Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tusidanganyane bado tunahitaji mshambuliaji

Achana na habari za bakayoko na hazard

Tunahitaji mshambuliaji

Halafu morata abadilishiwe jezi ile ina mkosi ile jezi
Mkuu game imepotelea sehemu mbili tu. Najua wanatusaidiaga sana ila upande wa Alonso na Fabregas ndio waliopotea. Kante akajikuta anazunguka kila sehemu tu.

Alonso alikuwa anang'ara nadhani kutokana na Hazard anavyomsaidia kuwa rudisha nyuma mabeki, ila bila Hazard anapoteana sana mechi zote toka pre season. Fabregas amekimbizwa sana katikati pale Xhaka na Elneny wamemzungusha sana.

Bila kupata mbadala mzuri wa Alonso na kupata kiungo Mwingine anaeweza kucheza box to box na kuwekeana misuli kweli, maana hatutegemei Bakayoko na Kante kucheza mechi zote basi msimu huu hakuna chetu hata kodogo.
 
Msimu huu utakuwa mgumu kwenu wana blues!

Lazy boy!!!!!!!!!!!! Morata.
Ugumu unatoka wapi? Mbona Chelsea umechezwa mzuri? Possession 54 kwa 46, shots nyingi kuliko Arsenal?
Penalties are penalties and will remain to be penalties. Nashangaa mtu anaanza kulaumu eti sijui nini Wala nini! EPL mtu mwenye kikosi zaidi ya Chelsea ni man City Japo atapata shida kuunda Chemistry ya timu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
5a456e87a51846f3b9cd5c253c9fd497.jpg


Bia za Wenger mmekunjwa..
Nauli mmechukua...
Haya anauliza mtatoa hamtoiiii...

Haya cheza singelii, singeli

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwendo wa Masera weka mikono juuuu!!!
 
Hhahahhahahha loooohhhhh!!!! Liamshe dudeeeeeeee nilikumiss sana this msimu ni mwendo wa kuliamsha dudeeee tuuuu!!!! nilikumiss sana mchizi wangu am not kidney hahahahaha!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
This msimu ni .
Team itakayopoteza ni halali yetu.
Nilikumisss kinoumer kila siku nachungulia profile naona last seen ya muda mrefu nikasema itakuwaje huh msimu jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umepanic, mbona huu ni mpira tuu?
Asiyekubali kushindwa siyo mshindani.
Mechi kama hizi wenzenu wana kombe nyie mna nini?
Sioni hata sababu ya kuita watu majina ya ajabu , kama una hasira basi kafunge goli lako .
Haya byee usije ukanimeza bure

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhaha kijana haelewi kwamba hizi ni Fitina tu fitaniii!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom