Katika mchezaji ambaye anatakiwa kuumia na kukaa nje msimu mzima ni cahill
Mkuu, ukiona cahili yupo kwenye LINE UP ingia fasta phamarcy utafute panado ndo utakuwa msaada wako.
Katika mchezaji ambaye anatakiwa kuumia na kukaa nje msimu mzima ni cahill
kwahiyo unakubali kwamba siyo Cahill pekee anaefanya makosa ni mabeki wote wa Chelsea wanafanya makosa kila mmoja kwa wakati wake.Cahill ndie captain wa timu, tunategemea Cahill akiona uzembe wa beki yoyote yule amkunje hata jezi, sasa yeye mwenyewe makosa kibao na wenzake ndio hivyo ni kama timu haina Captain uwanjani
umeanza kuifatilia Chelsea mwaka gani mkuu?Mkuu, ukiona cahili yupo kwenye LINE UP ingia fasta phamarcy utafute panado ndo utakuwa msaada wako.
Yeye kama captain huwa anachukua hatua gani kusahihisha makosa ya wenzake, kupanga last defense na majukumu mengine ya kuhamasisha timu kupata ushindi au na yeye ndo anashangaa shangaa tu uwanjani kama sio captain vilekwahiyo unakubali kwamba siyo Cahill pekee anaefanya makosa ni mabeki wote wa Chelsea wanafanya makosa kila mmoja kwa wakati wake.
umeanza kuifatilia Chelsea mwaka gani mkuu?
Majanga majanga muingereza huyu, hivo huwa hakai kuangalia clips za JT enzi za ukaptain wakeHaaaaa Haaaaa Cahili amkunje mwenzie jezi???????
wakati yeye ndo source ya ubovu wa team.
Conte kasema j2 atampanga, SO MKUU ANDAA PANADO MAPEMA.
MIMI KILA NKIONA LINE UP YUPO CAHILI HUWA NAINGIA PHAMARCY KUTAFUTA PANADO.
Hah hah... Na wewe muulize umeanza kufuatilia jukwaa hili mwaka gani?Mbona unaniuliza swali la kindezi????????
Yeye kama captain huwa anachukua hatua gani kusahihisha makosa ya wenzake, kupanga last defense na majukumu mengine ya kuhamasisha timu kupata ushindi au na yeye ndo anashangaa shangaa tu uwanjani kama sio captain vile
Hah hah... Na wewe muulize umeanza kufuatilia jukwaa hili mwaka gani?
Mimi na wewe tupo huku yeye na mabeki wenzie pamoja na Conte wapo huko je sisi tunajua kinachoendelea katika dressing room?Yeye kama captain huwa anachukua hatua gani kusahihisha makosa ya wenzake, kupanga last defense na majukumu mengine ya kuhamasisha timu kupata ushindi au na yeye ndo anashangaa shangaa tu uwanjani kama sio captain vile
Courtios... Azpilicueta... Luis/Christensen... Rudiger... Zappacosta... Bakayoko... Kante... Alonso/Kennedy... Pedro... Morata... Hazard
undezi wa hilo swali ni nini? ningependa kujua mwaka ulioanza kuifatilia Chelsea mkuu kuna tatizo hapo?Mbona unaniuliza swali la kindezi????????
Unafananisha JT laiyekuwa anakaribia kustaafu na huju Cahill, nahisi siwezi kuendelea ku argue na weweMimi na wewe tupo huku yeye na mabeki wenzio pamoja na Conte wapo huko je sisi tunajua kinachoendelea katika dressing room?
Rejea msimu wa 2015/2016 Chelsea ilipofanya vibaya na kumaliza nafasi ya 10 kwenye ligi Terry alikuwa Captain je alichukuwa hatua gani? mbona still timu haikuwa ikipata matokeo? au na yeye alikuwa anshangaa shangaa tu uwanjani?
undezi wa hilo swali ni nini? ningependa kujua mwaka ulioanza kuifatilia Chelsea mkuu kuna tatizo hapo?
Umezungumzia Captain nimekutolea mfano wa JT 2015/2016 na kwa vile umeona huna hoja ya msingi ya kujitetea nayo hapo unaanza kukimbilia kwenye kustaafu kwahiyo sasa hivi kwa vile Iniesta anakaribia kustaafu he is not responsible as a Barcelona Captain? Unapokuwa Captain ni Captain tu haijalishi unakaribia kustaafu wala hukaribii kustaafuUnafananisha JT laiyekuwa anakaribia kustaafu na huju Cahill, nahisi siwezi kuendelea ku argue na wewe
Unafananisha JT laiyekuwa anakaribia kustaafu na huju Cahill, nahisi siwezi kuendelea ku argue na wewe
nimeuliza swali hilo kutaka kurelate comments zako na mwaka ulioanza kuifatilia Chelsea kwasababu comments zako zina resemble mtu aliyeanza kuifatilia Chelsea msimu uliopita walau ungeanza msimu wa 2015/2016 usingelimtupia lawama mtu mmoja pekee kana kwamba magoli yote anafungisha yeye.Swali la kindezi kama hilo lina uhusiano gani na kiwango kibovu cha cahili???????