BTW; Braza Ab Tchaz a.k.a Super Mod wetu yu wapi?, au kahamia kwa Mama Obama kimoja, manake alivyomganda mama wa watu, ipo siku SS watamrudisha kwao Tbr..Lol!
Huyo Carvalho wamemuuza kwa hasara.
El Nino naona unajifariji kwa mechi za reserves lol...!!
Hasara kivipi mkuu?! Ulitaka tumuuze kwa bei tuliyomnunua au zaidi? Kumbuka tumemnunua akiwa na miaka 26 na sasa ana 32, ametupa vikombe 3 vya Ligi, 2 vya FA na 2 vya Carling cup! You can't ask for more.Huyo Carvalho wamemuuza kwa hasara.
El Nino naona unajifariji kwa mechi za reserves lol...!!
Hata tusiponunua bado tuna central deffenders wa kutosha, Terry, Alex, Ivanovic, Bruma, Mancienne na Hutchinson.Ni sawa kumuuza but mtafute beki mwingine,naona Anceloti anataka kujenga timu yake
Mkubwa John Tery siku hizi kashaanza kuwa mzigo,Ivanovic sio mzuri pembeni hao watoto kina Bruma,Manciene,Hutchson bado sana ,sijawhi kuona hata siku moja wakicheza labda kwenye reservesHata tusiponunua bado tuna central deffenders wa kutosha, Terry, Alex, Ivanovic, Bruma, Mancienne na Hutchinson.
sijawhi kuona hata siku moja
Mkubwa John Tery siku hizi kashaanza kuwa mzigo,Ivanovic sio mzuri pembeni hao watoto kina Bruma,Manciene,Hutchson bado sana ,sijawhi kuona hata siku moja wakicheza labda kwenye reserves
Belo,
Hatchson, Bruma na Manciene wameshacheza games chache ingawa huwa hawamalizi 90minutes, Terry bado ni kifaa mkuu hapa tuondoe ubishi. Kweli Ivanovic si mzuri sana pembeni sababu yeye ni natural central defender - lakini kumbuka Bosingwa atakuwa available for selection in next three to four weeks, pia Ferreirra ni mchezaji mzuri upande huo huo kwa kulia ingawa cross zake huwa siyo classic.
Nafikiri Ancelloti ameamua kuwa trust hawa madogo, ni vizuri kwa club kutotumia pesa nyingi sana kuwanunua mastaa - hata mimi nina faith kubwa na hawa madogo - mchezaji kama KAKUTA - ni world class.
Kwa ujumla timu haiko fiti ni kweli na hizi games tano za mwanzo wa ligi Chelsea ijiangalie sana isipoteze points nyingi.
EL NINO mna tatizo kwenye central defence na GK kitu cha msingi Anceloti kwa sasa anatakiwa awape nafasi hao vijana wapate experience,JT kwa sasa sio wa kumtegemea since alivyopata ile scandal na kuvuliwa unahodha kiwango kimetetereka ila itategemea atacheza na nani hapo kati
mASANILO tangu amekosa udiwani akili bado haijatulia
...hapa kuna nini tena? oooh sorry nilisahau kumbe ile mambo yetu imeshaanza...eeeh! naona wengine hapa wameanza kwa kuokoka......! mzee wa upako Rev. Masa boy sijui mwaka huu unatokaje hapa.....!
chicharitokama kawaida sisi ni bakora tu kila atakaye leta pua!
chicharito
EL NINO mna tatizo kwenye central defence na GK kitu cha msingi Anceloti kwa sasa anatakiwa awape nafasi hao vijana wapate experience,JT kwa sasa sio wa kumtegemea since alivyopata ile scandal na kuvuliwa unahodha kiwango kimetetereka ila itategemea atacheza na nani hapo kati
mASANILO tangu amekosa udiwani akili bado haijatulia