Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
- Thread starter
- #21
Naona Ferguson anawaleta Nani,hernandez {huyu dogo noma } na galasa lao berbatov.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mkuu mmoja ana signature hii.....Generally timu yetu bado iko mswano ila JT atatugarimu sana msimu huu! he best form has pasted!
CARLO ANCHELOTTI kaitengeneza sana chelsea jamani....siku hizi wanacheza passing game nzuri sana......
Kwanini niame wakati niko timu bora zaidi England?!!!!Mkuu unaruhusiwa kuhama from Chelsea to Arsenal....I assume pre season ni kura za maoni, sasa umeshindwa, njoo kwetu....Akina arsene wenger, wacha1, kweli, balantanda, etc hawatakuzuwia...tunakaribisha
nani kashinda? au bado mechi hewani?
Dogo ana zali huyu.
Shame on us (Chelsea)...goli la pili hapa mnaongoza.dakika ya 76
goli la pili hapa mnaongoza.dakika ya 76
Psiiiiii!Prof hiyo habari njema!..Chelsea wamechokaa, hureee!!..
Shame on us (Chelsea)...
Keeper wetu ovyo kabisa ha ha ha
Shame on us (Chelsea)...
Keeper wetu ovyo kabisa ha ha ha
Psiiiiii!
Taratibu wewe...!
Psiiiiii!
Taratibu wewe...!
Acha kuwa kituko mkuu, inakuwaje unasema Arsenal best team wakati huohuo unasema inahitaji deffenders na kipa, sasa best team gani ambayo haijakamilika?!Samahani...did you mean....shame on you! hahahahahahahhaha....kipa wenu hovyo, poleni sana...leo ni kichapo....Najisikia raha kama MAN U au Chelsea wanafungwa...hapa sina raha kwanza MAN U wanashinda, lakini ninaraha Chelsea wanafungwa....
Shame on Chelesea....Invisible
Keeper wetu ovyo kabisa ha ha ha......Invisible
Arsenal is a best team, with creative players. Currently, Arsenal needs defenders and a goalkeeper to be the leaders...Go Arsenal Go Arsenal