Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii yawezekana pia..
Ha ha ha usiteseke kuulizia.
Mimi ni Shabiki wa Manchester united..
Red devil.
Mtoto wa OT.
Ni shabiki kitambo sana, tangu Nina miaka 9.
Na kuhusu kuwepo kwenye huu Uzi nipogo sana tangu 2014 na nitaendelea kuwepo.
Na hivi ndivyo nilivyo na msimu mzima nitakuwa hivi hivi.
BTW simchukii mtu, na nipo hapa Ku enjoy tuu.
Kama utakuwa haupendi au unachukia pole, ila ndiyo hamna namna.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha usiteseke kuulizia.
Mimi ni Shabiki wa Manchester united..
Red devil.
Mtoto wa OT.
Ni shabiki kitambo sana, tangu Nina miaka 9.
Na kuhusu kuwepo kwenye huu Uzi nipogo sana tangu 2014 na nitaendelea kuwepo.
Na hivi ndivyo nilivyo na msimu mzima nitakuwa hivi hivi.
BTW simchukii mtu, na nipo hapa Ku enjoy tuu.
Kama utakuwa haupendi au unachukia pole, ila ndiyo hamna namna.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilisha kwambia siwezi kuchukia. Hii ndio aina ya utani niupendao. Nataka unipe changamoto ili nikiona comment yako najipanga cha kuandika. Kwa nn nichukie mtu ambaye hata hatujuani. Nipe changamoto za maana ndio ushabiki ninao upenda
 
Mkuu game imepotelea sehemu mbili tu. Najua wanatusaidiaga sana ila upande wa Alonso na Fabregas ndio waliopotea. Kante akajikuta anazunguka kila sehemu tu.

Alonso alikuwa anang'ara nadhani kutokana na Hazard anavyomsaidia kuwa rudisha nyuma mabeki, ila bila Hazard anapoteana sana mechi zote toka pre season. Fabregas amekimbizwa sana katikati pale Xhaka na Elneny wamemzungusha sana.

Bila kupata mbadala mzuri wa Alonso na kupata kiungo Mwingine anaeweza kucheza box to box na kuwekeana misuli kweli, maana hatutegemei Bakayoko na Kante kucheza mechi zote basi msimu huu hakuna chetu hata kodogo.
Kazi kwelikweli mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom