Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

khaa wewe kutangulia bar si kulewa..matokeo ya jana hayawezi kutoa hitimisho kuwa hatujui.Weka akiba ya maneno
Pole Mama Vipi naweza kupata mashine ya juice ya Miwa ???

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Yani kufungwa mechi moja mpaka kujibu swali kwa ufasaha umeshindwa ...


Halafu huyo Mpemba morata a.k.a mla urojo ... Mtoto laini akikutana na zile Beki za stoke city au crystal palace ataweza kufua dafu kweli ... Costa mwenyewe alikuwa anatumia njia za ziada kuzipita beki zile zenye roho mbaya kama askari wa pilato au Nebkadreza

Sent From My Nokia Ya Tochi
Atakomaa tu soon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom