Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wadau kwaheriniiii nitakuja kesho kuwajulia hali tupo pamoja kipindi hiki kigumu,kesho tutachambua soka tujue Morata alikuwa benchi au ? hivi Lukaku naye !!! Hahaha Conte naye sijui atajiteteaje....

By the Way ngao ya hisani ni kitu Fulani hiviiii hata hakinaga ulazima tupa kulee... Hahahhaha Kunguru Mjanja umefurahi sasa???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutawaona
Arsenal mtaa wa 5
Man u mtaa wa 6

M
Hii ni mitaa yenu pendwa sana
5b15727762c8cb7e43123c1ed3320240.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau kwaheriniiii nitakuja kesho kuwajulia hali tupo pamoja kipindi hiki kigumu,kesho tutachambua soka tujue Morata alikuwa benchi au ? hivi Lukaku naye !!! Hahaha Conte naye sijui atajiteteaje....

By the Way ngao ya hisani ni kitu Fulani hiviiii hata hakinaga ulazima tupa kulee... Hahahhaha Kunguru Mjanja umefurahi sasa???

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama vile naona walivyopumuaa uuuuuuuuhhh..
Usiku mwema mami

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umepanic, mbona huu ni mpira tuu?
Asiyekubali kushindwa siyo mshindani.
Mechi kama hizi wenzenu wana kombe nyie mna nini?
Sioni hata sababu ya kuita watu majina ya ajabu , kama una hasira basi kafunge goli lako .
Haya byee usije ukanimeza bure

Sent using Jamii Forums mobile app
Binti unanichekesha. Kama unajua ni mpira tu mbn unapovuka? Mi ndio aina yangu ya utani huu. Samahani kama nakuboa binti.
 
Wadau kwaheriniiii nitakuja kesho kuwajulia hali tupo pamoja kipindi hiki kigumu,kesho tutachambua soka tujue Morata alikuwa benchi au ? hivi Lukaku naye !!! Hahaha Conte naye sijui atajiteteaje....

By the Way ngao ya hisani ni kitu Fulani hiviiii hata hakinaga ulazima tupa kulee... Hahahhaha Kunguru Mjanja umefurahi sasa???

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha ha bora aisee we nenda tu. Kesho Mungu akipenda. Usimsahau cute b
 
Huenda hata hata hana team ya kushabikia ni bendera fata upepo tu
Kyutiiiiiiiiiii biiiiiiiii !!!!! Hahhahaha nimecheka hatariiiiii!!! Shemeji Kimarioooooooo hajhahha sisi tupo OT we never see a shame kusema sisi ni Manchester United the Redd's utatufahamu tu na utatupenda na utajiunga nasi katika kambi ya kusaga sumu, ni fitina fitani tuuu!!! Tupogo humu kitambooo sanaaaa!!!

Kunguru Mjanja embu uwe unatoa utambulisho basi maana kuna watu wanataka kutumeza hahahhahha!!

Wapi Mentor my sweet mzee wa vikatunniiii

Shemeji sisi pia tupogo kule Hispania utatuona ingawaje kule tunagawanyika... Huwa tunatoa pia back pale Italy....

Usituchukie jomoniiiiii!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom