Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,328
- 7,804
Siwezi kumjudge kwa match moja mpaka acheze nusu msimu
Mkuu mbona kauli zako zimekuwa za kinyonge sana baada ya mechi ya jana? Hebu onesha mbavu kama yule mchezaji wa Arsenal aliyesawazisha.
Anyways, Morata mzuri sana ila atahitaji muda ku-cope na mazingira.

