Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa miaka mingi Chelsea inaundwa kutegemea key players ambao wakikosekana timu inapata taabu sana kwa sasa Kante ni big loss kwenye timu ya Chelsea yeye ndio anafunika makosa ya wengi(midfielders& defenders) na kuwafanya baadhi ya players waonekane vizuri Conte anapata taabu sana sababu Bakayoko,Fab,Drinkwater uchezaji wao na workrate zao ni ndogo ukilinganisha na Kante wote wanacheza vizuri wakicheza na Kante

Matatizo makubwa yanaanzia kwenye kiungo ndio maana timu inashambuliwa kirahisi.Ukichezesha viungo 3 unakuwa na advantage ya kuwapunguzia mabeki mzigo na kuwachezesha sana 3CB unawafanya wanajisahau/wanategeana na umeona kosa la Rudiger mpira umepigwa anauangalia hana pressure anadhani wenzake wataokoa

Some players viwango vimeshuka sababu wanachoka kucheza mechi nyingi unlike last season ambapo walicheza mechi chache

Mbona ndio kwaanza kunakucha, waombe sana Kante asipate majeruhi mengi msimu huu, sijui walikua wamevuta nini walivyomuuza Matic kwa Manure????
Na mshukuru mlikutana na hao wakora wa Roma, mngekutana na Napoli au wafalme wa soka la Italia, Juventus the Bianconero, mngeshamfukuza kazi Antonio

Huwa najiuliza sana kuhusiana na Kort Zouma, hivi Rudiger ni beki imara mbele ya Zouma?
 
Ww ndo kabisa huvuki round inayofuata hata upangiwe kitim kdg


Hivi Mpaka Leo Hujajua Liverpool EPL atamalizia Nafasi ya 6 lakini Ndiye Bingwa wa Champion League Msimu Huu wa 2017/18 ?

Basi Nakwambia Tunza Comment hii Mpaka Mwezi wa 5 nitakapochukua CL Cup..
 
Chelsea hatufungwi kwa sababu ya mfumo ,Mimi nikiona lineup tu naweza kujua mapema kuwa Kama tutafungwa , Mechi vs man city ukiangalia lineup tu unajua hapa hakuna hata shot on target tutakayopata, juzi vs Roma lineup tu unajua hakuna clean sheet .
Kwa mfano next match vs man utd akipanga luiz ,rud na Cahill kwenye back 3 lazima man watapata goli, ukiacha majeruhi ila lazima tukubali kuna wachezaji wana underperform Sana msimu huu akiwemo Cahill na Azp name unfortunately Hawa ndio Conte anawapenda kuliko. Ikitoka lineup at jumapili nitakuja kuweka prediction yangu ambayo najua itakuwa 80% correct


Siri iliyofichuka Huko Twitter ni Kwamba [HASHTAG]#Conte[/HASHTAG] Kawafannyia Fair Wataliana Wenziwe...
Game kaigawa kwa Roma kwa Makusudi! Si Munajua Kuwa "NYUMBANI NI NYUMBANI na MKATAA KWAO MTUMWA"

Kwahiyo Conte uzalendo ulimshinda na Kuamua Kuwabeba Wataliana wenziwe.
 
Hivi Mpaka Leo Hujajua Liverpool EPL atamalizia Nafasi ya 6 lakini Ndiye Bingwa wa Champion League Msimu Huu wa 2017/18 ?

Basi Nakwambia Tunza Comment hii Mpaka Mwezi wa 5 nitakapochukua CL Cup..
Huna uwezo huo na huna beki ya kuzuia washambliaje ww jidangnye
 
(3).jpg



Mashabiki Wa Chelsea Bongo Wakiwa Katika Kikao Cha Dharura Leo hii Kujadili Matokea Hasi Ya Club Yao hapa Maeneo ya Magomeni Mapipa...

Baada Ya Kikao Watatuletea Mrejesho Kupitia Uzi Huu...
 
Kwa miaka mingi Chelsea inaundwa kutegemea key players ambao wakikosekana timu inapata taabu sana kwa sasa Kante ni big loss kwenye timu ya Chelsea yeye ndio anafunika makosa ya wengi(midfielders& defenders) na kuwafanya baadhi ya players waonekane vizuri Conte anapata taabu sana sababu Bakayoko,Fab,Drinkwater uchezaji wao na workrate zao ni ndogo ukilinganisha na Kante wote wanacheza vizuri wakicheza na Kante

Matatizo makubwa yanaanzia kwenye kiungo ndio maana timu inashambuliwa kirahisi.Ukichezesha viungo 3 unakuwa na advantage ya kuwapunguzia mabeki mzigo na kuwachezesha sana 3CB unawafanya wanajisahau/wanategeana na umeona kosa la Rudiger mpira umepigwa anauangalia hana pressure anadhani wenzake wataokoa

Some players viwango vimeshuka sababu wanachoka kucheza mechi nyingi unlike last season ambapo walicheza mechi chache
Timu yeyote sio Chelsea tu
Mancity
Manu
Barca
Psg
Msululu ni mrefu , kuna key players wakikosekana chemistru ya timu inakataa.
 
Date: 31st October 2017 at 8:30pm
Chelsea fans took to Twitter to slaughter Gary Cahill for his first-half display in their Champions League clash against Roma.

Two goals from Stephan El Shaarawy put the Italian club 2-0 up at half-time of the showdown in Rome to give the visitors a mountain to climb in the second period.

Cahill returned to the Chelsea starting XI after being omitted at the weekend when they secured a 1-0 Premier League win against Bournemouth.

The England international was selected on the right side of a three-man defence that also included David Luiz and Antonio Rudiger, flanked by wing-back pair Cesar Azpilicueta and Marcos Alonso.

Cahill was not directly at fault for either of El Shaarawy’s goals, which came after 42 seconds through a brilliant strike and then an opportunist goal after a Rudiger error.

But Chelsea fans took to social media en masse to lay into their 31-year-old most senior central defender.

This Is Futbol has rounded up some of the best tweets:



Cahill Luiz Rüdiger just doesn’t work

https://twitter.com/JaySnocky/status/925460144724484097
Jays Snocky @JaySnocky

Cahill is our worst captain ever ffs

11:31 PM - Oct 31, 2017
Twitter Ads info and privacy




https://twitter.com/_mrdj/status/925458504277733376
DAN @_mrdj

Each time Cahill start all these is normal. Lol

11:24 PM - Oct 31, 2017
Twitter Ads info and privacy




https://twitter.com/AaronWyn/status/925458509369630720
Aaron Wyn @AaronWyn

Didn’t play Cahill on Saturday & we didn’t concede, playing him tonight and we concede 2
1f643.png


11:24 PM - Oct 31, 2017
Twitter Ads info and privacy




https://twitter.com/CKNX_Drury/status/925459458183938048
Ryan Drury @CKNX_Drury

No clue why Conte seems intent on Cahill over Christensen. And what Rudiger was doing I’ll never know. Horrid.

11:28 PM - Oct 31, 2017
Twitter Ads info and privacy




https://twitter.com/ChelseaCentric/status/925459469399678976
brad @ChelseaCentric
Replying to @Matt_Law_DT

Surely he’s being pressured to play Cahill..... he can’t willingly select him. 100% clean sheet ratio without him.

11:28 PM - Oct 31, 2017
Twitter Ads info and privacy




https://twitter.com/AdWojtkowiak/status/925459826012016640
Ad Wojtkowiak @AdWojtkowiak

Back five producing a solid performance on Saturday was dismantled to accommodate Gary Cahill. Let that sink in.

11:29 PM - Oct 31, 2017 · Dzierzgoń gmina, Polska
Twitter Ads info and privacy




https://twitter.com/brackstrider/status/925459848371765253
chepe @brackstrider

tell me why Gary Cahill is playing on the right side

11:29 PM - Oct 31, 2017 · Mata de Plátano, Puerto Rico
Twitter Ads info and privacy




https://twitter.com/IconicMusonda/status/925460018111139840
IconicMusonda @IconicMusonda

Cahill ain't at fault just de stabilises the defence completely

11:30 PM - Oct 31, 2017
Twitter Ads info and privacy




https://twitter.com/SimplyMount/status/925460119495815170
koby¹⁷ @SimplyMount

we don’t play cahill, we keep a clean sheet. we play cahill and we concede.

coincidence? i think not

11:31 PM - Oct 31, 2017
Twitter Ads info and privacy




Gary Cahill is actually a millionaire and must be the worst defender ive ever seen

— Sam Matthews (@sammatthews46) October 31, 2017
Ww tutolee viujinga iv yani ndio update zako iz alaa
 
Kwa miaka mingi Chelsea inaundwa kutegemea key players ambao wakikosekana timu inapata taabu sana kwa sasa Kante ni big loss kwenye timu ya Chelsea yeye ndio anafunika makosa ya wengi(midfielders& defenders) na kuwafanya baadhi ya players waonekane vizuri Conte anapata taabu sana sababu Bakayoko,Fab,Drinkwater uchezaji wao na workrate zao ni ndogo ukilinganisha na Kante wote wanacheza vizuri wakicheza na Kante

Matatizo makubwa yanaanzia kwenye kiungo ndio maana timu inashambuliwa kirahisi.Ukichezesha viungo 3 unakuwa na advantage ya kuwapunguzia mabeki mzigo na kuwachezesha sana 3CB unawafanya wanajisahau/wanategeana na umeona kosa la Rudiger mpira umepigwa anauangalia hana pressure anadhani wenzake wataokoa

Some players viwango vimeshuka sababu wanachoka kucheza mechi nyingi unlike last season ambapo walicheza mechi chache
Moja ya vitu ambavo watu nashindwa kuwaelewa ni kuacha kuzungumzia makosa halisi au tatizo halisi na kurukia kitu kingine kukiongelea.


Kwa mfano goli la kwanza Pendro alipata nafasi kutaka kufunga ktk lango la Roma akajiangusha kidogo ili apewe penati kitu ambacho hakupewa na Roma wakapiga mpira mrefu ukafika maeneo ya Kati ukapigwa tena Alonso akiwa kazubaa Elsharaway akaachia kitu ikawa goli. Hapa utasema ni ukosefu wa Kante au poor performance ya Baka na Faby au Danny?


Goli la pili lilikua hivo hivo! Mpira unapigwa Rudigar sijui bad alikua akizani kua bado ni mchezaji wa Roma anafanya makosa Yale Yale km alofanya Alonso! Hapa utasema tena ni shida ya middle filders? Kitu kilikua ktk uwezo kabisa wa Rudiger ku clear ile ball then akafanya fyongo dogo Yule Yule tena akaachia kitu nyavu.


Goli la tatu Pendro akiwa km wing back wa kulia alitoa pass mbovu akampa adui mpira ukapigwa pasi moja ya pili ukamkuta Muagentina akapachika kitu! Hapa utasema tena ni poor performance ya Baka na Faby?? Au utasema ni pengo la Kante? Makosa wafanye wengine lawama watupiwe wengine hii ni shida.

Unaweza kujikumbusha ata Goli la Zaha la Palace la pili lilikua hivo hivo

Willian alikua na mpira akaguswa kidogo na Sankho akaanguka chini refa akapeta Mamadou akaachia mpira kwa Zaha, Zaha akadrive kidogo akaachia shuti ikawa nyavu! Hapa tena utasema Bakayoko? Au pengo la Kante?


Chelsea iko na baadhi ya wachezaji wanaihitaji kupunmzika baadhi ya mechi kwa mfano Azpilicueta anapaswa kupumzika au asichezeshwe Wingback acheze ktk 3CBS. akichezeshwa wingback hawezi kupeleka mashambulizi mbele. Ni nafasi kwa Conte kuwaamini au na kuwatumia wingback wengine km Zappacosta km Moses akiwa majeruhi na Kennedy km Alonso akiwa majeruhi badala ya kuwatumia Pedro au Azpi. Hii inafanya team inakua na defenders wengi sn na kua na poor attacking. Unaweza kukumbuka Zappacosta alipotokea sub dhidi ya Watford na kuleta uhai mpk tukashinda ile game

Mtu mwingine alieshuka kiwango ni Alonso. Ktk michezo karibu mingi ya hivi karibuni Alonso ameshindwa Si Yule tulie mzoea aliekua anapiga mpira ya kichwa mbele ya mabeki wa Gunners mpk wanazimia. Ni nafasi ya Conte kuanza kuwapumzisha baadhi ya wachezaji


Kitu kingine wachezaji wa Chelsea wameacha kujituma. Wao wanafikiri lile jina la Chelsea linatosha kumfanya adui aogope na ashindwe. Yani wao bila kujituma uwanjani na kupambana hawawezi kushinda

Jambo jingine wachezaji hasa washambuliaji wamekosa ule uchu wa kushinda au kufunga magoli, mids zinajitahidi kuwafikishia mipira lkn hawafanyi vitu va maana.


Lkn tukisema eti pengo la Kante au Chelsea inaundwa na keyplayers wakikosekana hao inasuasua tutakua tunakosea. Makosa ya wachezaji wengine wasitupiwe wengine.

Nimekua napita kimya kimya sasa nikaona niwaachia salamu.


Asalaaaaaam.......
 
Huyu Nae! 😀😀😀 eti vilema Kama Liverpool! Sijui Umeanza Kuangalia Mpira Mwaka Gani?? Kwani unakumbukumbu gani Kuhusu PSG na kukutana na Timu za Kiingereza.


PSG haiwezi pambana na CHELSEA, labda conte aamue kupanga kikosi cha kipumbavu kama kile cha roma[alonso+fabregas+cahil+bakayoko].
 
Hivi conte anawapanga bakayoko na faregas pamoja? Wote ni wazembe kukaba, halafu anampanga Cahill na kumuacha yule dogo beki, zapacosta unamwacha, huyu atafukuzwa tu si muda mrefu. Tunafungwa na timu kizembe sana jana, baadhi ya wachezaji ni wachovu, morata akiguswa analialia, Pedro kiwango kwisha KBS
Asimpange Bakayoko ampange nani? Au amuondoe Fabrigas amweke nani? Wenzetu waliosajiri vizuri wanachekelea, sisi tulijifanya kuuza Matic na kumnunua majeruhi Bakayoko. Moses bado hajapata mbadala kabisa. Alonso hana backup,Mbele yuko Hazard peke yake Morata sijui bado ni armstring au nini... Mtamlaumu Conte lakini ukweli unabaki kwamba tuna kikosi duni. Wachezaji ni Kante, Azpilicueta, Hazard, na Moses na Alonso kidogo.
 
Nakubali Cahill ni mbovu lakini kwa jana!?????

Nikumbushe lini Cahill kacheza defence upande wa kulia???? Jana ndo kajaribishwa na ikala kwetu lakini hata ukiangalia replays magoli yote mawili hakukuwa na kosa la Cahill bali Rudiger.

Mimi kwenye namba 2 yako hapo badala ya kumuweka Rudiger ningemuweka Christensen.

Cahill ni mbovu ila si kwa chuki hizi mnazomwonyesha.

Rudiger na Bakayoko jana were ...ah...

Tukutane Jumapili!


MKUU, cahili anatumia mguu wa kulia so kupangwa upande wa kulia sio excuse ya yeye kuwa FAULTY, unakumbuka national team kipindi terry yupo cahili alikuwa anapangwa upande wa kulia au namba 4.
 
Usiseme hivyo
Mimi ni Chelsea lakini PSG wakikutana na Chelsea wana ujasiri mkubwa sana mechi mbili mfululizo walitutupa nje ya UEFA nafikiri ni 2014 na 15. Tena ile PSG ya kawaida. Hii PSG ya sasa mbele wako Nay, Mbappe, Edinson na Cavani ni hatari zaidi. Chelsea makini tu ndio itakayoweza kupata ushindi mwembamba au draw.


CONTE akipanga strong squard ya MD[kante+drinkwater] beki rudiger/ANdreas+Luiz+Azpiculeta, wingback [kennedy+zappacosta/moses] na attacking ya morata+pedro+hazard.
psg hapo hachomoki hata draw hapati.
 
Asimpange Bakayoko ampange nani? Au amuondoe Fabrigas amweke nani? Wenzetu waliosajiri vizuri wanachekelea, sisi tulijifanya kuuza Matic na kumnunua majeruhi Bakayoko. Moses bado hajapata mbadala kabisa. Alonso hana backup,Mbele yuko Hazard peke yake Morata sijui bado ni armstring au nini... Mtamlaumu Conte lakini ukweli unabaki kwamba tuna kikosi duni. Wachezaji ni Kante, Azpilicueta, Hazard, na Moses na Alonso kidogo.


mkuu kikosi ni kizuri ona spurz hawajafanya usajili wa kutisha ila pochetino ni mbunifu anawaamini wadogo kama[winks+trippier+sanchez+etc] ona wanavofanya kazi hadi madrid na viungo wao akina modrid+casemiro+alonso walipoteana kwa watoto wadogo akina winks+dier.
kwanini conte asimpange Kennedy namba ya alonso??????? alonso anacheza kama bado yupo sunderland.
tuna vijana wazuri sana akina[KENNEDY+ANDREAS+MUSONDA+SCOTY] so why asiwape nafasi kama pochetino afanyavo?????
anakumbatia watu wasio na morali wanacheza kama wanalazimishwa.
 
mkuu kikosi ni kizuri ona spurz hawajafanya usajili wa kutisha ila pochetino ni mbunifu anawaamini wadogo kama[winks+trippier+sanchez+etc] ona wanavofanya kazi hadi madrid na viungo wao akina modrid+casemiro+alonso walipoteana kwa watoto wadogo akina winks+dier.
kwanini conte asimpange Kennedy namba ya alonso??????? alonso anacheza kama bado yupo sunderland.
tuna vijana wazuri sana akina[KENNEDY+ANDREAS+MUSONDA+SCOTY] so why asiwape nafasi kama pochetino afanyavo?????
anakumbatia watu wasio na morali wanacheza kama wanalazimishwa.
Kyle Scott alikipiga flsh sana under 19 nashangaa hajawah cheza kabsa yan ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom