Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kyutiiiiiiiiiii biiiiiiiii !!!!! Hahhahaha nimecheka hatariiiiii!!! Shemeji Kimarioooooooo hajhahha sisi tupo OT we never see a shame kusema sisi ni Manchester United the Redd's utatufahamu tu na utatupenda na utajiunga nasi katika kambi ya kusaga sumu, ni fitina fitani tuuu!!! Tupogo humu kitambooo sanaaaa!!!

Kunguru Mjanja embu uwe unatoa utambulisho basi maana kuna watu wanataka kutumeza hahahhahha!!

Wapi Mentor my sweet mzee wa vikatunniiii

Shemeji sisi pia tupogo kule Hispania utatuona ingawaje kule tunagawanyika... Huwa tunatoa pia back pale Italy....

Usituchukie jomoniiiiii!!!!!!!
"Kyutiiiiiiiiiii biiiiiiiiiii" daaah kweli nilikumiss.
Ha ha ha ha ha ha msiba unachanganya usiombe yakukute .
Eti sina timu ha ha ha ha ha bora umwambie kwamba tangu 2014 sisi tupo humu tulianza ..
Vuduku
Tukaja vigodoro..
Sasa hivi tupo singeli.
Avumilie tuu maana ndiyo kwanza mwanzo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Kyutiiiiiiiiiii biiiiiiiiiii" daaah kweli nilikumiss.
Ha ha ha ha ha ha msiba unachanganya usiombe yakukute .
Eti sina timu ha ha ha ha ha bora umwambie kwamba tangu 2014 sisi tupo humu tulianza ..
Vuduku
Tukaja vigodoro..
Sasa hivi tupo singeli.
Avumilie tuu maana ndiyo kwanza mwanzo..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhaha umenikumbusha mbaliiiii haki atuvumilie tu huku akijitahidi kupambana na hali yake tuuuuuu!!!!
 
Huenda hata hata hana team ya kushabikia ni bendera fata upepo tu
Yani kufungwa mechi moja mpaka kujibu swali kwa ufasaha umeshindwa ...


Halafu huyo Mpemba morata a.k.a mla urojo ... Mtoto laini akikutana na zile Beki za stoke city au crystal palace ataweza kufua dafu kweli ... Costa mwenyewe alikuwa anatumia njia za ziada kuzipita beki zile zenye roho mbaya kama askari wa pilato au Nebkadreza

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Haahahahhhaha kama ulililia msimu uliopita basi nami nitaliaaaa!!! Mwaka huu kibao ni kimoja tu Win....Wwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwww
Aaaha wapi hakuna hilo. Japo Mourinho ni mzee wa second season ila nyie bado sana. Hamuwezi kuwa na W nyingi hivyo bado sana
 
"Kyutiiiiiiiiiii biiiiiiiiiii" daaah kweli nilikumiss.
Ha ha ha ha ha ha msiba unachanganya usiombe yakukute .
Eti sina timu ha ha ha ha ha bora umwambie kwamba tangu 2014 sisi tupo humu tulianza ..
Vuduku
Tukaja vigodoro..
Sasa hivi tupo singeli.
Avumilie tuu maana ndiyo kwanza mwanzo..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mwanzo wala nini leo tu, siku nyingine zitakuwa za kubahatisha tu
 
Yani kufungwa mechi moja mpaka kujibu swali kwa ufasaha umeshindwa ...


Halafu huyo Mpemba morata a.k.a mla urojo ... Mtoto laini akikutana na zile Beki za stoke city au crystal palace ataweza kufua dafu kweli ... Costa mwenyewe alikuwa anatumia njia za ziada kuzipita beki zile zenye roho mbaya kama askari wa pilato au Nebkadreza

Sent From My Nokia Ya Tochi
Kunywa Pepsi kwa Mangi naja kulipa.....


Huu mwandiko huu!!! Lazima wewe ulikuwa mwana team!!!


Jamani msichange majina tunawamissssssssssss!!!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom