Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Msioelewa mumuite Malafyale awatafsirie...

16265444_1857776537777766_4604157418958427476_n.jpg
 
Chelsea AKIPATA hata sare leo Anfield NAJIUZURU kushughulika na lolote kwenye soka
Nasema tena Soton sio Chelsea na MAJOGOO hayakucheza ktk kiwango chake na team pungufu!
Coutihno hakuwa fit,Mane na matip hakuwacheza kabisa na Kipa hakucheza
Nasema tena walio anza na Wolves leo anayenza ni mmoja tu Firmo

2-0 easy kabisa!Msikimbie hapa
 
Chelsea AKIPATA hata sare leo Anfield NAJIUZURU kushughulika na lolote kwenye soka
Nasema tena Soton sio Chelsea na MAJOGOO hayakucheza ktk kiwango chake na team pungufu!
Coutihno hakuwa fit,Mane na matip hakuwacheza kabisa na Kipa hakucheza
Nasema tena walio anza na Wolves leo anayenza ni mmoja tu Firmo

2-0 easy kabisa!Msikimbie hapa
Weka akiba ya maneno mkuu ...
 
Chelsea AKIPATA hata sare leo Anfield NAJIUZURU kushughulika na lolote kwenye soka
Nasema tena Soton sio Chelsea na MAJOGOO hayakucheza ktk kiwango chake na team pungufu!
Coutihno hakuwa fit,Mane na matip hakuwacheza kabisa na Kipa hakucheza
Nasema tena walio anza na Wolves leo anayenza ni mmoja tu Firmo

2-0 easy kabisa!Msikimbie hapa
sijui leo atateleza nani
 
Timu YA Chelsea Leo hii inatarajia kupambana na livepol katika mtanange wa ligi kuu y asoka uingereza,mechi ua Leo ni muhimu Sana kwa Sisi mashabiki wa Chelsea na timu yetu kwa ujumla,Leo tukishinda itatuweka katika hali nzuri katka mbio za kuusaka ubingwa kwani wekend hii tuna mechi dhidi YA washika bunduki wa London the gunners.Kama tutashinda Leo na wekend ijayo tutakua tumekusanya point 6na kuzid kujikita kileleni mwa msimamo,kilalaheri Chelsea katika week hii muhimu YA kusaka taji la ligi msimu huu
 
Sio kama tutashinda leo, Leo Chelsea anashinda kwa goli sio chini ya mbili
 
Nitakutafta baada YA mechi kuisha ili uthibitishe kauli yako hatufanyi mzaha tunaposaka ubingwa
Game ya kwanza ilikuaje!?tena chumbani kwako!?Leo unakuja gheto nakupigia viwili vya kijamaika afu nakaa pembeni!nakucheki utakavyobaki ukihangaika na mimba!!
 
Game ya kwanza ilikuaje!?tena chumbani kwako!?Leo unakuja gheto nakupigia viwili vya kijamaika afu nakaa pembeni!nakucheki utakavyobaki ukihangaika na mimba!!
Sisi hatuchongi,vyetu vitendo dakika 90 tutaona mbabe,
 
Chelsea AKIPATA hata sare leo Anfield NAJIUZURU kushughulika na lolote kwenye soka
Nasema tena Soton sio Chelsea na MAJOGOO hayakucheza ktk kiwango chake na team pungufu!
Coutihno hakuwa fit,Mane na matip hakuwacheza kabisa na Kipa hakucheza
Nasema tena walio anza na Wolves leo anayenza ni mmoja tu Firmo

2-0 easy kabisa!Msikimbie hapa
Sijui hata upo wapi tubeti nina laki 2 zinaniwasha hapa. Nitakwepo kalabash mpakani - mwenge. Njoo tubeti malafyale
 
Chelsea AKIPATA hata sare leo Anfield NAJIUZURU kushughulika na lolote kwenye soka
Nasema tena Soton sio Chelsea na MAJOGOO hayakucheza ktk kiwango chake na team pungufu!
Coutihno hakuwa fit,Mane na matip hakuwacheza kabisa na Kipa hakucheza
Nasema tena walio anza na Wolves leo anayenza ni mmoja tu Firmo

2-0 easy kabisa!Msikimbie hapa
Hata habari zenyewe za mpira hauzifuatilii.unaishia kusoma magazeti ya dimba tu.
 
Chelsea AKIPATA hata sare leo Anfield NAJIUZURU kushughulika na lolote kwenye soka
Nasema tena Soton sio Chelsea na MAJOGOO hayakucheza ktk kiwango chake na team pungufu!
Coutihno hakuwa fit,Mane na matip hakuwacheza kabisa na Kipa hakucheza
Nasema tena walio anza na Wolves leo anayenza ni mmoja tu Firmo

2-0 easy kabisa!Msikimbie hapa
Mkuu kwenye mambo ya mipira usiweke ahadi kama hizi
 
Chelsea AKIPATA hata sare leo Anfield NAJIUZURU kushughulika na lolote kwenye soka
Nasema tena Soton sio Chelsea na MAJOGOO hayakucheza ktk kiwango chake na team pungufu!
Coutihno hakuwa fit,Mane na matip hakuwacheza kabisa na Kipa hakucheza
Nasema tena walio anza na Wolves leo anayenza ni mmoja tu Firmo

2-0 easy kabisa!Msikimbie hapa
Mkuu kwenye mambo ya mipira usiweke ahadi kama hizi
 
Chelsea AKIPATA hata sare leo Anfield NAJIUZURU kushughulika na lolote kwenye soka
Nasema tena Soton sio Chelsea na MAJOGOO hayakucheza ktk kiwango chake na team pungufu!
Coutihno hakuwa fit,Mane na matip hakuwacheza kabisa na Kipa hakucheza
Nasema tena walio anza na Wolves leo anayenza ni mmoja tu Firmo

2-0 easy kabisa!Msikimbie hapa
Mkuu kwenye mambo ya mipira usiweke ahadi kama hizi
 
Chelsea AKIPATA hata sare leo Anfield NAJIUZURU kushughulika na lolote kwenye soka
Nasema tena Soton sio Chelsea na MAJOGOO hayakucheza ktk kiwango chake na team pungufu!
Coutihno hakuwa fit,Mane na matip hakuwacheza kabisa na Kipa hakucheza
Nasema tena walio anza na Wolves leo anayenza ni mmoja tu Firmo

2-0 easy kabisa!Msikimbie hapa
Mkuu unaonekana unafaa sana Kumuuguza Mgonjwa.
 
Wakuu kwema humu? Leo ningependa sana mpate hata droo ila sioni hilo likitokea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom