana alivoitengeneza spurz hasa kwa kukuza vipaji na kuwaamini vijana.
hata jana nilijua madrid anafungwa kwa jinsi spurz walivo motivated
Ila sisi tunaongoza kutoa wachezaji kwa mikopo.
HIVI UNAJUA CHELSEA TUNA VIKOSI VITATU TUMEVITOA KWA MKOPO?????? meaning wachezaji 34
Ila nazan huu utaratibu wa kukuza vpaji hauezekan chelsea maana bos na management ipo kibiashara zaidi kutaka mafanikio ya harakaharaka ya papo kwa hapo..

Kilichofanyika totenham na timu kama hzo ni uvumilivu mkubwa usio na usio na papara.. Na ndiomana sahv kane, d. All na erksen wakisemwa wauzwe ni dau kubwa sana na sizan kama uongoz watakubal maana ndio mihimili ya timu haswaaa..
 
Naona watu wanawaongelea wachezaji chipkizi. Ivi tuwe wakweli. Ktk hao makinda kuna kinda yoyote ameonyesha uwezo mpk akatujengea kuamini kwamba tunapaswa kumtegemea zaidi ya Andre Christensen? Au mnapenda kuona Musonda anapiga chenga moja mbili kisha anapoteza mpira?


Chelsea sio timu ya majaribio. Tunahitaji kukuza vipaji na kupata kina Terry wengine tuliowakuza wenyewe lkn ukuzaji huo wa vipaji sharti uenende na matokeo chanya na kushinda vikombe.

Tunataka Hawa makinda wawe na uwezo mzuri wao wenyewe watuaminishi na si kupiga kelele ktk mitandao ya kijamii wakilia kua hawapangwi. Wakipangwa timu ikiboronga nani wa kumlaumu km sio kocha?


Hapa Abramovich anapaswa abadili sera na asajili wachezaji wa kutosha.

Mfano last season tulikuwa na wacheza sijui 14 tu ambao walikua fiti na Conte alikua akiwatumia. Nitawataja hapa haraka haraka.

Kulikua na

Courtois
Asma Begovich
Moses
Alonso
Cahill
Luiz
Azpilicuita
Kante
Matic
Pedro
Willian
Hazard
Costa

Hawa ndio Conte aliwatumia sn

Pia kulikua na Faby, Terry, Zouma na Batshuay.

Hawa wanne hawakutumika sn na badae akaongezwa Ake.

Kina Chalobah na Reuben Loftcheck Hawa walikua na bahati sn last season kubaki ktk team lkn walikua poor poor kz usharobaro.

Msimu huu tumemuuza Begovich na kumuongeza Cabanero kuziba pengo lake.

Costa katoka Morata kaziba.

Matic katoka Bayoko kaziba pengo.

Terry katoka Rudiger kaziba.

Zouma kaondoka Christensen kaziba pengo.

Drinkwater na Zappacosta ndio wachezaji waliosajiliwa msimu huu si kwa kuziba mapengo Bali backup huku bodi ya team ikilazimisha kina Ampandu au Scott watumike. Je tutapata matokeo chanya kweli kwa kikosi kidogo namna hii km wenzetu City na Utd walivo?

Tuangalie hapa wachezaji waliofiti kutumika msimu huu tuone km huyu tajiri asipisajili basi timu itayasikia tu makombe.

1. Courtois
2. Moses
3. Alonso
4. Azpilicueta
5. Luiz
6. Cahill
7. Rudiger
8. Faby
9. Kante
10. Bakayoko
11. Pedro
12. Willian
13. Hazard
14. Morata
15. Batshuay.

Hawa juu ni wachezaji ambao lazima kila game Conte awafikirie kuwatumia. Mnaweza kuona ni namna gani ni kikosi kidogo mno ukiringanisha na City na Utd.

Ambao anaweza kuwatumia kwa nadra.

Drinkwater.
Christensen
Zappacosta
Musonda
Cabanero
Kennedy
Na Wale makinda kina Scott na Ampandu.

Team ni ndogo mno tofauti kabisa na ilivokua hapo miaka ya 2007.

Tajiri anapaswa abadilishe sera zake na asajili wachezaji mpk watatu watatu ktk kila sehemu ili kuweza kuchukua makombe mengi vinginevo twafwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom