Mbona ulitamani kulia siku Ile Kante kakutoboa kamojaKikombe cha mbuzi hicho hakina mpango! 🙂🙂😉
Hebu karudie you tube uusikie na mwamba wa goli ulivyolia [emoji2] [emoji2] [emoji2]Nasikia Nemanja Matikiti ana hitajika kesho kituo cha Polisi pale Center...
Maana alicho kifanya leo Mungu ana muona kabisa