Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

FA semi-final!
Totenham will advance
Chelsea wont match Spurs gegern football
Totenham 3 Chelsea 1
 
tmp-cam-1594820227-jpg.499377

kamfuata hadi huku .........
 
Hazard naye kama nimemwona na bandage mguuni sijui majeruhi ama swagger tu. Ila kama majeruhi ndo yanatukumba namna hii nitamsamehe akiuza FA kuokoa EPL. Ni heri tushinde EPL kuliko kupanga wote leo halafu tukose watu wa kucheza mid week. We need fit people against everton.
 
Hazard naye kama nimemwona na bandage mguuni sijui majeruhi ama swagger tu. Ila kama majeruhi ndo yanatukumba namna hii nitamsamehe akiuza FA kuokoa EPL. Ni heri tushinde EPL kuliko kupanga wote leo halafu tukose watu wa kucheza mid week. We need fit people against everton.
Alikuwa na Bandage kweli ila sidhani kama ni kitu, tungeshasikia....lets hope for the best tu leo
 
Yani Spurs kaweka kikosi choteeeeee anatamani angeambiwa achezeshe wachezaji 12 nahisi
Najipa matumani ya kwamba tubane tusifungwe dk ya 60 waingie akina Hazard labda Spurs wanaeza wakawa wamechoka kidogo. Ila tutaeza kubana....acha niwaamini wachezaji na kocha wetu
 
Niko hapa kushangilia chama langu la A10 seven sisters! Come on Spurs!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom