Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

HIVI Inakuaje kocha CONTE hayaoni matatizo ya team ambayo yapo wazi hadi sisi mashabiki tumeyaona kwa mda sasa??????
1.ALONSO-kiwango kimeporomoka anaendelea kumpanga wakati kuna kijana wa kibrazil kennedy ni mzuri na anaku ofer vitu vingi
2. Cahili kuwa team captain wakati hastahili hata kukaa sub.
3. Azpiculeta hawezi wingback mpange sehemu anayokuwa confortable.
4. Fabregas mwaka jana hakuwa anacheza na tulikuwa tupo vizuri katikati[kante+matic] una drink water mtu wa kazi fabregas mhenga wa nini?????? fabregas is a liability and he is punishing us.
5. Bakayoko-huyu bwana ni mzito anatakiwa afanye sana zoezi la pumzi na kukimbia.
YAANI SISI FANS TUONE MATATIZO KULIKO WEWE UNAEKAA NAO MDA MWINGI??????
 
Kyle Scott alikipiga flsh sana under 19 nashangaa hajawah cheza kabsa yan ..


dogo anacheza vizuri, fabregas haoni ndani ila yeye conte kabaki kuwakumbatia akina fabregas, hivi hamuoni POCHETINO?????
wote akina Delle Alli, Harry Kane, Trippier, Winks yeye ndo kawakuza na saizi wanakuwa wanaogopeka hadi madrid anavuliwa boksa.
 
The Mind of Conte: Why Chelsea’s awful defense cost them against Roma
Chelsea’s awful defending could be easily reflected by the score line which could go even worse.

Although their defence was a bit more compact as compared to their home match against Roma, but they needed to add more defensive elements other than forming a compact wall between Roma’s backline and midline.

Also, Chelsea managed to bring some vertical compactness this time too often causing Roma losing possession when they tried long passing across the flanks, something the Italian team could do more frequently in the first leg match.

But this improvement was not adequate enough to stop Roma players making their way into the passing lanes this way or other. Consequently, Chelsea became concerned more of the back region than of stop penetrating opposition at the midfield.

Forget the field, Blues often even faced difficulty in organizing their defence in the goal area too when facing threats of counterattacking.

The second goal was conceded when Chelsea players were occupied in pressing Roma players to stop them to get into the goal area while El Shaarawy, who was racing into the box, received a long pass from Nainggolan just ahead of Azpilicueta and scored comfortably. Had it been more organized and rigid backline support, the outcome couldn’t go that worse.
 
dogo anacheza vizuri, fabregas haoni ndani ila yeye conte kabaki kuwakumbatia akina fabregas, hivi hamuoni POCHETINO?????
wote akina Delle Alli, Harry Kane, Trippier, Winks yeye ndo kawakuza na saizi wanakuwa wanaogopeka hadi madrid anavuliwa boksa.
Yan ampadu ni bora kuliko Scott, km bado camini vile... Namuelewa sana scott kwa mashut ya mbal naamin hawez kutulaza njaa km Bakayoko..,,,
 
Gareth Southgate named his England squad for the friendly fixtures against Brazil and Germany, two fixtures that will, after this weekend, see the Premier League come to an abrupt halt.

Read more: Chelsea Trio make England Squad | VitalFootball.co.uk
The full squad is as listed below:
Tammy Abraham (Swansea City - loan from Chelsea), Dele Alli (Tottenham), Ryan Bertrand (Southampton), Jack Butland (Stoke City), Gary Cahill (Chelsea), Fabian Delph (Manchester City), Eric Dier (Tottenham), Joe Gomez (Liverpool), Joe Hart (West Ham United - loan from Manchester City), Jordan Henderson (Liverpool), Phil Jones (Manchester United), Harry Kane (Tottenham), Jesse Lingard (Manchester United), Ruben Loftus-Cheek (Crystal Palace - loan from Chelsea), Harry Maguire (Leicester City), Jordan Pickford (Everton), Marcus Rashford (Manchester United), Danny Rose (Tottenham), Raheem Sterling (Manchester City), John Stones (Manchester City), Kieran Trippier (Tottenham), Jamie Vardy (Leicester City), Kyle Walker (Manchester City), Harry Winks (Tottenham), Ashley Young (Manchester United)

Read more: Chelsea Trio make England Squad | VitalFootball.co.uk
 
blues-launch-hublot-s-new-big-bang-watch.img.png


Blues launch Hublot's new Big Bang watch
1509644035922.jpg

Four Chelsea players were at Stamford Bridge on Thursday to help unveil the brand new Hublot Big Bang Chelsea FC watch.

Alvaro Morata, Cesc Fabregas, Danny Drinkwater and David Luiz were all on hand to reveal the second Chelsea-dedicated piece created by our official global timekeeper and watch partner.

The watch, which was unveiled on a huge 12-metre banner at the Bridge, is limited to 200 pieces and features a 44mm stainless steel case and a bezel made of carbon fibre and blue Texalium. Its blue sunray dial includes three counters at 3, 6 and 9 o’clock, the latter being engraved with SW6, the London postcode where Stamford Bridge is located. The Chelsea lion logo is situated both at 12 o’clock and on

 
Kesho utasikia kyle Scott na Dujon Sterling wameuzwa, dah!! Hii board mbn kituko sasa.....


POCHETTINO kani impress sana alivoitengeneza spurz hasa kwa kukuza vipaji na kuwaamini vijana.
hata jana nilijua madrid anafungwa kwa jinsi spurz walivo motivated
Ila sisi tunaongoza kutoa wachezaji kwa mikopo.
HIVI UNAJUA CHELSEA TUNA VIKOSI VITATU TUMEVITOA KWA MKOPO?????? meaning wachezaji 34
 
POCHETTINO kani impress sana alivoitengeneza spurz hasa kwa kukuza vipaji na kuwaamini vijana.
hata jana nilijua madrid anafungwa kwa jinsi spurz walivo motivated
Ila sisi tunaongoza kutoa wachezaji kwa mikopo.
HIVI UNAJUA CHELSEA TUNA VIKOSI VITATU TUMEVITOA KWA MKOPO?????? meaning wachezaji 34
Kwel kabsa mtu kam Van Ginkel sometym huwa inaboa daah!!
 
Jose Mourinho: No one at Chelsea will remember me as manager in five years' time
The Manchester United manager takes his team to Stamford Bridge on Sunday, to face the club where he had two spells as manager between 2004 and 2015
 
HIVI Inakuaje kocha CONTE hayaoni matatizo ya team ambayo yapo wazi hadi sisi mashabiki tumeyaona kwa mda sasa??????
1.ALONSO-kiwango kimeporomoka anaendelea kumpanga wakati kuna kijana wa kibrazil kennedy ni mzuri na anaku ofer vitu vingi
2. Cahili kuwa team captain wakati hastahili hata kukaa sub.
3. Azpiculeta hawezi wingback mpange sehemu anayokuwa confortable.
4. Fabregas mwaka jana hakuwa anacheza na tulikuwa tupo vizuri katikati[kante+matic] una drink water mtu wa kazi fabregas mhenga wa nini?????? fabregas is a liability and he is punishing us.
5. Bakayoko-huyu bwana ni mzito anatakiwa afanye sana zoezi la pumzi na kukimbia.
YAANI SISI FANS TUONE MATATIZO KULIKO WEWE UNAEKAA NAO MDA MWINGI??????
Wakuu shida ingine ni Faby. Faby never run so much au Kms nyingi sn akiwa uwanjani lkn ni mtu mzuri sn ktk kutengeneza nafasi.

Drinkwater ni mzuri sn na ana kasi na uwezo wa kucheza box to box lkn si mzuri sn ktk utoaji pasi. Sasa ni bora umuanzishe Nani? Km Mimi Conte ndio kocha Nampa nafasi mmoja nikiona game imemuendea vzr namuacha amalize dk90. Nikiona kachemka namtoa na kumuingiza mwingine.

Bakayoko huyu ni Defensive midfielder ndio mana Conte anataka atumia mfumo wa 3+5+2 na Bakayoko abaki km DM na Kante na Faby wacheze juu yaani nyuma ya No 9 na 10. "Rejea game ya Chelsea na ATM" Hapo timu itakua vzr lkn shida ni Wing-backs zimekua butu. Si cha Moses au Alonso au Azpi. Hapa Conte anapaswa awatumie kina Zappacosta Na Kennedy ambao hawajachoka kuweza kupandisha mipira vzr mbele.


Infact kwa huu mfumo wa 3+4+3 au 3+5+2 km wings-back hazipandishi mipira mbele vzr na Mara kwa mara basi attacking force lazima iwe poor mana itawalizimu attackers kuja kuchukua mipira na wakija kuchukua huko mbele watamua striker peke ake au striker na attacker mmoja chini ya rundo la mabeki wa timu pinzani plus na viungo wakabaji ambao kwao itakua rahisi kucontrol mipira inayotaka kupenyezwa na kuikata na kufanya marking ya man to man kuhakikisha mipira haifiki kwa Morata au Hazard.

So no wings-back ziko poor msimu na middlefielders kidogo.

Wakibadilika kidogo na spirit ya upambanaji ikiongezeka team itafanya vzr
 
HIVI Inakuaje kocha CONTE hayaoni matatizo ya team ambayo yapo wazi hadi sisi mashabiki tumeyaona kwa mda sasa??????
1.ALONSO-kiwango kimeporomoka anaendelea kumpanga wakati kuna kijana wa kibrazil kennedy ni mzuri na anaku ofer vitu vingi
2. Cahili kuwa team captain wakati hastahili hata kukaa sub.
3. Azpiculeta hawezi wingback mpange sehemu anayokuwa confortable.
4. Fabregas mwaka jana hakuwa anacheza na tulikuwa tupo vizuri katikati[kante+matic] una drink water mtu wa kazi fabregas mhenga wa nini?????? fabregas is a liability and he is punishing us.
5. Bakayoko-huyu bwana ni mzito anatakiwa afanye sana zoezi la pumzi na kukimbia.
YAANI SISI FANS TUONE MATATIZO KULIKO WEWE UNAEKAA NAO MDA MWINGI??????
Wakuu shida ingine ni Faby. Faby never run so much au Kms nyingi sn akiwa uwanjani lkn ni mtu mzuri sn ktk kutengeneza nafasi.

Drinkwater ni mzuri sn na ana kasi na uwezo wa kucheza box to box lkn si mzuri sn ktk utoaji pasi. Sasa ni bora umuanzishe Nani? Km Mimi Conte ndio kocha Nampa nafasi mmoja nikiona game imemuendea vzr namuacha amalize dk90. Nikiona kachemka namtoa na kumuingiza mwingine.

Bakayoko huyu ni Defensive midfielder ndio mana Conte anataka atumia mfumo wa 3+5+2 na Bakayoko abaki km DM na Kante na Faby wacheze juu yaani nyuma ya No 9 na 10. "Rejea game ya Chelsea na ATM" Hapo timu itakua vzr lkn shida ni Wing-backs zimekua butu. Si cha Moses au Alonso au Azpi. Hapa Conte anapaswa awatumie kina Zappacosta Na Kennedy ambao hawajachoka kuweza kupandisha mipira vzr mbele.


Infact kwa huu mfumo wa 3+4+3 au 3+5+2 km wings-back hazipandishi mipira mbele vzr na Mara kwa mara basi attacking force lazima iwe poor mana itawalizimu attackers kuja kuchukua mipira na wakija kuchukua huko mbele watamua striker peke ake au striker na attacker mmoja chini ya rundo la mabeki wa timu pinzani plus na viungo wakabaji ambao kwao itakua rahisi kucontrol mipira inayotaka kupenyezwa na kuikata na kufanya marking ya man to man kuhakikisha mipira haifiki kwa Morata au Hazard.

So na wings-back ziko poor msimu na middlefielders kidogo.

Wakibadilika kidogo na spirit ya upambanaji ikiongezeka team itafanya vzr
 
Punguzeni kulia lia basi khaa,
13c1d374df43945075730cbce2f7936b.jpg




Tarehe kama ya leo nilikupiga 5-0, ilikua mwaka 1999.
ferguson alipata bipolar.
REMIER LEAGUE FEATURES
1999: Chelsea end United’s unbeaten run with rout


Back in 1999, Chelsea routed Man United 5-0 at Stamford Bridge to end United’s 29-match unbeaten run. Chelsea and United play again this Sunday at 11:30am ET on NBCSN.
 
Hata kipa hatuna mule ........... kati ya timu ambazo nauhakika tunachukua points 6 msimu huu basi ni manure, jpili tutapunguza machungu. Manure wakitufunga naahidi kutembea uchi..
 
Wakuu shida ingine ni Faby. Faby never run so much au Kms nyingi sn akiwa uwanjani lkn ni mtu mzuri sn ktk kutengeneza nafasi.

Drinkwater ni mzuri sn na ana kasi na uwezo wa kucheza box to box lkn si mzuri sn ktk utoaji pasi. Sasa ni bora umuanzishe Nani? Km Mimi Conte ndio kocha Nampa nafasi mmoja nikiona game imemuendea vzr namuacha amalize dk90. Nikiona kachemka namtoa na kumuingiza mwingine.

Bakayoko huyu ni Defensive midfielder ndio mana Conte anataka atumia mfumo wa 3+5+2 na Bakayoko abaki km DM na Kante na Faby wacheze juu yaani nyuma ya No 9 na 10. "Rejea game ya Chelsea na ATM" Hapo timu itakua vzr lkn shida ni Wing-backs zimekua butu. Si cha Moses au Alonso au Azpi. Hapa Conte anapaswa awatumie kina Zappacosta Na Kennedy ambao hawajachoka kuweza kupandisha mipira vzr mbele.


Infact kwa huu mfumo wa 3+4+3 au 3+5+2 km wings-back hazipandishi mipira mbele vzr na Mara kwa mara basi attacking force lazima iwe poor mana itawalizimu attackers kuja kuchukua mipira na wakija kuchukua huko mbele watamua striker peke ake au striker na attacker mmoja chini ya rundo la mabeki wa timu pinzani plus na viungo wakabaji ambao kwao itakua rahisi kucontrol mipira inayotaka kupenyezwa na kuikata na kufanya marking ya man to man kuhakikisha mipira haifiki kwa Morata au Hazard.

So no wings-back ziko poor msimu na middlefielders kidogo.

Wakibadilika kidogo na spirit ya upambanaji ikiongezeka team itafanya vzr



Faby kachoka, hawezi kaba, tackle, cover ground.
fab crocked.
ukiona kiungo wamepangwa fab+bakayoko andaa panado maana maumivu utayopata.
 
Hata kipa hatuna mule ........... kati ya timu ambazo nauhakika tunachukua points 6 msimu huu basi ni manure, jpili tutapunguza machungu. Manure wakitufunga naahidi kutembea uchi..


kaacha kujituma baada ya kugomea mkataba, anataka awe anakula kuanzia pound 200,000 per week.
 
The Mind of Conte: Why Chelsea’s awful defense cost them against Roma
Chelsea’s awful defending could be easily reflected by the score line which could go even worse.

Although their defence was a bit more compact as compared to their home match against Roma, but they needed to add more defensive elements other than forming a compact wall between Roma’s backline and midline.

Also, Chelsea managed to bring some vertical compactness this time too often causing Roma losing possession when they tried long passing across the flanks, something the Italian team could do more frequently in the first leg match.

But this improvement was not adequate enough to stop Roma players making their way into the passing lanes this way or other. Consequently, Chelsea became concerned more of the back region than of stop penetrating opposition at the midfield.

Forget the field, Blues often even faced difficulty in organizing their defence in the goal area too when facing threats of counterattacking.

The second goal was conceded when Chelsea players were occupied in pressing Roma players to stop them to get into the goal area while El Shaarawy, who was racing into the box, received a long pass from Nainggolan just ahead of Azpilicueta and scored comfortably. Had it been more organized and rigid backline support, the outcome couldn’t go that worse.
Exactly!!! That's was the problem.


Kitu ingine Roma na Chelsea zote zilicheza mchezo unaofanana. Nasema hivi kwasababu. Roma hawakufunguka. Ni team ambayo ilikua imejirundika na hawakutaka ku open na ku dominate the ball kwa kuhofia wangepigiwa Counter na wangefilia mbali huko. Wao walichofanya ni kujirunduka na kuacha back line ya Chelsea yaani wale CBS watatu wachezee mipira ambayo ata km walitaka kupiga pasi ndefu kwa attkers wao walikua wanaiona mapema na kuhakikisha haileti mazara na kamwe hawakurusu Wings back ziweze kucheza vzr. Huu ndio mpira wa kitaliano hasa ambao team zote zilikutana zikiwa zinazingatia sn Tactics na si domination km ilivo mipira ya Spain au physical and strength km ilivo mipira ya kirengeza.


Ktk hili unaweza kurejea game yetu na ATM. ATM walifunguka walifungua sn mchezo wao kutaka kudominate mchezo matokeo yake tuliwapiga.


So tujaribu kuangalia na hilo tunapofanya uchambuzi wetu


Asanteni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom