Naipokea best tena vizuri tu, maana hii imetoka kwako. [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]Asante best.... ipokee kwa mikono miwili tu si unaona nimesema nimesafisha moyo hahhaahaha!! Ila karoho kaliniumaaaaa sasa nimekasafisha lakini!!
herrera hajacheza leo?.....Hazard tangia kuingia kwake Spurs wanaisoma namba tu
Kikombe cha mbuzi hicho hakina mpango! 🙂🙂😉NA BADO UTAUMIA ZAIDI!!!
CHELSEA WANAWANIA DOUBLE
Nazani umeshakielewa sasa, watu wakumaliza mchezo walikuwa nje ya uwanjaNatamani maneno haya yatimie ila Spurs yupo full nondo nasi kikosi bado sijakielewa.
Conte sijui kawaambia nini vijana baada ya kipigo cha UTD, ila chochote alichosema au kufanya kitatusaidia sana naonaMazeee niliwa ambiaa tunashindaaaaaaaaa.....wale mamluki bado wapooooo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimeelewa mkuu, hata walioanza hawajaniangusha kabisa. On to the next one....SouthamptonNazani umeshakielewa sasa, watu wakumaliza mchezo walikuwa nje ya uwanja
Kwa kazi tuliyomtuma hajafanya basi kwenye mechi ile hesabu ushatangazwa kuwa bingwa hahahhahaha!!Japo sipendi ila nitakuwa nawe ile siku unacheza na Spurs kwenye ligi, naamini unaweza kumfunga hata umsogeze nyuma kidogo. Naamini hutaniangusha best au sio everlenk [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Hahahah maneno ya mkosajiii [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kikombe cha mbuzi hicho hakina mpango! 🙂🙂😉
You stupid wait and see!!!!Mmeanza kunyooka
Totenham BINGWA
CONTE huwa hafungwi mara mbili mfululizo mkuu... ikitokea ivyo basi ujue wachezaji wapo kwenye kamgomo.Conte sijui kawaambia nini vijana baada ya kipigo cha UTD, ila chochote alichosema au kufanya kitatusaidia sana naona
Muulize kama bado anaendeleza kihere hereSaa 8 iko wapi? Ile Ulimboka umeisahau?
Ntuza chapa kazi tu. Nasema chapa wote tu.