Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

FlorentMalouda_2533426.jpg





Daniel-Sturridge-celebrates-Chelsea-v-Zilina_2533390.jpg





DanielSturridge_2533400.jpg
 
Wakubwa,

Nilikuwa naperuuz kucheki game za Chelsea kabla ya Kristmas, ngoja niziweka hapa

Away to Newcastle – Jumapili hii
At Home with Everton – Dec 4th
Away to Tottenham – Dec 12
At Home with Man U – Dec 19

Ukiangalia vizuri hizi game zote ni ngumu, hakuna game nyepesi hata moja hapa. Majeruhi bado ni tatizo sina uhakika watu hawa watakuwa tayari Alex, Terry, Benayoon, Lampard. Matokeo baada ya hizi games yatatoa picha nzima kwamba je mwaka huu tunaweza kutoka kidedea tena?

Game hizi zinahitaji wachezaji wazoefu, tunajivunia kuwa na vijana wadogo wazuri sana lakini Game za ligi kuu zinahitaji wachezaji wazoefu.

Najipa moyo ingawa moyoni nina hofu kama tutacheza game hizi nne bila hawa wachezaji wetu basi inaweza kuwa zahma.

nilikuwa nawakumbusha tu wana chelsea.
 
Wakubwa,

Nilikuwa naperuuz kucheki game za Chelsea kabla ya Kristmas, ngoja niziweka hapa

Away to Newcastle – Jumapili hii
At Home with Everton – Dec 4th
Away to Tottenham – Dec 12
At Home with Man U – Dec 19

Ukiangalia vizuri hizi game zote ni ngumu, hakuna game nyepesi hata moja hapa. Majeruhi bado ni tatizo sina uhakika watu hawa watakuwa tayari Alex, Terry, Benayoon, Lampard. Matokeo baada ya hizi games yatatoa picha nzima kwamba je mwaka huu tunaweza kutoka kidedea tena?

Game hizi zinahitaji wachezaji wazoefu, tunajivunia kuwa na vijana wadogo wazuri sana lakini Game za ligi kuu zinahitaji wachezaji wazoefu.

Najipa moyo ingawa moyoni nina hofu kama tutacheza game hizi nne bila hawa wachezaji wetu basi inaweza kuwa zahma.

nilikuwa nawakumbusha tu wana chelsea.

Ratiba kali kweli hio jamani. I have hope though after the way the lads played two days ago. The young guys showed up
in a good way. Kwa hivyo bado najipa moyo.

HAPPY THANKSGIVING vijana wa darajani!
 

Yes mkuu nilifurahishwa sana na kiwango cha huyu dogo, juzi alicheza kama holding midfilder, dogo ana kipaji kizuri. Sijaona errors zozote, pasi safi, ukabaji na kugawa mipira na protection ya back four- Dogo ana 17 yrs - A new Claude Makalele is born at the Bridge.
 
Nasikia Daraja limevunjika jana usiku, ukitilia maanani Mungiki brother amerudi kutoka self-imposed ban na mashabiki kede kede kufurika kwenye daraja. Isitoshe huyu bwana kaamua kubwaga manyanga ....




article-1333490-01C112D20000044D-440_468x331.jpg





Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wakubwa,

Nilikuwa naperuuz kucheki game za Chelsea kabla ya Kristmas, ngoja niziweka hapa

Away to Newcastle – Jumapili hii
At Home with Everton – Dec 4th
Away to Tottenham – Dec 12
At Home with Man U – Dec 19

Ukiangalia vizuri hizi game zote ni ngumu, hakuna game nyepesi hata moja hapa. Majeruhi bado ni tatizo sina uhakika watu hawa watakuwa tayari Alex, Terry, Benayoon, Lampard. Matokeo baada ya hizi games yatatoa picha nzima kwamba je mwaka huu tunaweza kutoka kidedea tena?

Game hizi zinahitaji wachezaji wazoefu, tunajivunia kuwa na vijana wadogo wazuri sana lakini Game za ligi kuu zinahitaji wachezaji wazoefu.

Najipa moyo ingawa moyoni nina hofu kama tutacheza game hizi nne bila hawa wachezaji wetu basi inaweza kuwa zahma.

nilikuwa nawakumbusha tu wana chelsea.
Tunaomba mtupishe kwenye nafasi yetu,mmekaa vya kutosha
 
Nasikia Daraja limevunjika jana usiku, ukitilia maanani Mungiki brother amerudi kutoka self-imposed ban na mashabiki kede kede kufurika kwenye daraja. Isitoshe huyu bwana kaamua kubwaga manyanga ....




article-1333490-01C112D20000044D-440_468x331.jpg





Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
Ukweli hali sio nzuri darajani,kuna bundi ameingia
 
article-1333720-0C0F5989000005DC-640_468x383.jpg


In ..... ... .... out ?



article-1333720-0BC1F320000005DC-944_468x451.jpg


Key mafioso ....... ... ..... ooooops Key player .....

Khe khe kheeeeeeeeeeeeee
 
Ngoma ya watoto haikeshi, 1-1.

Kipindi cha pili watu wanajichukulia point zao 3.

aaaaaaaaaaah wapi ,unafikiri kila timu Arsenal unaweza kuwarudishia na kuongeza? lol ,mv chelsea inazama hio kumeshakucha hapo mpaka ancelloti aondoke ndio mambo yatabadilika.sio kawaida chelsea kupoteza points kwa mfululizo kuna kitu kinaendelea lockerroom hatujui lakini sasa hivi tutajua.


safi sana chelsea endeleeni hivyo hivyo kupoteza points mpaka kieleweke.
 
Tehetehe!..asante kwa kutupisha katika NAFASI YETU.....:A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1:
 
wenye jukwaaa wakowapi? jukwaaa linaloongozwa na ma rev wawili,rev kishoka njoo utoe maombi meli inazama.rev masanilo najua kasha zima kwa kushambulia pombe kutokana na matokeo mabaya.

peasant yeye alienda uwanjani ndio kisingizio chake kikubwa sasa sijui kuna foleni kubwa au treni zina run late leo kwa vile jumapili.


invisible yeye wakishinda anakuwa robot anaonekana hapa wakifungwa anachukua status yake ya invisible.


abt(p)ichaz yeye anasusa kuleta pichaz hapa mpaka aone wach1 kaweka lol.


kama kuna mtu nimemsahau yeye aliona mbali toka msimu ulipoanza ndio maana hawaonekani hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom