Tumefungwa magoli ya kizembe sana! Wachezaji wanaonekana bado wana hang-over ya summer break. Lakini Essien na Mikel wako kwenye kiwango kizuri. Anyway, it's just preseason!! Bring on the Mancs!
![]()
Vikongwe wameshatupa taulo
kwa sababu baba kakataa kutoa fweza
Shame on us (Chelsea)...
Keeper wetu ovyo kabisa ha ha ha
Poleni watani, kipigo hiki ndicho ambacho Simba atachakazwa next week na sisi Yanga. BTW; Punguzeni wale pensioners wenu bana, yaani timu iko aged kama ya wafanyakazi wa TRL?, Lol!
Duuh! Kweli nyani haoni k.....e!! Vipi kuhusu Van der Sar (40-), Giggs (36), Scholes (35), Rio (31), Neville (35), Evra (29), Wes Brown (30), O'shea (29), Hargreaves (29), Park (29), Carrick (29), Owen (30), Berbatov (29), na Vidic (28). Hardly a young looking side..lol
Duuh! Kweli nyani haoni k.....e!! Vipi kuhusu Van der Sar (40-), Giggs (36), Scholes (35), Rio (31), Neville (35), Evra (29), Wes Brown (30), O'shea (29), Hargreaves (29), Park (29), Carrick (29), Owen (30), Berbatov (29), na Vidic (28). Hardly a young looking side..lol
Duuh! Kweli nyani haoni k.....e!! Vipi kuhusu Van der Sar (40-), Giggs (36), Scholes (35), Rio (31), Neville (35), Evra (29), Wes Brown (30), O'shea (29), Hargreaves (29), Park (29), Carrick (29), Owen (30), Berbatov (29), na Vidic (28)...Hardly a young looking side..lol
Chelsea: Cech (28), Hilario (34), Cole (29), Carvalho (32), Terry (29), Ferreira (31), Alex (28), Lampard (32), Benayoun (30), Malouda (30), Drogba (32), Anelka (31).....Very experienced side. Hilario anaongeza tu age average kwenye timu, hana msaada wa maana sana.
Classic khe khe kheeeeeeeeee
Sir Alex Ferguson is only 70 timu ya vijana hiyo!
Duuh! Kweli nyani haoni k.....e!! Vipi kuhusu Van der Sar (40-), Giggs (36), Scholes (35), Rio (31), Neville (35), Evra (29), Wes Brown (30), O'shea (29), Hargreaves (29), Park (29), Carrick (29), Owen (30), Berbatov (29), na Vidic (28)...Hardly a young looking side..lol
Chelsea: Cech (28), Hilario (34), Cole (29), Carvalho (32), Terry (29), Ferreira (31), Alex (28), Lampard (32), Benayoun (30), Malouda(30),Drogba (32), Anelka (31).....Very experienced side. Hilario anaongeza tu age average kwenye timu, hana msaada wa maana sana.
Siasa ni mchezo mchafu! Nilijua ningeshida upembuzi yakinifu nilifanya, siku ya siku mazee kura hazijai hata kibaba. No siasa naendeleza career, nimepoteza rasilimali zangu nyingi pamoja na nyumba.
Duuh! Kweli nyani haoni k.....e!! Vipi kuhusu Van der Sar (40-), Giggs (36), Scholes (35), Rio (31), Neville (35), Evra (29), Wes Brown (30), O'shea (29), Hargreaves (29), Park (29), Carrick (29), Owen (30), Berbatov (29), na Vidic (28)...Hardly a young looking side..lol
Chelsea: Cech (28), Hilario (34), Cole (29), Carvalho (32), Terry (29), Ferreira (31), Alex (28), Lampard (32), Benayoun (30), Malouda (30), Drogba (32), Anelka (31).....Very experienced side. Hilario anaongeza tu age average kwenye timu, hana msaada wa maana sana.
Duuh! Kweli nyani haoni k.....e!! Vipi kuhusu Van der Sar (40-), Giggs (36), Scholes (35), Rio (31), Neville (35), Evra (29), Wes Brown (30), O'shea (29), Hargreaves (29), Park (29), Carrick (29), Owen (30), Berbatov (29), na Vidic (28)...Hardly a young looking side..lol
Chelsea: Cech (28), Hilario (34), Cole (29), Carvalho (32), Terry (29), Ferreira (31), Alex (28), Lampard (32), Benayoun (30), Malouda (30), Drogba (32), Anelka (31).....Very experienced side. Hilario anaongeza tu age average kwenye timu, hana msaada wa maana sana.
Man United wana wachezaji wengi ambao ni under 23 na kocha anawapanga Rafael,Fabio,Gibson,Nani,Anderson,Chicharito.Hapo Chelsea ili ucheze lazima uwe na miaka kuanzia 25 na kuendeleaWakuu, kwa data zilizomwagwa hapa nimepiga hesabu za fasta fasta majibu ni haya hapa
Average age Man U ni - 31.3 = VIJEBA VINGI
Average age Chelsea ni 29.6
Jibu nafikiri lipo wazi wa sasa, asante mkuu Peasant kutumwagia data.
Umenena kaka ila wapinzani wetu wasitegemee mteremko bado tupo na timu nzuri ya ushindani na vikombe tutabeba tu.Tumefungwa magoli ya kizembe sana! Wachezaji wanaonekana bado wana hang-over ya summer break. Lakini Essien na Mikel wako kwenye kiwango kizuri. Anyway, it's just preseason!! Bring on the Mancs!