Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

sidhani kama kuna mtu anafuraha humu kama yangu yaani tunachukua kikombe this year with new manager Mungu anipe nini mwaka huu tena tukiwa tumeshika nafasi ya 10 last season
 
Habari wakuu. Mechi yetu ya jana ilikuwa na makosa madogo madogo ambayo imetukost kwa kiasi fulani. Mfano wachezaji wetu walikuwa wanapoteza mipira kirahisi. Pia Costa hakuwa katika mudi ya mchezo hata alivyo pewa penati tayri alikwisha panic so ikapelekea kuukosa kwa urahisi sana.
All in all draw ni advantage kwetu na pia itaturudisha katika hali ya ushindani pale darajani tutakapo kutana na vijana wa wenger. Meanwhile bado tupo mbele kwa points 9 clear. Niwatakieni asubuhi njema na kazi njem #comeonechelsea#
 
16472884_1858818677673552_4852150650185247665_n.jpg
 
Ilibidi apige yeye kwasababu siku hizi penalty shooter wetu Hazard alikua ameahatoka nje.

So far there is no reason to blem him cause Gunners na Spurs wameboronga.

9 points on top clear kabisa
Mkuu Ntuzu, nilipoona anayepiga penati ni Diego moyo ulipata shock kidogo! Nilitamani apige David Luiz.
 
Chelsea AKIPATA hata sare leo Anfield NAJIUZURU kushughulika na lolote kwenye soka
Nasema tena Soton sio Chelsea na MAJOGOO hayakucheza ktk kiwango chake na team pungufu!
Coutihno hakuwa fit,Mane na matip hakuwacheza kabisa na Kipa hakucheza
Nasema tena walio anza na Wolves leo anayenza ni mmoja tu Firmo

2-0 easy kabisa!Msikimbie hapa
Hizi ahadi zako tumezioea kila mwaka na hujawahi kutekeleza hata moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom