Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nyie mashabiki maandazi ndio mnaweza kupata stelles kwa mechi km hizi. Wenye uzoefu katika haya mambo unachukulia kawaida. We endelea kupambana kivyako tukutane kwenye ligi

e023dbf004d5915bdec015bd387420fb.jpg
Wigi la mzee linawasha.
 
Nyie mashabiki maandazi ndio mnaweza kupata stelles kwa mechi km hizi. Wenye uzoefu katika haya mambo unachukulia kawaida. We endelea kupambana kivyako tukutane kwenye ligi
Umepanic, mbona huu ni mpira tuu?
Asiyekubali kushindwa siyo mshindani.
Mechi kama hizi wenzenu wana kombe nyie mna nini?
Sioni hata sababu ya kuita watu majina ya ajabu , kama una hasira basi kafunge goli lako .
Haya byee usije ukanimeza bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusidanganyane bado tunahitaji mshambuliaji

Achana na habari za bakayoko na hazard

Tunahitaji mshambuliaji

Halafu morata abadilishiwe jezi ile ina mkosi ile jezi
 
Umepanic, mbona huu ni mpira tuu?
Asiyekubali kushindwa siyo mshindani.
Mechi kama hizi wenzenu wana kombe nyie mna nini?
Sioni hata sababu ya kuita watu majina ya ajabu , kama una hasira basi kafunge goli lako .
Haya byee usije ukanimeza bure

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe wewe ni shabiki wa arsenal cute b
 
Tusidanganyane bado tunahitaji mshambuliaji

Achana na habari za bakayoko na hazard

Tunahitaji mshambuliaji

Halafu morata abadilishiwe jezi ile ina mkosi ile jezi
Ukweli ni kwamba kikosi ni finyu sana na msimu huu mashindano ni mengi sana Chelsea inashiriki halafu sidhani kama Conte ni mzuri wa kimbinu hapo ndo timu inaposhindwa kotekote.
 
Tusidanganyane bado tunahitaji mshambuliaji

Achana na habari za bakayoko na hazard

Tunahitaji mshambuliaji

Halafu morata abadilishiwe jezi ile ina mkosi ile jezi

Jezi tena imefanya nini Mkuu..?

Wenzako hata hawaonekani kwa uzi..

Msimu huu mtalia na kusaga me no.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom