Wenge Musica,
We acha tu, zile dakika 30 za kwanza nilipata mdadi kama ule wa Chadema kabla ya uchaguzi. Kurudi second half, nimefadhaika wala si eti kuchakachuliwa bali ni sawa na lile la kutoka nje ya Bunge na baadae kuanza kudai hatukusema hatumtambui Kikwete.
I tell you Carlo may be the dumbest coach I have seen. Leo unaacha kuweka pace setters wa kufanya Evarton wawe defensive, unaishia kuvuja nyuma. Half time alitakiwa kuleta sura mpya ya Sturridge na Kakuta au kale ka Joshua kama si Zirikov na kumuondoa Kalou na Mikel au hata Drogba maana pace ilipungua.
Kwa nini hamchezeshi Malouda kulia mabako ni more effective halafu ana switch na Sturungi?
What the Fudge!