Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

How many points Chelsea is atop? Ninakuvyokusoma ni kwamba Chelsea atapoteza gemu zote zilizosalia huku Spurs wao wakishinda zote.
You are day dreaming young boy!

hahahahaha .......... kama upo akilini mwangu, ndio mana naona kama watu wanapiga kelele huku wakijua kbs kombe linaenda darajani.

msitumie nguvu nyingi kuwaelewesha mana wanaelewa, waache wajifariji kwa spars, maana timu zao zipo nafasi za 5 na 6 huko.
 
Niwatakie easter njema blues wote Leo ndio siku ambayo ule msemo hakuna mkate mgumu kwenye chai unaendelea kuwa kweli" kipigo tunachoenda kukiachilia Trafford ya zamani ,tuwe nao makini pengine tutazikosa hata salamu zao
Kwa kweli kipigo kilikuwa kitakatifu mkuu..

Rahaa siyo rahaa! rahaa jamani. Leo magoli yetu tunapata mapema alafu tunaanza kula jurubiti
Magoli yenu yakaota mbawa mkuu..

kinachonipa furaha zaid yule mvuta bange Baily anacheza, tuna penalt yetu moja ..........
"Penalt" zikaota mbawa na shughuli ya mvuta bangi ukaiona mkuu..

Mbili, na ya Rojo.

Hazikupatikana mkuu, Hazard alikuwa mfukoni mwa kijana mwenye sura ya mtoto!
 
Kwa kweli kipigo kilikuwa kitakatifu mkuu..


Magoli yenu yakaota mbawa mkuu..


"Penalt" zikaota mbawa na shughuli ya mvuta bangi ukaiona mkuu..



Hazikupatikana mkuu, Hazard alikuwa mfukoni mwa kijana mwenye sura ya mtoto!


Endeleeni kuchonga ngenga tu...time will tell!!!
 
Ingekuwa timu yangu basi TERRY angebaki tu lakini daa nina majonzi nawaza tu DIDIE!LAMPARDIIIII!MAKELELE!ESSIEN!DISAILLY basi hatuna namna acha maisha yaendelee
 
Spurs bado ako na Utd, arsenal na everton na Leicester City na crystal palace na hull city.

Leicester City away

Everton away.
---------------------------------------------

Chelsea ako na game mbili tu away na zingine zote home..
Palace alikufanya nini hapo kwenu?
 
Enhe baada ya man utd kufufunga
Nani mwingine atafuata?

Hupati hata sare kwa Everton
Beki wako hawa Lukaku anayo hat trick
Soton anapata point kwako
Then rasmi WBA ndiyo anapigilia nail ktk jeneza lako!
Hauna team ya kuchukua ubingwa as reveals now Kante is avarage player
 
Spurs bado ako na Utd, arsenal na everton na Leicester City na crystal palace na hull city.

Leicester City away

Everton away.
---------------------------------------------

Chelsea ako na game mbili tu away na zingine zote home..

Benteke kakupiga hapo hapo kwako kama ambavyo week hii Tadic anakutandika hapo hapo kwako!EPL haina nyumbani wala ugenini!
Book print ya kumkaba Hazard ishapatikana na kila kocha ataiboresha tu
Spurs bingwa!
 
Benteke kakupiga hapo hapo kwako kama ambavyo week hii Tadic anakutandika hapo hapo kwako!EPL haina nyumbani wala ugenini!
Book print ya kumkaba Hazard ishapatikana na kila kocha ataiboresha tu
Spurs bingwa!
Chelsea itafungwa mechi zote zilizobakia na Liverpool itashinda zote,
Majogoo watakuwa mabingwa msimuu huu
 
Hupati hata sare kwa Everton
Beki wako hawa Lukaku anayo hat trick
Soton anapata point kwako
Then rasmi WBA ndiyo anapigilia nail ktk jeneza lako!
Hauna team ya kuchukua ubingwa as reveals now Kante is avarage player
Sawa ngoja tusubiri.
 
Wachezaji wa Man U wana mbio
Rashford kaonea beki yetu mara zote 3 ana mbio kuliko wote
Young na Valencia vile vile
Kutokuwepo kwa Alonso
Rashford amecheza game zote 3 Man u walizocheza against Chelsea this season siamini Kama hizo mbio kazipata juzi tu!!! ni mchezaji mzuri ila msianze zile habari za new Ronaldo maana mnajua ma new Ronaldo wote waliokuwepo hapo man u wameishia wapi, muacheni dogo akue taratibu bila media hype

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
6fc5574910b1f674f9028c5bf07ce548.jpg


Who do you want to take over from JT as club captain?

·Cesar Azpilicueta
·Gary Cahill
·David Luiz
·Eden Hazard
 
90ee06dbe2ac46f39ffecac03a4b6bf5.jpg
CAPTAIN. LEADER. LEGEND. Let's give JT a proper sending off by winning the Double!
 
Benteke kakupiga hapo hapo kwako kama ambavyo week hii Tadic anakutandika hapo hapo kwako!EPL haina nyumbani wala ugenini!
Book print ya kumkaba Hazard ishapatikana na kila kocha ataiboresha tu
Spurs bingwa!
Conte ameshalifanyia kazi na tayari dawa yake imeshapatikana...

Swali je team zote zitaweza kufanya hivyo km Utd?



It's unlikely that every team Chelsea face from here on will detail two men to track Eden Hazard and Pedro Rodriguez all over the pitch. Even if others try, very few will be able to do it as effectively as Ander Herrera and Matteo Darmian managed.




 
85f5a5cdb7da962b546e2f993fe7f799.jpg
Last time Chelsea faced Spurs at Wembley John terry did this and also went on to win the 'Man of the Match' title in an all important Derby league cup final.
Keep calm and do it for Terry.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom