Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 699
Chelsea 10 - 1 New Castle ... ...... .....
More to come...... Padri bandia upo au umekuwa Invisible? Vipi Mungiki brother atatokea leo au basi ndio msiba umeingia? Au basi yaishe hili ni kombe la mbuzi ... .... but at what cost?
Ten men Chelsea are out, set peace hiyo
4-3
Haya mchungaji!! Hilo mnalo hilo!!
Man City nao wamefungashwa...kombe limeshachanganya kwenye raundi ya mwanzo kabisa hili!! cup upsets!!!!
....eehhhh??? eti nini???
Kombe la mbuzi hili watu watoana macho
Mchungaji Masa na convoy lote la darajani, poleni sana. Ndo mpira huo
It's all about giving Fat Arse a chance of winning at least something this season.......ooh wait, Manure are still in it, bad news for Fat Arse Chavettes.