Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

...Congratulations 2010 EPL CHAMPIONS,
Invisible, Ab-titchaz, Masanilo, Peasant, Aljuniortz et al we'd a laugh, ups and downs, Joys and sorrows.
Hongereni sana!

What a Birthday present kwa Mkuu Max, ha ha..
Happy Birthday maaazee!!!
 
Hongererni majirani zangu Invisible,Masanilo,Mvina,Peasant,ELNINO,Aljuniortz,Sanda Matuta,Ab-Tichaz,Rev.Kishoka na wengine...Hakika mnastahili kuwa mabingwa msimu huu maana mmetoa kichapo kwa timu zote 3 zinazounda zilizokuwa zinaunda Big 4(Liverpool taratibu wanaondoka kwenye Big 4...kuna Man City na Tottenham)......Hongereni sana Mabingwa wetu wapya

Wengine ni wakati muafaka wa kujiuliza tumekosea wapi na kuanza kuandaa timu kwa msimu ujao
 
Heri Balantanda na Wenge Musica wamejitahidi kuwa wastaarabu, KwasaWacha yupo wapi na kundi lake laMbu na Icadon? What a lovely game!

hongera rev, sie wanamichezo na tunajua siku ya mwisho mshindi mmoja tu.hongereni sana tutaonana msimu ujao.
 
Dah..............Hongereni sana Chelsea................wapi Mzee wa picha Ab leo??
 
Dah sina la kusema,

Mkuu Invisible, Peasant hongereni sana.............Ab Titchaz mapicha please
 
Heri Balantanda na Wenge Musica wamejitahidi kuwa wastaarabu, KwasaWacha yupo wapi na kundi lake laMbu na Icadon? What a lovely game!


...ha ha ha...Rev.Kishoka.... we're down but not out, we'll be back!!!
Hongereni sana.
 
huwa napata wakati mgumu sana kuangalia hizi medali na kombe likikikabiziwa,anyway kutesa kwa zamu.
 
Oya Masanilo sijamuona rafiki yako Wacha hivi karibuni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom