Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Asante kaka. Nina kila mashaka na hali ya afya ya PEASANT na Rev. Masa. Ab Mapichaz, sina shaka nae. Lol!

Niko poa mkuu. It's just a blip, we'll be back at the top when we play Manure.
 
Ubingwa waanza kuinukia MANUTD...........................hiyo ndiyo habari ya leo....................
 
_50188406_goal_pa.jpg



Mshike huyoooooooooooo Carroll ...... ...... Khe khe khe kheeeeeeeeee



_50188407_carrol766pa.jpg

Andyyyyyyyyyyyyyyyyyyy Carrollllllllllllllll ............. khe khe kheeeeeeee




_50189560_carlo_pa.jpg


Mama miaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Acheni lotte ....khe khe kheeeeeee





Mtakonda mwaka huu Mungiki Brother imebidi achukue
another self-imposed ban (Kwa masikitiko makubwa ..... ) khe khe kheeeee
 
_50187253_newcastle_getty.jpg

Bora wangesusia kutoa barafu ili mchezo uairishwe .....


NB: Wanaochungulia hii thread hadi hivi sasa ni wanazi wa mafioso team leo ngebe kwishnei .... ..... Wamepoa utafikiri kuku aliyemwagiwa maji khe khe kheeeeee
 
Watani poleni naona mmehit self-destruct button, najua mtaanza kusema majeruhi and whatnot lakini ukweli unaaki speed mliyoanza naye imeisha. Mmejipatia point 4 katoka kwenye possible 15.
 
aaaaaaaaaaah wapi ,unafikiri kila timu Arsenal unaweza kuwarudishia na kuongeza? lol ,mv chelsea inazama hio kumeshakucha hapo mpaka ancelloti aondoke ndio mambo yatabadilika.sio kawaida chelsea kupoteza points kwa mfululizo kuna kitu kinaendelea lockerroom hatujui lakini sasa hivi tutajua.


safi sana chelsea endeleeni hivyo hivyo kupoteza points mpaka kieleweke.

Duh, sawa bana..

Ila Chelsea kuna kitu hakipo sawa kwene dawati la ufundi, hata mechi ya juzi ya UCL niliona walistruggle sana kurudisha bao na kupata bao la ushindi dhidi ya katimu ambako hata sijui ni ka nchi gani!

Inabidi Chelsea watafute straika mwingine pale mbele, Drogba amezeeka na Kalou ni kama Bendtner,( jana amekosa goli la wazi kabisa yeye na nyavu.!) na midfiled ya kucheza defensive haitosaidia timu kufunga magoli.
 
wenye jukwaaa wakowapi? jukwaaa linaloongozwa na ma rev wawili,rev kishoka njoo utoe maombi meli inazama.rev masanilo najua kasha zima kwa kushambulia pombe kutokana na matokeo mabaya.

peasant yeye alienda uwanjani ndio kisingizio chake kikubwa sasa sijui kuna foleni kubwa au treni zina run late leo kwa vile jumapili.


invisible yeye wakishinda anakuwa robot anaonekana hapa wakifungwa anachukua status yake ya invisible.


abt(p)ichaz yeye anasusa kuleta pichaz hapa mpaka aone wach1 kaweka lol.


kama kuna mtu nimemsahau yeye aliona mbali toka msimu ulipoanza ndio maana hawaonekani hapa.

I still luv you bro!...Unajua machungu ya kichapo tena. Kuna noma pale nyumbani na wakulu
hawaelewani naswi inabidi tusuburi till the dust settles.

Hata hivyo mimi ni Chelsea for life!!!!
 
Asante kaka. Nina kila mashaka na hali ya afya ya PEASANT na Rev. Masa. Ab Mapichaz, sina shaka nae. Lol!

I'm still here come rain come shine, son!....Wewe ni wetu LOL!!!
Safari bado mbali na hii kujisifu leo, endeleeni tu lakini Desemba unajua ngoma sugu!
 
Nasikia hata Kibera kunawaka moto bora moto wa JF no any mote self imposed ban.



carlo-splash_1173611a.jpg
 
 
 
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeee

Nasikia Invisible Teachers haijanyweka kwa miongo kadhaa. Usijali mkuu ndio EPL hiyo
 
]wenye jukwaaa wakowapi? jukwaaa linaloongozwa na ma rev wawili,rev kishoka njoo utoe maombi meli inazama.rev masanilo najua kasha zima kwa kushambulia pombe kutokana na matokeo mabaya.

[/B] peasant yeye alienda uwanjani ndio kisingizio chake kikubwa sasa sijui kuna foleni kubwa au treni zina run late leo kwa vile jumapili.


invisible yeye wakishinda anakuwa robot anaonekana hapa wakifungwa anachukua status yake ya invisible.


abt(p)ichaz yeye anasusa kuleta pichaz hapa mpaka aone wach1 kaweka lol.


kama kuna mtu nimemsahau yeye aliona mbali toka msimu ulipoanza ndio maana hawaonekani hapa.
umenichekesha sana kwa haya maneno niliyoyakuza(BOLD) na rangi ya bluu,kweli nimeamini bluu ni rangi!!
 
I still luv you bro!...Unajua machungu ya kichapo tena. Kuna noma pale nyumbani na wakulu
hawaelewani naswi inabidi tusuburi till the dust settles.

Hata hivyo mimi ni Chelsea for life!!!!

hahaha bila wasi wasi bro si unajua nafasi hizi zinatokea mara chache kwahio na sisi ngoja tuzitumie vizuri kushambulia jukwaa lenu lol.
 
article-1334098-0C450B33000005DC-918_634x431.jpg

Speaking out: Didier Drogba says Chelsea must stop conceding
early goals as it's ruining their title chances

Drogba says he hates seeing United ahead of them in the table and is not pleased
that Arsenal are level of points with them either.

......................................... the Blues are having to constantly chase games
- a problem he insists they must rectify.

'It's not a good moment and is very frustrating,' admitted Drogba. 'It's not nice to see United up front and Arsenal are with us as well ............



Chacha njomba chemeni menyewe chichi tinachonga mbele khe khe kheeeeeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom