Hatuogopi mkuu.....!!!Fight till the endNa Mukidondokea Nafasi Ya Pili tu Katika Group lenu! Dadeki Nyie na PSG uso kwa uso Knockout... Hapo chacha hapo!!!
PSG watoto wadogo sana kwangu hawajawahi niumiza kichwa hata siku moja.
Hao psg wanawaonea vilema kama liverpool, celtic etc.
Unasema?![]()
Kwa sisi tunaojua kikosi chetu kinavyopangwa tulijua tutafungwa magoli mengi tu
Huwezi kumweka aspi katikati
Huwezi kuanza na fabi katikati wakati unajua Roma wana de rose
Kikosi changu ningepanga ifuatavyo hata kama kante hskucheza jana
Rudiger, luiz, asp
Alonso,bakayoko,drinkwater,zappa
Pedro,morata,hazard
Hiki kikosi kisingefungwa na kngepata hata sare tu
Date: 31st Octo
kiongozi, mechi ya jana kwa sisi wana blues tunaoijua team vizuri tulivoona tu LINEUP tulijua tunafungwa goli nyingi ila idadi ndo haikujulikana. kwasababu zifuatazo
1. kiungo-kumuweka fabregas+bakayoko ambao wote wanacheza kama wanalazimishwa VS viungo strong wa roma. drinkwater alitakiwa aanze na bakayoko na fabregas akae benchi.
2. beki-cahili hastahili kuwepo kwenye 1st11 nadhani mliona hadi akaamua kumtoa dakika ya 51 ku avoid further damage. weka[LUIZ+RUDIGER+AZPICULETA].
3.Marcos Alonso kashuka kiwango hastahili kuwepo kwenye 1st11 insteady muweke KENNEDY dogo anajituma.
4.Azpculeta kucheza wingback insteady of zappacosta ni tatizo kwa conte. weka zappa mtu ambaye kazoea namba yake.
Umeongea point sana.View attachment 622325
Kila timu ina defender ambaye hushushiwa lawama timu yake inapofungwa hata kama hajahusika.United kuna Smalling,Liverpool kuna Lovren,City kuna Mangala na Chelsea kuna Cahill.
Ni mara chache sana timu ambayo inachezesha 3 CB inaruhusu magoli mengi kama Chelsea inavyoruhusu msimu huu.Tatizo kubwa linaanzia kwenye midfield wanakuwa exposed mara kwa mara Bakayoko & Fabregas sio wazuri kwenye kukaba
Conte anapaswa kuangalia opponent anaocheza nao sometime angekuwa anaswitch to 4-4-2 au 4-3-3 timu nyingi zilishaujua ule mfumo wake wa msimu uliopita 3-4-3,Roma walikuwa na 3 midfielder (Naingollan,De Rossi & Strootman) while Chelsea walikuwa na Fabregas & Bakayoko .First leg Chelsea walizidiwa sana na Roma so Conte alipaswa kubadili mbinu ili aweze kupambana nao
Pia Morata anaonekana amechoka na hayuko fit Batshuayi anahitaji kupewa nafasi zaidi ya kucheza
Usiseme hivyoPSG watoto wadogo sana kwangu hawajawahi niumiza kichwa hata siku moja.
Hao psg wanawaonea vilema kama liverpool, celtic etc.
Chelsea hatufungwi kwa sababu ya mfumo ,Mimi nikiona lineup tu naweza kujua mapema kuwa Kama tutafungwa , Mechi vs man city ukiangalia lineup tu unajua hapa hakuna hata shot on target tutakayopata, juzi vs Roma lineup tu unajua hakuna clean sheet .View attachment 622325
Kila timu ina defender ambaye hushushiwa lawama timu yake inapofungwa hata kama hajahusika.United kuna Smalling,Liverpool kuna Lovren,City kuna Mangala na Chelsea kuna Cahill.
Ni mara chache sana timu ambayo inachezesha 3 CB inaruhusu magoli mengi kama Chelsea inavyoruhusu msimu huu.Tatizo kubwa linaanzia kwenye midfield wanakuwa exposed mara kwa mara Bakayoko & Fabregas sio wazuri kwenye kukaba
Conte anapaswa kuangalia opponent anaocheza nao sometime angekuwa anaswitch to 4-4-2 au 4-3-3 timu nyingi zilishaujua ule mfumo wake wa msimu uliopita 3-4-3,Roma walikuwa na 3 midfielder (Naingollan,De Rossi & Strootman) while Chelsea walikuwa na Fabregas & Bakayoko .First leg Chelsea walizidiwa sana na Roma so Conte alipaswa kubadili mbinu ili aweze kupambana nao
Pia Morata anaonekana amechoka na hayuko fit Batshuayi anahitaji kupewa nafasi zaidi ya kucheza
Kwa miaka mingi Chelsea inaundwa kutegemea key players ambao wakikosekana timu inapata taabu sana kwa sasa Kante ni big loss kwenye timu ya Chelsea yeye ndio anafunika makosa ya wengi(midfielders& defenders) na kuwafanya baadhi ya players waonekane vizuri Conte anapata taabu sana sababu Bakayoko,Fab,Drinkwater uchezaji wao na workrate zao ni ndogo ukilinganisha na Kante wote wanacheza vizuri wakicheza na KanteChelsea hatufungwi kwa sababu ya mfumo ,Mimi nikiona lineup tu naweza kujua mapema kuwa Kama tutafungwa , Mechi vs man city ukiangalia lineup tu unajua hapa hakuna hata shot on target tutakayopata, juzi vs Roma lineup tu unajua hakuna clean sheet .
Kwa mfano next match vs man utd akipanga luiz ,rud na Cahill kwenye back 3 lazima man watapata goli, ukiacha majeruhi ila lazima tukubali kuna wachezaji wana underperform Sana msimu huu akiwemo Cahill na Azp name unfortunately Hawa ndio Conte anawapenda kuliko. Ikitoka lineup at jumapili nitakuja kuweka prediction yangu ambayo najua itakuwa 80% correct
Mwanaume gan unakua manafiki hiv nna waswasMSHAGEUKA IKI NI KIKUNDI CHA WEZI
ILI SIO JUKWAA NIKIKUNDI CHA WEZI NYIE MNATUALIBIA JUKWAA LETU WANA BLUE
Usngekua unapotez mda kja humVitimu vya kawaida kawaida hivi, nani ana mda navyo..
Kwanza havina mashabiki, vinashabikiwa na wale wenye chuki na MUFC