Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pia Spurs mabeki kiwango chao ni cha chini mno huwezi ukawazawadia timu kinzani freekick, penati na mashuti karibu na goli lako utegemee kupona
 
20170422_211040-1.jpg
 
Hongereni sana........ ila kwa mara ya kwanza natoa hongera ya kinafiki[emoji85].




Ahhhhh!!! Nimesafisha moyo mkikaza zaidi mwaka wenu huu kuna tuvikombe tuwili tulee..... all the best.[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Huu mpira Conte alitaka kuwaaminisha spurs watashinda kilaini ila alipowaingiza Costa na Hazard hapo wakakosa plan B na kupotea kabisa...Hatukutaka kucheza mpira wa nguvu sana kwa kuwa tuna mechi karibu hivyo mbinu hii imesaidia kiaina!Ila Matic ule mpira alipoupeleka sio kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hongereni sana........ ila kwa mara ya kwanza natoa hongera ya kinafiki[emoji85].




Ahhhhh!!! Nimesafisha moyo mkikaza zaidi mwaka wenu huu kuna tuvikombe tuwili tulee..... all the best.[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]

Japo ya kinafiki ila Asante sana best...... na nyie alhamic kule kuaeza kuwaendea vizur
 
Huu mpira Conte alitaka kuwaaminisha spurs watashinda kilaini ila alipowaingiza Costa na Hazard hapo wakakosa plan B na kupotea kabisa...Hatukutaka kucheza mpira wa nguvu sana kwa kuwa tuna mechi karibu hivyo mbinu hii imesaidia kiaina!Ila Matic ule mpira alipoupeleka sio kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nilikuwa nina mashaka sana na kikosi cha mwanzo ila ikabidi niamini na hawajaniangusha, Spurs wana roho ngumu sana.

Ake amecheza vizuri kabisa, Batchuayi amejitahidi leo kulinganisha na siku nyingine. (maoni yangu)

Nalipoingia Fabregas kidogo kati palitulia, Hazard nikama aliambiwa usihangaike sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom