Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,103
- 43,355
well.. when I woke up this morning the sky was all blue! beautiful day indeed! Sasa MANU wamekuwa kama Simba? kwa kweli huu ni "unyanyasaji wa kisoka"..
well.. when I woke up this morning the sky was all blue! beautiful day indeed! Sasa MANU wamekuwa kama Simba? kwa kweli huu ni "unyanyasaji wa kisoka"..
Hahaha ataonekana mida hii? Lakini bahati vijana wake wamefanya kweli, am happy for Arsenal's victory either
Hawana lolote hao Fulham wanajiandaa na fainali ya EUROPA CUP ndio maana wakalegeza
Belo bana..........hasira za kuukosa ubingwa nn........hahaaaaaaaaaaaaaa....Tukishinda si vibaya kupongezana jamani badala ya kukunja ndita ati!!
Belo bana..........hasira za kuukosa ubingwa nn........hahaaaaaaaaaaaaaa....Tukishinda si vibaya kupongezana jamani badala ya kukunja ndita ati!!
jamaa ana hasira za kukosa ubingwa na anajua kwenye soka hamna mshindi wa pili yeye na sisi wote sawa bingwa mmoja tu kwahio anataka kutushambulia hata kwenye kaushindi chetu cha kufungia msimu ha ha ha.
mkuu ab-pichaz zingine zipeleke kwenye jukwaa lenu ha ha ha.